arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Wameshatangaza kikosi Chao kwani??Jaman hiv ni kweli partey hajaitwa Ghana kwa ajili ya afcon
Wameshatangaza kikosi Chao kwani??Jaman hiv ni kweli partey hajaitwa Ghana kwa ajili ya afcon
Yule tembo mdogo mdogo kashaanza kushuka mtini. Hakuna hakimu bora kama muda. View attachment 2858003
Hivi ndivyo msimamo wa ligi ulivyo kwa sasa. Ila sio mbaya maana mnakaa meza moja na wakubwa.
Yaani leo hawa vijana wetu wafanye juu chini washinde hzi kelele na dharau zipungue hmu....Livakuku tuna mechi naye mbili nyumbani...ile nafasi pale juu anatakiwa aitapike....ila Man City asirudi pale juu...hzi mechi 2 naangalia wanavyocheza wale mabraza....wamepaniaKafungwa Manchester, tabu tunapata sisi![]()
Kuimba kupokezana binti, weka akiba ya manenoKwani ni lini mmeshinda Anfield?
Ama draw ndiyo ushindi wenu?
Kama draw na liver ni ushindi kwenu basi timu yenu ni hopeless na kamwe haiwezi chukua kikombe chochote hata cha chai.
Nyie pumzi itakata kuanzia February hapo, swala la muda tu
Na leo akichezesha hiyo slow motion yake tunakandwa tena. Kumbuka first round walivyotupelekea moto Imarati.Arteta sijui wame muwekea gundi kichwani🤣😄😄
Aji tafakari vizuri aisee🤒🤒Na leo akichezesha hiyo slow motion yake tunakandwa tena. Kumbuka first round walivyotupelekea moto Imarati.
Huwa habadiliki na kwenda na gemu husika. Wameshamsoma.Aji tafakari vizuri aisee🤒🤒
Sema Kuna time ana zingua Sana🤣😃, hajui jinsi ya ku Corp na mazingiraHuwa habadiliki na kwenda na gemu husika. Wameshamsoma.
Anfield wameshinda Mara ya mwisho Rais akiwa kikweteKwani ni lini mmeshinda Anfield?
Ama draw ndiyo ushindi wenu?
Kama draw na liver ni ushindi kwenu basi timu yenu ni hopeless na kamwe haiwezi chukua kikombe chochote hata cha chai.
Acha kuaminisha watu UJINGA wako humuTunarudi mzigoni kesho
Tutashinda ,hatupo mbali na 1st place Hilo ndio muhimu pamoja na figisu zote



Ukiona timu imeanza kupiga ramliKuimba kupokezana binti, weka akiba ya maneno View attachment 2858135
Mechi tatu nyingi, utakuwa umemkana TrentUkiona timu imeanza kupiga ramli
Eti inategeshea mabingwa wachoke
Ujue hakika hakuna timu ya kubeba kombe hapo.
EPL siyo kikombe cha chai kinachoweza kubebwa kwa ramli.
Kitendo Cha kumngangania partey na kutosajili kiungo mwingine kitatuacha na kilio na maumivuArsenal wanatakiwa wawe na mbinu mbadala kwa hzi mechi 19 zilizobaki...tumeshaona waamuzi wanaokaa kwny VAR Wana changamoto kwny mechi zetu...vs Nyukesto...vs Villa...na hapa vs West Ham...Sasa ni kufanya vitu basics kwa usahihi...Zinchenko kuna mechi hatakiwi kuanza kabisa...hopefully Arteta atajifunza hili maana lile goli kosa limeanzia kwake...pili Martinelli anatakiwa aanze kutokea benchi maana ni kama uchovu umeshamvagaa...tatu tunahitaji striker this window....nne tunahitaji Midfielder....napata shaka ikitokea Rice ameumia aisee tutarudi kulekule
Kikosi wanatangaza Kesho, watamjumuisha tu wapuuzi wale watamchukua hivyo hivyoJaman hiv ni kweli partey hajaitwa Ghana kwa ajili ya afcon
Liverpool subiria corona irud ndio uchukue tena EPL. utakaa miaka 30 tenaKwani ni lini mmeshinda Anfield?
Ama draw ndiyo ushindi wenu?
Kama draw na liver ni ushindi kwenu basi timu yenu ni hopeless na kamwe haiwezi chukua kikombe chochote hata cha chai.