Haihusiani na mechi ni mimi tu sijui kusoma na kuandikaSegemu
tmwatu😀
Kweli Leo siku ndefu😂
Haihusiani na mechi ni mimi tu sijui kusoma na kuandikaSegemu
tmwatu😀
Kweli Leo siku ndefu😂
HahaaaaFalse hoper hao, kuna kasisi wao humu alikua anawaaminisha kua hakuna kombe rahisi kubeba kama Uefa, ukimuuliza kama kweli ni rahisi kubeba mpaka sasa hivi Arsenyau ina makombe mangapi ya Uefa?
Anakupiga marufuku kumquote halafu wewe uliuliza swali anakuita ni Anti-Semitism.





Antisemitism au sio 





Masingeli analinajisi sana hili jukwaa kwa kuwalisha false hopes mashabiki wa Asenyo humu akisaidiana na chawa wake watiifu mkorea na arsenal2004 halafu mbaya zaidi Masingeli ana kinga ya turufu yaani humu ndani hata akidanganya ni dhambi kumkosoa.
muda huu Masingeli analichungulia hili jukwaa hivi
View attachment 2838082




Hawa Kenge wataokota point tatu kwa crystal palace au Fulham Tu ,nazo kwa papatu papatu sana .hii fixtures yenu ya December imekaa utamu sana, hapa mpaka January inaingia hili jukwaa litakua limejaa matusi. View attachment 2838118
Unaongea ukiwa serious au unatania mkuu 🤠🤠🤠...hii timu Ina mashabiki wa rangi mbili kwli...mechi ya jana tyri imekutoa kabisa kwny reli...halafu tembo akipanda juu ya tawi tena muanze kusema ubingwa ni wetu....ajabu kwakwli....tungefungwa na kuona hatuna mpira wa kutafuta kitu tunacheza ningekaa kimya ila point moja umepitwa tyri umekata tamaa🤠🤠🤠...mkuu unaweza kwnda kujiunga na yule wa Nyukesto kama vpNaanza kuamini inawezekana sisi ni False hoper kwa kweli
Tuna mistake zinazojirudia season to season match to match
How come we fail to score today
Worst fan base ever 😂Unaongea ukiwa serious au unatania mkuu 🤠🤠🤠...hii timu Ina mashabiki wa rangi mbili kwli...mechi ya jana tyri imekutoa kabisa kwny reli...halafu tembo akipanda juu ya tawi tena muanze kusema ubingwa ni wetu....ajabu kwakwli....tungefungwa na kuona hatuna mpira wa kutafuta kitu tunacheza ningekaa kimya ila point moja umepitwa tyri umekata tamaa🤠🤠🤠...mkuu unaweza kwnda kujiunga na yule wa Nyukesto kama vp
Arsenal na andazi.
Ubingwa sio ku overload, playing style, aerial duel won wala takataka mnazodadili humu kila siku.
HOPELESS FC
Unaongea ukiwa serious au unatania mkuu...hii timu Ina mashabiki wa rangi mbili kwli...mechi ya jana tyri imekutoa kabisa kwny reli...halafu tembo akipanda juu ya tawi tena muanze kusema ubingwa ni wetu....ajabu kwakwli....tungefungwa na kuona hatuna mpira wa kutafuta kitu tunacheza ningekaa kimya ila point moja umepitwa tyri umekata tamaa
...mkuu unaweza kwnda kujiunga na yule wa Nyukesto kama vp
hawa ni wale mashabiki wa matokeo pekee,mashabiki wasioweza kujisimamia,mashabiki wasiojiamin wala wasioona uhalisia,mashabiki wasioamini kupoteza game wanaoamin kuteleza kidogo ndo mwisho wa kila kitu,mashabiki wanosikiliza zaid ya nje kuliko ya ndani, watu aina hii hata ndani ya mambo yao wengi wanakua ivyo yan kupigwa presha kidogo na hawa nyumbu na kenge tayari kashaingia kwenye mkumbo wao
, 
