Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona hali ya Wenger inazidi kuwa mbaya!

Kwa mwaka huu i si mchezo. tusije kuwa ama Liverpool mwaka jana Lakini misimu kibai ya nyuma tumeanza vizuri tukashindwa kumalizia labda mwaka huu ni vice versa. teh teh teh

Hivi na wewe Rejao ni shabiki wa timu gani vile ?
 
Kwa mwaka huu i si mchezo. tusije kuwa ama Liverpool mwaka jana Lakini misimu kibai ya nyuma tumeanza vizuri tukashindwa kumalizia labda mwaka huu ni vice versa. teh teh teh
Hivi na wewe Rejao ni shabiki wa timu gani vile ?
Fuatilia posts zangu kwenye hii thread mkuu!
 
Wenye net nzuri mnaweza kuona mechi ya mashetni wekundu VS leeds online . Bofya Teknohama bongo kisha bofya sehemu imeadikwa tazama michezo live

So far mapunziko man u wameshachapa leeds goli tatu mbili za OWen moja la gigs
 
Ahsante kwa updates wakuu, kama kuna mtu yoyote anayo link ya live streams ya hii mechi atupatie tafadhali.
 
Mpaka sasa zikiwa zimekwenda dakika karibu 70 tunaongoza kwa ushindi finyu wa 2-1 tumemiliki asilimia 70 ya mchezo, majaribio 10 yakiwemo 9 kwenye target.
Tunahitaji goli jengine zaidi kushusha roho. Mjepu Miyaichi anapasha misuli ataingia dakika yoyote.
 
Kazi tunayo, kwa kweli confidence iko low, sana sana.
Ila ushindi lazima.
Kuna mtu ana link hapa ya mchezo?
Nimetafuta nimechoka!
 
Ozyakup? ameingia (Debut) ametoka Frimpong dakika ya 77
 
Arsenal tuna team nzuri na kuna vipaji vingi tu....Tatizo ni mawasiliano wanapokua uwanjani.........
 
GOAL! ARSENAL 3-1 SHREWSBURY: And that is the end of the giant-killing dream as Ozaykup gets the ball in the box and cuts the ball back into the path of Benayoun, who had time to take a touch before smashing it past Smith.

Kidogo wiki hii inaweza kuwa ya amani. tunatakiwa tushinde mechikama tatu mfululizo.
 
Back
Top Bottom