toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Kwangu mimi kuna wachezaji naona muda wao unakaribia within 2-4 years watalazimika kuondoka kadri tunavyopata quality players
ODEGARD. Jamaa anakosa nguvu,high intensity driving hasa tukikutana na team physical and pace natured.kwa aina ya team anayoijenga arteta ni suala la muda tu.LCM ni eneo ambalo anacheza constantly kwa kuwa hatujapata right player eneo hilo.
Kuna quality player siku akipatikana ambaye ana
Ball vision
Ball striking
Bird eye kwenye pasi ya mwisho
Ball dribbling
physical on and off ball
Kasi na uwezo wa kuzifungua low block team.
Siku akipatikana nawaambia Captain ode atakaa bench na atauzwa.
Arteta na Edu wanatafuta huyu mtu taratibu.
JESUS.Jamaa ni moja ya watu ambao ni very blessed.namfananisha na mtu anayemiliki AUDI ila haina staring.wote tunajua ubora wa AUDI ila ikikosa "steringi" value yake inapotea.Jamaa uwezo wake wa kufunga hata ile ball striking ni ya kawaida.ATAONDOKA hamalizi miaka miwili.
Kuna wachezaji sisi tunawaona permanent ila kwa arteta na kichaa wake edu ni wachezaji walioletwa kutengeneza reputation ya team ili kuvuta toptop quality players.ni kama trekta wanasafisha njia ila baadae wanabebwa na lowbed ili wasiharibu walichotengeneza.
Nketiah,nelson,Jog20 hata rowe wataondoka taratibu kadri quality players wanavyokuja.
Arteta anatafuta kwa nguvu mno mtu wa kumrithi partey hasa kutokana na majeruhi yake ila amegundua you don't get such a player coz you have money.
Kuna mengi kwenye kichwa cha arteta ambayo mashabiki na wachezaji hawayatarajii ila yapo.
RAMSDALE SAGA inapaswa iwe somo kwa kila mchezaji na shabiki kwamba kuna heights Arsenal inazitafuta na itamtoa sadaka yeyote ili kufikia malengo
ODEGARD. Jamaa anakosa nguvu,high intensity driving hasa tukikutana na team physical and pace natured.kwa aina ya team anayoijenga arteta ni suala la muda tu.LCM ni eneo ambalo anacheza constantly kwa kuwa hatujapata right player eneo hilo.
Kuna quality player siku akipatikana ambaye ana
Ball vision
Ball striking
Bird eye kwenye pasi ya mwisho
Ball dribbling
physical on and off ball
Kasi na uwezo wa kuzifungua low block team.
Siku akipatikana nawaambia Captain ode atakaa bench na atauzwa.
Arteta na Edu wanatafuta huyu mtu taratibu.
JESUS.Jamaa ni moja ya watu ambao ni very blessed.namfananisha na mtu anayemiliki AUDI ila haina staring.wote tunajua ubora wa AUDI ila ikikosa "steringi" value yake inapotea.Jamaa uwezo wake wa kufunga hata ile ball striking ni ya kawaida.ATAONDOKA hamalizi miaka miwili.
Kuna wachezaji sisi tunawaona permanent ila kwa arteta na kichaa wake edu ni wachezaji walioletwa kutengeneza reputation ya team ili kuvuta toptop quality players.ni kama trekta wanasafisha njia ila baadae wanabebwa na lowbed ili wasiharibu walichotengeneza.
Nketiah,nelson,Jog20 hata rowe wataondoka taratibu kadri quality players wanavyokuja.
Arteta anatafuta kwa nguvu mno mtu wa kumrithi partey hasa kutokana na majeruhi yake ila amegundua you don't get such a player coz you have money.
Kuna mengi kwenye kichwa cha arteta ambayo mashabiki na wachezaji hawayatarajii ila yapo.
RAMSDALE SAGA inapaswa iwe somo kwa kila mchezaji na shabiki kwamba kuna heights Arsenal inazitafuta na itamtoa sadaka yeyote ili kufikia malengo
.