Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Naanza kuamini inawezekana sisi ni False hoper kwa kweli
Tuna mistake zinazojirudia season to season match to match
How come we fail to score today




nafurahi kuona baadhi mnaanza kuelewa maneno tunayosema , nilisema kwa sasa hatuwezi kuelewana lakini mpaka kufika may tutakuwa tumeelewana vizuriii kabisa.

