Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yule tembo mdogo mdogo kashaanza kushuka mtini. Hakuna hakimu bora kama muda. View attachment 2858003
Hivi ndivyo msimamo wa ligi ulivyo kwa sasa. Ila sio mbaya maana mnakaa meza moja na wakubwa.

Kafungwa Manchester, tabu tunapata sisi
Yaani leo hawa vijana wetu wafanye juu chini washinde hzi kelele na dharau zipungue hmu....Livakuku tuna mechi naye mbili nyumbani...ile nafasi pale juu anatakiwa aitapike....ila Man City asirudi pale juu...hzi mechi 2 naangalia wanavyocheza wale mabraza....wamepania
 
Ligi tunaanza January

insha'Allah
20230806_214539.jpg
 
Arsenal wanatakiwa wawe na mbinu mbadala kwa hzi mechi 19 zilizobaki...tumeshaona waamuzi wanaokaa kwny VAR Wana changamoto kwny mechi zetu...vs Nyukesto...vs Villa...na hapa vs West Ham...Sasa ni kufanya vitu basics kwa usahihi...Zinchenko kuna mechi hatakiwi kuanza kabisa...hopefully Arteta atajifunza hili maana lile goli kosa limeanzia kwake...pili Martinelli anatakiwa aanze kutokea benchi maana ni kama uchovu umeshamvagaa...tatu tunahitaji striker this window....nne tunahitaji Midfielder....napata shaka ikitokea Rice ameumia aisee tutarudi kulekule
Kitendo Cha kumngangania partey na kutosajili kiungo mwingine kitatuacha na kilio na maumivu
 
Tunaotaka kombe siyo liver tu,
Wapo City,wapo Asv,wapo spurs pia

Sasa nyie endeleeni kusubiria tuchoke.
 
Back
Top Bottom