Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

So far hii game tumeikamata kwa 65%
Villa wamebakisha kufanya mashambulizi ya kuasitukiza

Tunahitaji utulivu
Clinical Shooting, Martinez sio Onana

Kipindi Cha pili lazima wateme bungo
Wametema kumbe?
 
mtakuja kujifariji hapa mmeupiga mwingi.
20220105_193554.jpg
 
Back
Top Bottom