Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tupeleke maoni yetu FA waandae na kombe la domination ili mwisho wa msimu walau na hawa ndugu zetu wawe wanaambulia hata kakombe ka kudominate.
Mashabiki wa asenyeto humu wanakwambia UEFA champion league msimu huu hamna mbwa yoyote anayewatisha , hata Madrid mlete Tu watambonda vibaya na watabeba kombe la UCL
 
Mashabiki wa asenyeto humu wanakwambia UEFA champion league msimu huu hamna mbwa yoyote anayewatisha , hata Madrid mlete Tu watambonda vibaya na watabeba kombe la UCL
False hoper hao, kuna kasisi wao humu alikua anawaaminisha kua hakuna kombe rahisi kubeba kama Uefa, ukimuuliza kama kweli ni rahisi kubeba mpaka sasa hivi Arsenyau ina makombe mangapi ya Uefa?
Anakupiga marufuku kumquote halafu wewe ulieuliza swali anakuita ni Anti-Semitism.
 
Naanza kuamini inawezekana sisi ni False hoper kwa kweli

Tuna mistake zinazojirudia season to season match to match
How come we fail to score today

IMG_2096.jpg

Paragraph ya mwisho inajieleza zaidiii mpaka kufika january tutaelewana kidogo ila may ndo kabisa kama ni somo utakuwa umeelewa tena kwa course work ya juu kabisa

Nafurahii ndo kwanza uhuru day ila umeelewa kile tunazungumza, achana na wehu wale wazee wa maneno mengi before game

Mtu before game anakuambia Aston villa wakijaribu kupishana wanakufa sita ila lineup ilitokaa tu anakubali mwenywe bench tu la Aston villa ni strong kuliko hata wachezaji wao wa 11.

Halafu kesho anakuja tena kubisha , mods mngeruhusu tuwachape viboko hawa watu
 
Arsenyo ni sawa na vile vyoo vya kusimama, hata uwe na akili vipi hauwezi kujisaidia haja kubwa.
_110772724_1a.gettyimages-834739100.jpg
 
Liverpool hawez kupigania ubingwa ,sijui kwanini watu hamfanyi analysis vzr

Jamaa wanakiungo Cha kawaida Sana, ila Wana attacking nzuri

Wanaruhusu Sana kushambuliwa

Allison yupo kwenye list na kina onana,Makipa wa Luton, Sheffield, Burney kwa kuokoa michomo mingi


Salah kwasasa amekuwa Kama Cr7 anakaa maeneo hatari tu kufunga na kutoa pass Hana Tena ile pace ,kwasasa Salah watu hawanzingatii Tena kumuwekea ulinzi ,na huyo ndio roho ya Liverpool,anafata Allison .
Sawa kabisa
 
Hili tunakuambia kila siku kwani before lineup hukulijua hili ama? Sasa hapo hamna hata majeruhi ushaanza kupiga kelele ukipata majeruhi zaidi ya 12 si ndo false hopes zitakuwa mlima.

Haya tuambie hapo mchezaji gani ambaye yupo injury anaweza akakaaa benchi akashtua watu
Partey
 
ushawahii kuuza mchezaji kwa hata 60M tu toka arsenal imeanzishwa? Mlipigwa kwa pepe kwa 72M then mnamuuza kwa 1.5 m . Unajipa false hopes eti saka ni 120M

Gordon kauzwa kutoka everton 45 M sasa unategemea tukiuza tutauza hela ya chini kama nyinyi ?

Hio 45M hakuna mchezaji ameshawahi kuuzwa hela kubwa arsenal kuzidi hela aliyeuzwa gordon kutoka everton nakupa hiii nyingine pia najua ulikua hujuii wacha nikujuze sasa.

Unaposema unauza kwa bei kubwa tuambie toka arsenal imeanzishwa nan aliuzwa kwenda timu nyingine hela iliyozidi 45M , ukionyesha nakupa milion 1 sasa hivi hapa.

Tuliambia ramsdale ana thamani ya shingapi vile? kina holding, pepe, takuma, wachezaji wa paundi moja moja.
Piga spana baharia

Piga spana bila huruma😂

Naona kenge mwingine anatishia kukupiga block/ignore

Wewe jamaa ni balaa Kwa facts😂
 
Kuelekea mechi na Astonvilla

Astonvilla hataweza kubishana na Arsenal kwenye umiliki wa mpira

Wanajaza viungo wengi kuwin 50/50 na kufanya transition

Wanacheza 4-4-2 isiyo na mawinga asilia ,wanamtumia MaGinn na Zaniolo au Tielemans Kama mawinga ,Kati Yupo kamara na Luiz ,so Wana viungo wanne ,

Tunaendaje na tutarajie Nini ?

Tunahitaji viungo wakufika Sana na kupora mipira iwe ya chini au hewani,


Kai- Rice -odegaard na Jesus tunawahitaji kuanza sababu wanaweza purukushani,


MARTINELL na Saka wataleta shida hivo lazima MacGinn na Tielemans watakuwa wanarudi nyuma kusaidia kuwakaba

Hapo Sasa ndipo tutahitaji huduma ya Ødegaard ambaye anatokea chini kusambaza mipira mingi kwenye half space


Kai ,Jesus na Rice kazi Yao kuwin 50/50 na kusonga mbele
Sawa
 
Back
Top Bottom