Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,823
- 103,732
Unaambiwa Unai amekasirika sana vijana wamecheza kichovuAston villa wamenikera kweli haiwezekani wakose magoli ya wazi wazi tu![]()
Unaambiwa Unai amekasirika sana vijana wamecheza kichovuAston villa wamenikera kweli haiwezekani wakose magoli ya wazi wazi tu![]()
Hakuna kihalali aisee.. Ukiacha mapungufu ya wachezaji wetu, maamuzi mengi yameenda against us.Leo tulikua "POOR" sana
big up kwa Villa ✊
tangu ligi imeanza hii ndio game ya kwanza tunafungwa kihalali kabisa
Lawama zimeanza au siyoDah, sio kwa kuonewa huku na hawa waamuzi.
Achilia mbali kuonewa kuna shida kwa martineli hayuko sawa natamanj arudi kuwa wa last season aiseeDah, sio kwa kuonewa huku na hawa waamuzi.
Possible ya konyoWe are dubbed king of late goals, will it be possible today?

Achilia mbali kuonewa kuna shida kwa martineli hayuko sawa natamanj arudi kuwa wa last season aisee


. After game unamtaka martineli wa last season






Asenyo banaaa, ukiwaasikia mbwembwe zao kabla ya mechi unaweza usipeleke timu uwanjani eti "Leo matokeo ni mawili tu Asenyau ishinde au Aston Villa afungwe"Cry more😂Lile goli lililokataliwa sijaelewa....ni Havertz kashika au faulo kwa kipa🤠🤠...maana sielewielewi yaani
Mbona chupuchupu imekushindaUzuri wa haters hawaangalii yakwao wanaangalia ya wengine, man fongo kafa kikatili bado wanapumzi ya kutubeza, kuku nao chupuchupu ashukuriwe VAR lakn wanajikuta wako firee haya twendee

January tunahitaji wachezaji 3




.
mbona hamueleweki nyinyi wakati wakutafuta ubingwa mnawaza usajili wakati wa kushangilia ubingwa mnawaza usajili sasa mtasajili wachezaji wangapiPoints ngapi wamepata?oya wamba.. arteta ni mtu na nusu.. kwa walioangalia mpira ;arsenal lazima iku dominate ata game iweje.. big up kwake.
Asenyo banaaa, ukiwaasikia mbwembwe zao kabla ya mechi unaweza usipeleke timu uwanjani eti "Leo matokeo ni mawili tu Asenyau ishinde au Aston Villa afungwe"
Hamna kitu inanipa burudani kama kusoma comments za mashabiki wa Arsenyau timu yao inapofungwa.






