Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Niliandika hapa watu wakatukana. Tumeishia kupata point 4 mwezi december baada ya michezo mitano.

Kuanzia kwa Arteta mpaka timu yenyewe hakuna quality na spirit ya kuweza kubeba kombe kubwa.

Apatikane kocha ambaye ni tactical na sio huyu anapiga pasi zisizokuwa na umuhimu na mpira wake predictable.
Hao Makocha wanapatikana?

Angalia manchester united na Chelsea wanavyowabadilisha makocha kila leo
 
tembo anazidi kuwa mzito😂😂
GCsD1lCXwAANBlV.jpeg
 
Leo ndio January na ligi ndio tumeianza rasmi

#arsenalNDOO
Hahaaaaa ,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ?

Hamis masingeli yuko wapi ?
Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,
Siku mkishinda anaibuka na takwimu zake za ki Dr shika
 
mzunguko wa pili huwa ni mgumu zaidi.. arteta inabidi ajiangalie sana na mbinu zake.. haiwezekani kuingia na game-based approach ile ile kwa timu ambazo zilikusumbua kupata matokeo.
 
Mjinga mwingine huyu..unamshindwa Fulham unawaza Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona
Kwangu bora tuzingue mapemaa, tujue tunagombania kwenda UCL kuliko ile ya kukaa top kwa siku 200+ mwisho wa siku tunakuwa sawa na nyumbu
 
mzunguko wa pili huwa ni mgumu zaidi.. arteta inabidi ajiangalie sana na mbinu zake.. haiwezekani kuingia na game-based approach ile ile kwa timu ambazo zilikusumbua kupata matokeo.
shida sio mbinu sasa mchezaji kama kai, nketia,orde na huyo mwingine kawa kama rashindi
 
Hao Makocha wanapatikana?

Angalia manchester united na Chelsea wanavyowabadilisha makocha kila leo
Kwa sasa Dunia ina uhaba wa world class coaches pamoja na World class goal scorer-waliobora katika top 5 ligi bora duniani sidhani kama wanazidi wa 5 (Janga sana hili)
 
mtaelewa tuuu
IMG_20231230_212951_626.jpg
IMG_20231230_212951_167.jpg
 

Attachments

  • IMG_20231230_212951_626.jpg
    IMG_20231230_212951_626.jpg
    99.3 KB · Views: 14
Back
Top Bottom