Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo tulikua "POOR" sana

big up kwa Villa ✊

tangu ligi imeanza hii ndio game ya kwanza tunafungwa kihalali kabisa
Sio ya kwanza nyie mna kitu tunaita bahati kwenye mechi nyingi sana msimu huu kushinda papatu papatu dakika za mwisho. Nilijua siku yenu inakuja mtakutana na watu wanaojua kufunga duka kwa good.
Hivi bado mnaamini Arteta ni tactician mzuri kuliko Emery?
 
Sub ya maana ni Trossad Kama mchezo ukiwa mgumu

If things don't work out after 20 mins, tunatoa beki aingie wizard Trossad
Hakuna cha Trossard wala Tosadi hapa ,ni kibano kwenda mbele ,mpaka kidomo domo kiishe ,kelele zipungue .
Nyumbuz na ninyi washika manati huwa mna kelele sana ,
mmekuwa humbled leo na kukumbushwa ninyi ni nani
Ninyi ni vibonde tu ,ubingwa wenu ni top four
Na ile tabia yenu ya kuinua mabega na kujiita mabingwa mkome
 
Wanaosema tumecheza vibaya siwaelewi au kwasababu hatujapata goli,
hatuna proper striker pia yule zinny tatu anakua mzigo sana hakabi, lakin kiungo mtamu n vizuri akabak tu acheze nane ya kushoto

Before game “ saka akikabwa na watu wawili na kule martineli akikabwa na watu wawili then jesus anabaki pekee pale kati the best striker” njoo after game hatuna proper striker.

Uzuri wa mpira haujifichi unachezwa waziwazi ungekuwa unajificha nadhani Arsenal mngetesa sana
 
Naanza kuamini inawezekana sisi ni False hoper kwa kweli

Tuna mistake zinazojirudia season to season match to match
How come we fail to score today
Tafuteni kocha wa kueleweka, kwa huyo Mateka wenu kila msimu mtakua mnaishia kushangilia kuoverload kiungo halafu makombe wanabeba wengine.
tapatalk_1728412027_320x414.jpg
 
Litimu linategemea draw ya city na liver ili lifikishwe kileleni


Ni kukandwa kwa kwenda mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheze mpira Vila na kushinda dhidi ya City halafu sifa wanampa Arteta kwamba kawafikisha kileleni hopers hawa!
Halfu wakataka kujiaminisha wao ni bora kuliko city kuwa wanamkanda Villa,yako wapi?
 
Back
Top Bottom