Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Weekend ndefuuuuu kwekwel bila EPL...tumeshajizoelea kutoa dozi week out week inn yaan apa miguu inatuwasha.

Jumapili njema watani.
 
Weekend ndefuuuuu kwekwel bila EPL...tumeshajizoelea kutoa dozi week out week inn yaan apa miguu inatuwasha.<br />
<br />
Jumapili njema watani.
<br />
<br />
You just wait,second leg lazima tuweke shingo ya ManYoo kwenye gogo la buchani,naona mke kamuotea mume akiwa anaumwa taabani kitandani,kampiga basi naye anajiona kiduume,mnajifanya kutembea kifua mbele kama mmepigwa ngumi ya mgongo,mkija emirates mtatembea masaburi nyuma kama mbuzi kagoma kwenda!
 
Inasikitisha kuona kila kukicha dua mbaya kwa ARSENAL haziishi,wengine wanaomba majeruhi wengine wanaomba iwe kama CHESKI na TORRES,plz sometimes inabidi muwe fair!

Inawezekana ndio maana ya ushabiki, kutuponda wakati tumegalagazwa chini huku hatujielewi, au inawezekana wanaipenda arsenal moyoni ila kusema wazi na kushabikia hawawezi!
Na tungekua hatusemwi hivi ingemaanisha sio threat EPL.
Wazee, Chelski, Manure, Liverscousers na Man City, wanatuogopa mno, na ndio maana ya makelele na kutuponda ivyo!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
You just wait,second leg lazima tuweke shingo ya ManYoo kwenye gogo la buchani,naona mke kamuotea mume akiwa anaumwa taabani kitandani,kampiga basi naye anajiona kiduume,mnajifanya kutembea kifua mbele kama mmepigwa ngumi ya mgongo,mkija emirates mtatembea masaburi nyuma kama mbuzi kagoma kwenda!
<br />
<br />
Haki ya mama duniani kuna misemo. Mkuu uivyopanga vina hadi unatisha. Safi sana!
 
Poleni watani kwa hii habari ya Wilshere, isije kuwa kama issue ya TV5.
 
You just wait,second leg lazima tuweke shingo ya ManYoo kwenye gogo la buchani,naona mke kamuotea mume akiwa anaumwa taabani kitandani,kampiga basi naye anajiona kiduume,mnajifanya kutembea kifua mbele kama mmepigwa ngumi ya mgongo,mkija emirates mtatembea masaburi nyuma kama mbuzi kagoma kwenda!
Mkuu katika last 4 seasons Arsenal ameifunga Man Utd mara ngapi and vice versa ukiweka jibu ndio tutajua nani alimuotea mwenzake. Hii International Break hii.
 
Mkuu katika last 4 seasons Arsenal ameifunga Man Utd mara ngapi and vice versa ukiweka jibu ndio tutajua nani alimuotea mwenzake. Hii International Break hii.

last season katika EPL .. mlitufanga kwenu .. tukaja kuwachinjia emarates ...
 
Mkuu katika last 4 seasons Arsenal ameifunga Man Utd mara ngapi and vice versa ukiweka jibu ndio tutajua nani alimuotea mwenzake. Hii International Break hii.

Inauma sana lakini its a blessing in a disguise for the likes of FRIMPONG.
 
Katika mechi ijayo joachim Low amesema per mertesacker atam-replace mats hummels ili kuimarisha ngome ya German.
 
Habari za jumatatu?
<br />
<br />
habari za jumatatu ni kuwa uefa wamekataa appeal ya wenger, hivyo basi amefungiwa mechi 2..so atakosa mechi mbili,kati ya arsenal vs borussa dortmund(away) na dhidi ya olympiacos (home)
 
Inawezekana ndio maana ya ushabiki, kutuponda wakati tumegalagazwa chini huku hatujielewi, au inawezekana wanaipenda arsenal moyoni ila kusema wazi na kushabikia hawawezi!
Na tungekua hatusemwi hivi ingemaanisha sio threat EPL.
Wazee, Chelski, Manure, Liverscousers na Man City, wanatuogopa mno, na ndio maana ya makelele na kutuponda ivyo!
Hapa umenikumbusha kauli moja ya zamani aliyowahi kuisema ARSENE WENGER...Tecnology isikubalike katika mpira,kwa sababu itauwa ushabiki "UBISHANI" na ushabiki ukiondoka basi mpira utakufa!
Lakini kweli huu ushabiki ndio utupelekee kuombeana kuumia?...Jaribu kuvuta picha jinsi alivyoumia EDWARDO DA SALVA mechi na Birmingham City,au Aaron Ramsey jinsi alivyoumizwa na Ryan Showcross wa Stoke City.
 
<br />
<br />
habari za jumatatu ni kuwa uefa wamekataa appeal ya wenger, hivyo basi amefungiwa mechi 2..so atakosa mechi mbili,kati ya arsenal vs borussa dortmund(away) na dhidi ya olympiacos (home)

Poleni, vipi matanga mnamaliza lini?
 

Hapa umenikumbusha kauli moja ya zamani aliyowahi kuisema ARSENE WENGER...Tecnology isikubalike katika mpira,kwa sababu itauwa ushabiki "UBISHANI" na ushabiki ukiondoka basi mpira utakufa!
Lakini kweli huu ushabiki ndio utupelekee kuombeana kuumia?...Jaribu kuvuta picha jinsi alivyoumia EDWARDO DA SALVA mechi na Birmingham City,au Aaron Ramsey jinsi alivyoumizwa na Ryan Showcross wa Stoke City.


Acha kulialia mkuu, unaweza kuthibitisha kwamba wapinzani wanaombea Arsenal mpate majeruhi? Kwa upande mwingine mimi naweza kuthibisha washabiki wa Arsenal wanavyoombea wapinzani waumie, au kuchekelea wanapokuwa wameumia! Anyway, najua huu ni ugonjwa wenu Arsenal, hypocrisy na kujifanya victims kwa kila kitu.
 
Back
Top Bottom