Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shida ni kwamba hampendi kukubali new ideas, yani mtu akiandika tofauti na ulichoandika unahisi kama anakukosoa, no, vitu haviendi hivyo, ni elimu tu bro tunajifumza.
 
Hamis anasema Luiz hawezi kucheza LCM wakiwa pamoja na Rice, sisi waga tunawakumbusha.
 
Kenge gang (nyumbu & vyura fc) hawatakuelewa
 
Kwani mkuu una tatizo gan mbna unaonekana unaichukia sana arsenal kuna sehemu imekukosea nin?
 
mpira wa sasa sio about numbers au positions za wachezaji bali ni majukumu
yapi wanayoyafanya uwanjani kulingana
na namna timu inataka icheze dhidi ya mpinzani.

kwa namna arsenal inavocheza ;ni ngumu sana luiz kufanya majukumu ya rice mana inatakiwa ku cover distance kubwa zaidi uwanjani na uwe mzuri zaid kiukabaji.

so.. kama utataka wote waanze.. itabidi luiz agewe kipande kidogo cha uwanja na asiwe anapanda sana juu bali awe anacheza zaidi na beki wawili wa kati.. ila rice anabaki kama anavocheza saivi.. zile panda shuka na kuja kukaba wakti timu inashambuliwa.
 
Nyie kondoo punguzeni kulialia, hakuna siku VAR ilishawahi kuwafavour?, mlilalamika?
sisi hatulii tunataka consistency.. kwa nini mpira ule kwa Rushford ulihesabika umetoka na kwetu imekua goli na kingine ambacho hujui uiengereza inaongoza kwa kuwa na bookmarkers wengi wa kamari game zinakua hazina fairness...
nenda YouTube tafta zile sauti za var operators wanavyobishanaga utanielewa
 
tomiyasu anazidi kuiva siku hadi siku
 
Shida ni kwamba hampendi kukubali new ideas, yani mtu akiandika tofauti na ulichoandika unahisi kama anakukosoa, no, vitu haviendi hivyo, ni elimu tu bro tunajifumza.
Na wewe hivo hivo hampend kuheshimu mawazo ya wenzenu

Mimi nimeamua kukubaliana kutokubaliana
 
inatafutwa £100m ili timu iweze kumnunua Toney next January.Four players could be sold in order to raise the needed cash:
ESR
Partey
Ramsdale
Nketiah
Source: Athletic
ESR ni asset nzuri majeraha yamemueka nje ila naamini sana kwenye ubora wake
 
Hamis anasema Luiz hawezi kucheza LCM wakiwa pamoja na Rice, sisi waga tunawakumbusha.
Sijasema hawez ,nimesema Rice Ni LCM mzuri kuliko Luiz,

Ndio maana hata Partey , Jorginho ,ukitaka uwachezeshe na Rice ,uta opt Rice acheze LCM,sababu atakupa mahitaji yote ,tofut na umeweke Jorg au Partey as LCM ,
 
ukitana na bayern leverkusen anakuchapata nje ndani vizurii tu yanii...... sasa uyo kopehageni game ya kwanza mlichomoa penalty mkambeba onana kama lulu afu game ya pil umekufa... europa ina watu wake kule sio kinyonge
 
Ni Kama tunavyomtumia Jorginho Sasa

Ila nikupe habari ,Luiz ana cover eneo kubwa vzr tu Kama Partey
 
️ Arteta on Havertz:

"I can tell you that I'm really pleased with the way he's performing".

“Looking at the numbers of what he's producing in front of goal, those have to be improved... but in many other areas of the pitch, what he gives to the team is really important".
 
Sharti tu ! ,Mkipewa kisago cha mbwa mwizi Msikimbie jukwaa na kuanza kutukanana humu ,maana hii ndio tabia yenu washabiki wa asenyeto

Mna kidomo domo sana ninyi , mtajileta magetoni Bernabeu ,mtaona moto
 
Mikel Arteta claims Kai Havertz has probably been Arsenal’s best player over the last three games against West Ham, Newcastle United and Sevilla.

The German looks to finally be finding his feet in North London. #afcView attachment 2809561
Kama kweli hii ni mentality ya kocha wetu
Tumekwishaaaa

Ivi Pep anawezaje kuwa na quality player almost kikosi kizima???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…