Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakubwa tunaposema tutaidominate hii ligi kwa miaka 10+ tunamaanisha

Kuna balaa hili hapa dogo anaitwa Charlie Patino yupo Blackpool kwa mkopo

Anacheza CM(LCM) nafasi ya Granit Xhaka

Unyumbulifu

Tackling

One touch football

Press resistant

Tight spaces

Long balls

Interception

Kama atarudi msimu ujao sehemu ya kuimprove ni physicality tu

Naweza kum-rate huyu ahead of Vieira (Maoni yangu)

Kama tukimpata Caicedo/Rice tukaongeza RW na RB naona tutaenda kuchallenge UEFA next season

makaveli10 ukipata muda mfatilie huyuView attachment 2564677
Shukrani mkuu, nitamuangalia.. kitendo cha kusema ni mnyumbulifu kinatosha, mwili wake ulivyo anaonekana kuhitaji kuongeza nguvu tu.. napenda mchezaji akiwa mnyumbulifu.
 
Arsenal are among the clubs interested in Romeo Lavia. [@FabrizioRomano]


Nilikuwa naangalia mechi ya Soton vs Spurs , nilikuwa na mtu pemben nikamwambia naomba mfatilie LAVIA

Dogo haimbwi Sana ila anajua Ni version ya kina Caicedo ambao Ni successor sahihi wa Thomas Partey


Mancity Wana kipengere Cha kumrudisha mwaka 2024 kwa €40m


Ni zao la academy ya mancity ,

Mpaka sasa Soton na Westham wanaweza kushuka daraja hivo Rice & Lavia tunaweza kuwapata kwa £100m wote wawili


Rice sion akija japo Fabrizio anasema bado tupo interested nae
 
Huyo Zubimendi akiacha wenge la kutamani kwenda Barca ni Partey mweupe na mdogo.

Huyu Rice akija Arsenal atahitaji robo msimu au nusu msimu kutoa anachotoa Partey. Mchezaji mwingine ambaye watu naona wanamuimba ila hamna kitu ni Rafael Leao
 
Huyo Zubimendi akiacha wenge la kutamani kwenda Barca ni Partey mweupe na mdogo.

Huyu Rice akija Arsenal atahitaji robo msimu au nusu msimu kutoa anachotoa Partey. Mchezaji mwingine ambaye watu naona wanamuimba ila hamna kitu ni Rafael Leao
Labda kwa vile yupo physical maana akiwa na mpira hua ni mgumu kumpokonya
 
Baada ya janja janja za Pep kufake injury ya Haaland kuelekea mechi za kimataifa, sasa wachezaji wa City wamepewa maelekezo mengine ya kuwaumiza wachezaji wetu.

🇳🇴 Martin Odegaard was LUCKY to escape a fateful injury after a horrible tackle from Rodri last night!
IMG_20230326_113702_399.jpg


 
Huyo Zubimendi akiacha wenge la kutamani kwenda Barca ni Partey mweupe na mdogo.

Huyu Rice akija Arsenal atahitaji robo msimu au nusu msimu kutoa anachotoa Partey. Mchezaji mwingine ambaye watu naona wanamuimba ila hamna kitu ni Rafael Leao
Nakubaliana na wewe ,Rice atahitaji msimu mzima apikwe , ila nasikia Rice anatakiwa eneo la Xhaka , kwa Partey Ni Romeo Lavia , Caicedo au Zubimend


Leao sijawahi kumkubali ,kwa anavyosemwa hakutakiwa pale Portugal awe ana struggle kuanza ,ukimfatilia Ni ana mentality zile zile zilizowaondoa kina Pepe ,

Mbele atacheza vzr ,ila timu haina mpira Rudi kukaba Sasa ,ndio mtihani
 
Huyo Zubimendi akiacha wenge la kutamani kwenda Barca ni Partey mweupe na mdogo.

Huyu Rice akija Arsenal atahitaji robo msimu au nusu msimu kutoa anachotoa Partey. Mchezaji mwingine ambaye watu naona wanamuimba ila hamna kitu ni Rafael Leao
Si kweli, Declan Rice is what we need, tukimkosa tutakuwa sawa kama Vile kumkosa Mudryk / Vlahovic lakini ukweli unabaki tumekosa mchezaji mzuri anyefit kwenye mfumo wetu, some players are better than others and they perform more than one roles, Rice is that guy. Ni kiungo pekee walau anayeonekana kufanya kazi ya Sergio Bosquet kwa sasa kwenye eneo lake. Rice ni destroyer km vile Arteta anavyomtumia partey, lakini anafanya zaidi ya role hiyo sababu ni tempo controller (Xavi Hernandez).

Partey alikuja km box to box mid, muda mwingi alikuwa attracted to the ball, vitu km #6 ambaye anafanya progression, ball carrying wakati mfumo unahitaji namba sita ku stick. Hii ni sababu ilimchukua muda ku master nafasi yake na mwenyewe ali admit, lakini haya matatizo si miongoni mwa matatizo ya Rice, ndio maana nakataa kuwa haiwezi kumchukua muda kuelewa nini afanye under Mikel. Declan Rice is a disciplined #6. The exception of the game.
 
Kuna clip ya Mudryk hapa, kwako ndugu castr ulinambia hawezi kufanya nini sijui, Mudryk anafanya kila kitu, this is the ballon d'or level talent.
 
Mchezaji chipukizi wa Arsenal Charlie Patino anaweza kupandishwa kwenye kikosi cha kwanza msimu ujao, mwandishi wa habari adokeza.

Mchezaji chipukizi wa Arsenal Charlie Patino anaonesha kiwango kizuri kwa mkopo katika klabu ya Blackpool na anaweza kupandishwa kwenye kikosi cha kwanza msimu ujao, kulingana na mwanahabari Tom Canton. Patino tayari ameshaichezea Arsenal mara mbili katika kikosi cha kwanza, akifunga bao lake la kwanza kwenye Kombe la EFL.
IMG_20230326_174623.jpg
 
Si kweli, Declan Rice is what we need, tukimkosa tutakuwa sawa kama Vile kumkosa Mudryk / Vlahovic lakini ukweli unabaki tumekosa mchezaji mzuri anyefit kwenye mfumo wetu, some players are better than others and they perform more than one roles, Rice is that guy. Ni kiungo pekee walau anayeonekana kufanya kazi ya Sergio Bosquet kwa sasa kwenye eneo lake. Rice ni destroyer km vile Arteta anavyomtumia partey, lakini anafanya zaidi ya role hiyo sababu ni tempo controller (Xavi Hernandez).

Partey alikuja km box to box mid, muda mwingi alikuwa attracted to the ball, vitu km #6 ambaye anafanya progression, ball carrying wakati mfumo unahitaji namba sita ku stick. Hii ni sababu ilimchukua muda ku master nafasi yake na mwenyewe ali admit, lakini haya matatizo si miongoni mwa matatizo ya Rice, ndio maana nakataa kuwa haiwezi kumchukua muda kuelewa nini afanye under Mikel. Declan Rice is a disciplined #6. The exception of the game.
Mkuu ikatokea tuna uwezo wa kumchukua Rice au Zubimendi halafu tukamchukua Rice itabidi tusubiri hadi aive. Mfano sasa hivi ukimuangalia Zubimendi unaona ni kiungo ambaye anakupa anachokupa Partey instantly ila Rice bado anatakiwa kumaster game na kama unavutiwa na Busquet basi utaelewa kwanini Barca pia wanamtaka Zubimendi.

Rice ni mzuri kama target yetu iko lower as akija itabidi aadjust, mi nikimuangalia Rice naona namuangalia Weston McKennie wa Kiingereza.
 
Back
Top Bottom