Asenyetoz Leo mnakung'utwa si chini ya goli 3 .Villa amechokoza Moto
Nimei-miss arsenal iliyotanguliwa alafu inapindua matokeo
Kama nyinyi au siyoAsenyetoz Leo mnakung'utwa si chini ya goli 3 .
Sisi hatujafungwa 3 na villaKama nyinyi au siyo
Ninyi kazi mnayo leoKama nyinyi au siyo
leo makosa yoyote yatatutesa sana
upande wa zincheko na wasiwasi nao sana
Today this is our big test for title claiming
Mabingwa feki ,mxiewwKama nyinyi au siyo




Yaani ninyi asenyetoz Ninyi na genge lenu la wanywa ulanzi wenye utapia mlo akina Havertz ndio muwe mabingwa 


, dharau sana hizi kwa ligi ya EPL na heshima ya hii trophy , haiwezekani




Ni kuwasagia kunguni mpaka wahame humu , imagine hawa wahuni wanajiita mabingwa wa eplHili jukwaa tunaliteka mpaka wiki ipite ndo tunaliachia




