Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na mimi leo nipo hapa kuhakikisha nawasagia kunguni ipasavyo
London is blue
Ninyi washika manati wa Emirates [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2957][emoji2957]
 
Kiufupi hamchomoki , mtapelekewa moto mpaka mkimbie pitch
Watching Asenyetoz miseries is my pleasure
 
Mabingwa feki ,mxieww
Mnadhani ligi ya wakulima hii
Eti bingwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama nyinyi au siyo
Mabingwa feki ,mxieww
Mnadhani ligi ya wakulima hii ?
Eti bingwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani ninyi asenyetoz Ninyi na genge lenu la wanywa ulanzi wenye utapia mlo akina Havertz ndio muwe mabingwa [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957], dharau sana hizi kwa ligi ya EPL na heshima ya hii trophy , haiwezekani
Kivumbi leooo
Na ile wenu mkimbie jukwaa , tunawafuata inbox huko huko [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mtachakaa sana leo ,tokeni huko kwenye Mapango yenu mlimojificha
Hapo bado Watkins mashetani hayaja mshika
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hili jukwaa tunaliteka mpaka wiki ipite ndo tunaliachia
Ni kuwasagia kunguni mpaka wahame humu , imagine hawa wahuni wanajiita mabingwa wa epl
Itakuwa kituko cha karne wahuni kama hawa kubeba title kubwa kama epl [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mpira wenyewe mnautafuta kwa tochi , hii ni timu au kijiwe cha vibaka panya road ?
 
Vikojozi asenyeto mmekuwa na kidomo domo sana baada ya ushindi wa papatu papatu mechi mbili tatu hivi zilizopita ,nawakumbusha tu hii ni Epl
Take care ,ninyi ni wasindikizaji tu
Msijipe umiliki wa title ambao hamna [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Nyumbu kula chuma hichoo🤣😂😆
FB_IMG_17021444961117147.jpg
 
Kale kajamaa kastats za uchwara kapo shimoni.[emoji3][emoji3]
Kamekimbia , huwa vinatabia ya kujificha ,vinavizia mpaka vibahatishe ndio utabiona humu vimelundikana kama nyigu na statistics ushuzi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom