Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,071
- 306
Nambie first lady wetu...m namtafuta first lady wa jukwaa hili..mamaaa Michelle...sijui ameshaji mkwawa?Napita tu...mmeshapoa na kipigo? au usajili mpya unawapa ahueni??!! lol
Nambie first lady wetu...m namtafuta first lady wa jukwaa hili..mamaaa Michelle...sijui ameshaji mkwawa?Napita tu...mmeshapoa na kipigo? au usajili mpya unawapa ahueni??!! lol
Katika big 5,wawili(liver na Man) wametuumbua tayari,sasa hao watatu waliobaki lazima tuwageuze makoo tuwatagishe mayai,na mliotuotea,watchout second leg!
Safi Jagi
Bao nane 'tumeotea'....moja, mbili, tatu, nne, tano, sita, saba na naneeeeeeeee!
Second leg mnapigwa fo oclock Emirata. Mark my words dude!
hahaha... hiypo post 14613 nitihafadhi alafu nitakuja kukumbusha hiyo siku.. tuombe uzima
Naona unachekelea mabaki ya Chelsea!....Desperation!
The South Korean striker had a deal lined up to join the Ligue 1 champions and was penciled in for a medical there, but when the club's directors went to meet him, they found his hotel room empty as he'd hopped on the Eurostar to sign for the Gunners.
He's the footballing equivalent of the girl you chat to all night long in the pub only to see her walk off with your more handsome mate. What a kick in the nuts, eh?
Belo.....Katika majukwaa ya timu zote humu jukwaa ambalo huwa halikauki mashabiki wa timu husika ni hili la Arsenal......Tushinde,tutoke sare ama tufungwe lakini wana Arsenal siku zote tunawakilisha kama kawa,lije jua ije mvua.....Ndio maana ukiangalia utaona hili ni jukwaa(kwa sports) lenye page nyingi(731 pages) na post nyingi(zaidi ya post 14,500) kuliko majukwaa mengine yote.....Sisi daima tupo hapa hata kama ligi imemalizika,ni tofauti na majukwaa mengine ambayo wenye nayo hutokomea kusikojulikana hasa timu zao zinapofungwa(wanajulikana)....Wengine kutwa kucha wapo hapa jukwaani kwetu......Kumbe hili jukwaa lina mashabiki wengi,mbona siku za mechi hamuonekani?
katika Goal.com Biggest transfer tease wameandika ni ya Park Chu-Young from Monaco to Arsenal, via Lille....
yaani kama namuona vile alivyopata simu na jinsi alivyoondoka faster hoteli bila hata kuaga....
Sawa sawa Comrade.....Mimi ni mmojawapo wa waliokuwa wanataka AW atimuliwe kama si kuondolewa kutokana na ukaidi wake na sera yake ya kusajili watoto ambayo kimsingi imefail...........khe khekhe... Bandikeni ukutani kabisa hiyo result ya 8-2 iwapo inawapa ashki ya kulia bamia, au mhemuko wa kutafutia usingizi.
Arsenal twasema, yalopita si ndwele...kama viraka AW keshatafuta OKO na Supa-glu!...waliotaka afukuzwe wanajipitisha ati kumpongeza kwa usajili...yote tisa...
Kwa sie, hususan wapenzi wa 'wengerball'---kumi twajisemea twaanza alifu kwa ujiti...! hatuna papara wala nini...team imesukwa upya...kilichobaki kununua tende na halua tayari kufurahia tena ---Wengerball---na vijikombe vyetu vya kahawa!
Arsene tried, lakini siku zote tunasema malipo ya punda mateke. Ipo siku FA, English Media na Europe, hususan kina Fab, £lamini, Na$ri, watajutia walichomtendea huyu babu na filosofia yake ya "ARSENE" YOUTH ACADEMY...
In Arsene Wenger I Trust...he's irreplaceble. He's our identity, our (manure) Sir Fergie or, our (chelski) Mourinho or, He's our vision...the club best Manager.
Natuanze league sasa...
Duh! with this lineup Arsenal itakuwa among the oldest in premier League Almunia(34), Sagna(28), Squillacy(31), Santos(28), Merteserke(26), Arteta(29), Benayoun(31), Arshavin(30), Van Persie(28), Rosiscky(30), Chamack(27). HA HA HA HA AAA................!
Sawa sawa Comrade.....Mimi ni mmojawapo wa waliokuwa wanataka AW atimuliwe kama si kuondolewa kutokana na ukaidi wake na sera yake ya kusajili watoto ambayo kimsingi imefail........
At least safari hii amsikiliza kilio cha wengi kwa kutuletea wachezaji wenye majina na waliokomaa kisoka na ambao wanaweza kuturudishia tumaini lililopotea katika title race ya EPL badala ya kusajili watoto ambao inachukua muda kuwatengeneza.....
Wenger na bodi wasingesajili safari hii ingekuwa ni Anguko kubwa sana la Ashburton Grove na thank God wameliona hili ndio maana wameamua kuwalipia mashabiki tiketi kwa away game kutokana na kadhia iliyopatikaana wakati wa game na Man Utd.......Kikosi kilikuwa dhaifu mno na kipigo kilikuwa ni cha aibu na fedheha kweli.....
Kwa usajili huu alioufanya naanza kuona ujio mpya wa enzi za The Invincibles.....Na sasa(baada ya usajili huu wa nguvu(hasa wa Arteta, Per na Andre bila kuwasahau Yossi,Gervinho na AOC) nachelea kusema kwamba kuanzia leo In Arsene I Trust.........Yes I said it, In Arsene I Trust
Lol......Yashakuwa hayo????....Huu unafiki sasa aisee....Duh! with this lineup Arsenal itakuwa among the oldest in premier League Almunia(34), Sagna(28), Squillacy(31), Santos(28), Merteserke(26), Arteta(29), Benayoun(31), Arshavin(30), Van Persie(28), Rosiscky(30), Chamack(27). HA HA HA HA AAA................!
<br />
<br />
Katika big 5,wawili(liver na Man) wametuumbua tayari,sasa hao watatu waliobaki lazima tuwageuze makoo tuwatagishe mayai,na mliotuotea,watchout second leg!
Kwa usajili huu alioufanya naanza kuona ujio mpya wa enzi za The Invincibles.....Na sasa(baada ya usajili huu wa nguvu(hasa wa Arteta, Per na Andre bila kuwasahau Yossi,Gervinho na AOC) nachelea kusema kwamba kuanzia leo In Arsene I Trust.........Yes I said it, In Arsene I Trust