Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ARSENAL's NEW STARTING LINE UP-ARTETA,MERTESACKER AND SANTOS.MAKE THE TEAM.
 

Attachments

  • ARSENAL%20STARTING%20LINEUP.jpg
    ARSENAL%20STARTING%20LINEUP.jpg
    96.6 KB · Views: 36
<font color="#ff0000"><span style="font-family: arial black">ARSENAL's NEW STARTING LINE UP-ARTETA,MERTESACKER AND SANTOS.MAKE THE TEAM.</span></font>
<br />
<br />
Mh!itokee miracle hili kosi lisikumbwe na majeruhi ni ku-distribute pains kwa kwenda mbele!
 
Nimehuzunika tumeuza Jay Emmanuel Thomas huyu angetufaa sana siku za mbele, Lansbury nae ni mchezaji mzuri ila naona Wenger kakubali kuwaachia hawa wanawe akiwemo Sunu ili ku-acommodate wachezaji wetu wapya, haya ni mapinduzi ambayo ilikuwa hakuna jinsi yafanyike kwa sababu hawa watatu ni katika watoto wake vipenzi.
Nasikia Arteta atavaa jezi namba 8 iliyoachwa na Le gaellic traitor?
 
Nimehuzunika tumeuza Jay Emmanuel Thomas huyu angetufaa sana siku za mbele, Lansbury nae ni mchezaji mzuri ila naona Wenger kakubali kuwaachia hawa wanawe akiwemo Sunu ili ku-acommodate wachezaji wetu wapya, haya ni mapinduzi ambayo ilikuwa hakuna jinsi yafanyike kwa sababu hawa watatu ni katika watoto wake vipenzi.
Nasikia Arteta atavaa jezi namba 8 iliyoachwa na Le gaellic traitor?

Usitie shaka mkuu, kama wataendeleza vipaji vyao na kuwa wachezaji nyota watauzwa kwa timu itakayotoa donge nono, lakini wakati huo huo Arsenal watakuwa na option ya ku-buy back at 50%. Mikataba imesukwa vizuri sana, ni kama Cesc wakitaka kumuuza ni lazima Arsenal wamkatae kwanza kwa markert price, lakini fee kwa Arsenal itakuwa 50% only.
 
Frimpong na Miyachi ni LAZIMA WAWEPO KWENYE BENCH.

Squad imetulia kidogo io
Kama FRIMPONG asingeliumia msimu uliopita,angekuwa na nafasi kubwa kwa msimu huu, na MIYAICHI anahitaji muda ingawa alikuwa na msimu mzuri akiwa na Fayenoord,lakini Eredivisie ni tofauti kidogo na Premier League,so I can see both of them playing big party in the Carling Cup and FA Cup.
 
Kama FRIMPONG asingeliumia msimu uliopita,angekuwa na nafasi kubwa kwa msimu huu, na MIYAICHI anahitaji muda ingawa alikuwa na msimu mzuri akiwa na Fayenoord,lakini Eredivisie ni tofauti kidogo na Premier League,so I can see both of them playing big party in the Carling Cup and FA Cup.
Frimpong atacheza big part na sio kwa mechi za FA/carling tu bali EPL, huyu dogo Wenger anam-rate so high na alikuwa yeye ndio awe promoted kwenye full squad hata kabla ya Jack Wilshere lakini majeruhi yake ndio yaliyompa Jack nafasi, that is how high Wenger anam-rate huyu dogo.
 
<br />
<br />
Mh!itokee miracle hili kosi lisikumbwe na majeruhi ni ku-distribute pains kwa kwenda mbele!
Nadhani ukitazama utaona kuna wachezaji kama KOSCIELNY ambaye binafsi namuweka mbele ya DJOUROU hawapo hata reserve,
ABOU DIABY,despite his in and out,on his days has quality,ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN the kid is good enough to make impact on his debut season,and many football expert rate him higher than THEO WALCOT...and CHAMAKH kwa sasa ni third choice striker.
And on top of that Mungu wetu sote safari hii ARSENAL inaweza kuwa na injury free.
 
Frimpong atacheza big part na sio kwa mechi za FA/carling tu bali EPL, huyu dogo Wenger anam-rate so high na alikuwa yeye ndio awe promoted kwenye full squad hata kabla ya Jack Wilshere lakini majeruhi yake ndio yaliyompa Jack nafasi, that is how high Wenger anam-rate huyu dogo.

Hilo halikatalika lakini kwa desturi WENGER huwachukulia taratibu sana chipukizi wake na WILSHER kama chipukizi wengine walioinukia Arsenal ni wachache sana ambao hawaendi loan mara nyingi,Championship.na WILSHER loan ya BOLTON ilimsaidia sana kupata uzoefu wa Premier League,nadhani tunaona ARSENAL alivyo anza msimu na card nyingi na ukitazama ni wachezaji gani wamekuwa wahanga wa red card utaona ni wale wageni na Premier league ingawa haina maana wazoefu hawapati red card.
 
Nadhani ukitazama utaona kuna wachezaji kama KOSCIELNY ambaye binafsi namuweka mbele ya DJOUROU hawapo hata reserve,
ABOU DIABY,despite his in and out,on his days has quality,ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN the kid is good enough to make impact on his debut season,and many football expert rate him higher than THEO WALCOT...and CHAMAKH kwa sasa ni third choice striker.
And on top of that Mungu wetu sote safari hii ARSENAL inaweza kuwa na injury free.

DJOUROU ni one of the worse katika timu yetu, na ile hair style anazidi kunikera.... nadhani wenger atachanganya expirince na vijana chipukizi kama enzi zile za kina henry theo alivyokuwa anatokea benchi....

Arteta amekubali pay cut ili a join arsenal... hahaha! kina cesc wametoa pesa zao ili wakimbie gooners... kuna huyu striker park.. jamaa namchukulia kama super sub!... they guy he is super good...

 
na ukiangali wachezaji aliosajili wenger Alex Oxlade Chamberlain &#8211; Southampton &#8211; £15million ndio wa bei ghali.. inaelkea prof. anamuamini na ana mategemeo makubwa kwa huyu kijana...
 
na ukiangali wachezaji aliosajili wenger Alex Oxlade Chamberlain &#8211; Southampton &#8211; £15million ndio wa bei ghali.. inaelkea prof. anamuamini na ana mategemeo makubwa kwa huyu kijana...
Uzuri wa mchezaji wa kiingereza akija ku-peak hana mapepe ya kuhama hama kama hao akina Cesc,Nasri Ade,Hleb etc tec,atakuja saidia chama.
 
hebu kwanza nianze kucheka!!! hehehehehehe!!!!!!!! habari ipo hivi .....


GOYANG, South Korea - A hat trick by new Arsenal signing Park Chu-young lifted South Korea to win over Lebanon in their World Cup qualifier on Friday.

416_cp24_park_chu_young_110830.jpg

 
<font size="4">hebu kwanza nianze kucheka!!! hehehehehehe!!!!!!!! habari ipo hivi .....<br />
</font><br />
<br />
<br />
<br />
<div style="text-align: center;"><img src="http://images.ctv.ca/archives/CTVNews/img2/20110830/416_cp24_park_chu_young_110830.jpg" border="0" alt="" /><br />
</div>
<br />
<br />
Tatizo watu wanapopiga hesabu za first XI ya gunners,wana m-exclude young,mi nawambieni huyu bwana ataja pigisha watu bench arsenal mpaka mtashangaa!
 
Uzuri wa mchezaji wa kiingereza akija ku-peak hana mapepe ya kuhama hama kama hao akina Cesc,Nasri Ade,Hleb etc tec,atakuja saidia chama.
<br />
<br />
naungana mkono kabisa na wewe, wachezaji wa kiingereza wako commited sana na club zao kuliko wageni.
 
Inabidi wenger awe anatumia 4-4-2 ..rvp na park wawe upfront.
 
Fat Arses fans bana..naona mko bize kupigia mahesabu mali ikiwa shambani bana ata ghalani haijafika?, ngoja viwav jeshi waje wawatia hasara.
 
Inasikitisha kuona kila kukicha dua mbaya kwa ARSENAL haziishi,wengine wanaomba majeruhi wengine wanaomba iwe kama CHESKI na TORRES,plz sometimes inabidi muwe fair!
 
Back
Top Bottom