Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Huwezi elewaLile goli lililokataliwa sijaelewa....ni Havertz kashika au faulo kwa kipa...maana sielewielewi yaani
Hadi useme yaani

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi elewaLile goli lililokataliwa sijaelewa....ni Havertz kashika au faulo kwa kipa...maana sielewielewi yaani

Hawa ni wasindikizaji kama kawaida yao.Ntakua wa mwisho kuamini Arsenane hii ya watoto inaweza chukua ubingwa mbele ya wanaume wa kazi Liverpool au Man City
Tunahitaji forwad january la sihivo yatajirudia ya mwaka jana


All in all lazima turudishe na kuongoza kipindi cha pili
. Worry out false hopers until next time 
Another hope but sadly its false hope. Worry out false hopers until next time
![]()







Hata kileleni walikaa kwa janjanjanaKu.ku nyie ,mnafikili ubingwa Ni ma.kalio

Mmefikishwa kileleni sio😀😀😀...pungeni upepo kidogo hapo...tutarudi
Villa amechokoza Moto
Nimei-miss arsenal iliyotanguliwa alafu inapindua matokeo
Sio ya kwanza nyie mna kitu tunaita bahati kwenye mechi nyingi sana msimu huu kushinda papatu papatu dakika za mwisho. Nilijua siku yenu inakuja mtakutana na watu wanaojua kufunga duka kwa good.Leo tulikua "POOR" sana
big up kwa Villa ✊
tangu ligi imeanza hii ndio game ya kwanza tunafungwa kihalali kabisa
Litimu linategemea draw ya city na liver ili lifikishwe kileleniMmefikishwa kileleni sio...pungeni upepo kidogo hapo...tutarudi
Another hope but sadly its false hope. Worry out false hopers until next time
![]()





Hakuna cha Trossard wala Tosadi hapa ,ni kibano kwenda mbele ,mpaka kidomo domo kiishe ,kelele zipungue .Sub ya maana ni Trossad Kama mchezo ukiwa mgumu
If things don't work out after 20 mins, tunatoa beki aingie wizard Trossad![]()
Wanaosema tumecheza vibaya siwaelewi au kwasababu hatujapata goli,
hatuna proper striker pia yule zinny tatu anakua mzigo sana hakabi, lakin kiungo mtamu n vizuri akabak tu acheze nane ya kushoto


Hamna cha kiwiko wala jogoo hapa ,kipondo kwenda mbeleWe need Trossard kiwior and Jorginho now
Tafuteni kocha wa kueleweka, kwa huyo Mateka wenu kila msimu mtakua mnaishia kushangilia kuoverload kiungo halafu makombe wanabeba wengine.Naanza kuamini inawezekana sisi ni False hoper kwa kweli
Tuna mistake zinazojirudia season to season match to match
How come we fail to score today
Acheze mpira Vila na kushinda dhidi ya City halafu sifa wanampa Arteta kwamba kawafikisha kileleni hopers hawa!Litimu linategemea draw ya city na liver ili lifikishwe kileleni
Ni kukandwa kwa kwenda mbele
Sent using Jamii Forums mobile app