mfano
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 670
- 1,132
Ila Martinez kipaa! hapa tukubali tu arteta alifanya makosa kumwachia, maana ata Leno mwenyewe sijui yuko wapi..
Game yetu na Aston villa iko mikononi mwa raya akileta mzaa wake tunakufa mapema tu, kipa wa city jana alivyo chomoa ile michomo sio poa hivhiv wangekufa ata nne
Game yetu na Aston villa iko mikononi mwa raya akileta mzaa wake tunakufa mapema tu, kipa wa city jana alivyo chomoa ile michomo sio poa hivhiv wangekufa ata nne

️@JamesPearceLFC: 
Dua zianze kuombwa saa hii