Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liverpool hawez kupigania ubingwa ,sijui kwanini watu hamfanyi analysis vzr

Jamaa wanakiungo Cha kawaida Sana, ila Wana attacking nzuri

Wanaruhusu Sana kushambuliwa

Allison yupo kwenye list na kina onana,Makipa wa Luton, Sheffield, Burney kwa kuokoa michomo mingi


Salah kwasasa amekuwa Kama Cr7 anakaa maeneo hatari tu kufunga na kutoa pass Hana Tena ile pace ,kwasasa Salah watu hawanzingatii Tena kumuwekea ulinzi ,na huyo ndio roho ya Liverpool,anafata Allison .
 
Liverpool hawez kupigania ubingwa ,sijui kwanini watu hamfanyi analysis vzr

Jamaa wanakiungo Cha kawaida Sana, ila Wana attacking nzuri

Wanaruhusu Sana kushambuliwa

Allison yupo kwenye list na kina onana,Makipa wa Luton, Sheffield, Burney kwa kuokoa michomo mingi


Salah kwasasa amekuwa Kama Cr7 anakaa maeneo hatari tu kufunga na kutoa pass Hana Tena ile pace ,kwasasa Salah watu hawanzingatii Tena kumuwekea ulinzi ,na huyo ndio roho ya Liverpool,anafata Allison .
Liver uzoefu unawasaidia pia
 
Liverpool hawez kupigania ubingwa ,sijui kwanini watu hamfanyi analysis vzr

Jamaa wanakiungo Cha kawaida Sana, ila Wana attacking nzuri

Wanaruhusu Sana kushambuliwa

Allison yupo kwenye list na kina onana,Makipa wa Luton, Sheffield, Burney kwa kuokoa michomo mingi


Salah kwasasa amekuwa Kama Cr7 anakaa maeneo hatari tu kufunga na kutoa pass Hana Tena ile pace ,kwasasa Salah watu hawanzingatii Tena kumuwekea ulinzi ,na huyo ndio roho ya Liverpool,anafata Allison .
Tuta prove hayo maneno siku tukikutana nao
 
Haya Its official. This time hakuna siku 200+ za kuwa top of the table. Aston Villa wanajiandaa kuleta kilio humu ndani.
Moderator tunaomba baadae mpite moite humu sana kudhibiti matusi
 
Winning goal kwa liva imepatikana 90+ minutes

Wait . . .
Crystal palace wamejipiga wnyewe risasi ya mguu....Ayew hakuwa na ulazima wa kucheza ile rafu pale....angemghasi tu Elliot...yy ndo Kawa cost wnzake
 
Haya Its official. This time hakuna siku 200+ za kuwa top of the table. Aston Villa wanajiandaa kuleta kilio humu ndani.
Moderator tunaomba baadae mpite moite humu sana kudhibiti matusi
Mpira ukiisha baadae tutaomba uje pia mkuu....maana huwa mnatupiga mikwara halafu mpira ukishaisha mnakimbilia kwny mashimo yenu mnayoyajua
 
Angalia mechi zao, sitashangaa nyumbu wakiwavuta mkia next week
Nyumbu atapigwa nyingi, hii shughuli inabidi tuivalie njuga wenyewe. Silaha ya liverpool ni mashabiki, mafans wakiona kuna hope hata kama timu ikiwa na matobo still hakuna mtu atatoka salama Anfield. Japo sikatai liverpool hajafikia level yetu na City.
 
Bournemouth mechi nne za mwisho

Kamfunga Nyukesto

Kamfunga Sheffield

Kasuluhu na Villa

Kamfunga Palace

Naamini ana chance hapa
 
Kajichanganyeni sasa tupo juu.
Screenshot_20231209_180637_Sofascore.jpg
 
Back
Top Bottom