Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na mimi leo nipo hapa kuhakikisha nawasagia kunguni ipasavyo
London is blue
Ninyi washika manati wa Emirates
 
Kiufupi hamchomoki , mtapelekewa moto mpaka mkimbie pitch
Watching Asenyetoz miseries is my pleasure
 
Kama nyinyi au siyo
Mabingwa feki ,mxieww
Mnadhani ligi ya wakulima hii ?
Eti bingwa Yaani ninyi asenyetoz Ninyi na genge lenu la wanywa ulanzi wenye utapia mlo akina Havertz ndio muwe mabingwa , dharau sana hizi kwa ligi ya EPL na heshima ya hii trophy , haiwezekani
Kivumbi leooo
Na ile wenu mkimbie jukwaa , tunawafuata inbox huko huko
 
Mtachakaa sana leo ,tokeni huko kwenye Mapango yenu mlimojificha
Hapo bado Watkins mashetani hayaja mshika
 
Mpira wenyewe mnautafuta kwa tochi , hii ni timu au kijiwe cha vibaka panya road ?
 
Back
Top Bottom