IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,735
- 7,080
Tafuteni Kocha wa kueleweka
Who cares?Buloo, matusi na kutukanana siwezi. I was in F3 in 1984.
Hao Makocha wanapatikana?Niliandika hapa watu wakatukana. Tumeishia kupata point 4 mwezi december baada ya michezo mitano.
Kuanzia kwa Arteta mpaka timu yenyewe hakuna quality na spirit ya kuweza kubeba kombe kubwa.
Apatikane kocha ambaye ni tactical na sio huyu anapiga pasi zisizokuwa na umuhimu na mpira wake predictable.
Leo ndio January na ligi ndio tumeianza rasmiThe audacity
Ninyi ni washika manati wa London mkuu ,usijisahaulishe
![]()
tembo anazidi kuwa mzito😂😂
HahaaaaaLeo ndio January na ligi ndio tumeianza rasmi
#arsenalNDOO








,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ? 







Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,Kwangu bora tuzingue mapemaa, tujue tunagombania kwenda UCL kuliko ile ya kukaa top kwa siku 200+ mwisho wa siku tunakuwa sawa na nyumbu
Need not.....Who cares?
😂 pole sanaThomas Partey Octopus hajajumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ghana kwa ajili ya Afcon, soon atarejea dimbani
Haters msije sema hatukuwaambia kua tunaanza ligi January View attachment 2859458
shida sio mbinu sasa mchezaji kama kai, nketia,orde na huyo mwingine kawa kama rashindimzunguko wa pili huwa ni mgumu zaidi.. arteta inabidi ajiangalie sana na mbinu zake.. haiwezekani kuingia na game-based approach ile ile kwa timu ambazo zilikusumbua kupata matokeo.
Kwa sasa Dunia ina uhaba wa world class coaches pamoja na World class goal scorer-waliobora katika top 5 ligi bora duniani sidhani kama wanazidi wa 5 (Janga sana hili)Hao Makocha wanapatikana?
Angalia manchester united na Chelsea wanavyowabadilisha makocha kila leo
Ni washika manati wa london mkuu, acha kukuza mambo.Happy new year washika mitutu wa London
![]()