Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunafungwa magoli ya kizembe sana, too many stupid goals, ndio tulisema tunataka mabeki wa kueleweka, hawa akina koscielny wataendelea kutu-cost mechi hadi mechi.
 
mechi mbili wamefungwa goli 12

Mechi tatu bana.... SIO MBILI..........Man 8-2, Swansea 2-1 (Tulipata kaushindi) then leo 4-3..... Jumla GOLI 13... Inauma saana..... AW inabidi ajiangalie upya........
 
Poleni wakuu ndio mpira huo! Next up Bolton Wanderers naye waje wajinafasi.
 
Bulllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllll ssssssssssssssssssssssssssssssss
How come wachezaji wawili wajifunge wenyewe kwenye mechi moja? Tunaposhambuliwa hakuna utulivu na kiongozi kuongoza huku nyuma, Vermaellean ni pengo sana hawa akina Djourou na Koscilny ni wa kubahatisha-bahatisha tu.
 
hii arsenal kwakweli inasikitisha...thou mimi shabiki wa man u, sifurahishwi kabisa na hali hii..
 
Jiandaeni kwenda kucheza mchangani next year. Sasa tuseme nini km kila mechi ni kubamizwa tu, tena magoli ya kumwaga! YNWA.
 
Tatizo la Arsenal kwa sasa ni midfield. Mi naona Arteta hana msaada kwa timu though leo kafunga!
Hawezi kuconnect na Van P,
 
How come wachezaji wawili wajifunge wenyewe kwenye mechi moja? Tunaposhambuliwa hakuna utulivu na kiongozi kuongoza huku nyuma, Vermaellean ni pengo sana hawa akina Djourou na Koscilny ni wa kubahatisha-bahatisha tu.

Noma msela , jumanne beki ilikuwa powa sana, leo kabla beki kuanza kuchanganyikiwa Forward ilitakiwa hiwe imeshamaliza game lakini wapi, kama kawaida tunaongoza kukosa magoli kwenye ligi.
 
Back
Top Bottom