Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal iliyokatika peak ambayo ina wachezaji hatariii zaidi na verstalite, inayorusha jezi juu kupata first eleven inashangilia draw against Chelsea ambayo ipo katika hali mbaya kuliko kipindi chochote kile . Hapo utajua kwanini hii team ni ya ma false hopers.
Chelsea imetukosea sana kurudishiwa yale magoli 2 na nafasi za wazi za palmer na jackson.
Hii nchi ndo maana inashindwa kupata maendeleo sababu kwenye bongo za watu kumejaa funza tu

Hivi anaeshangilia draw ya jana ni arsenal au kenge? Kwa arsenal draw tunahesabu tumeangusha alama ila kenge zinaona ni ushindi
 
Kuona mamluki wakijazana humu kwenye jukwaa letu kunaashiria ukubwa tulionao, mechi imeisha sare lakini wapinzani wanahesabu tumefungwa.

Mpaka mashabiki wa Chelsea wameliacha jukwaa lao likiwa tupu na kuhamia huku.

Wakiongozwa na timu nyengine zote ikiwemo Man Utd, Man City, Spurs na Liverpool.

Na hapo hatujafungwa!

Sasa naamini kweli Arsenal inawaumiza watu wengi.

Arsenal haimizi watu wala nini ila zile uharo wenu na matokeo yenu ya mezani ndiyo inafanya watu tunapiga kambi hapa
 
Yamekua hayo tena nyie kabla ya game si mlijidai mkisema itafikia kipindi hatagusa mpira kwa kiungo cha Ode,Mchele, na Babu . Kwamba mpaka half time atakufa goli 5
Chelsea ni mid table team kama Aston villa na Fulham, kukamia game ndo kawaida ya mid table team
 
Game ya leo sitarajii iwe nyepesi, ukizingatia ni derby na chelsea ni kama vile wameanza kujipata pata,watataka wazindukie kwetu rasmi.
Kuna katabia ka mtu kuwekea rekodi kwetu, mudryk leo ni wa kumtizama sana, anaweza kutufunga.

Yote kwa yote natamani tushinde nyingi, tuoneshe userious wa kulisaka kombe
Hiki kitu nilikiona arsenal mara nyingi saana inatokea hivi, yote kwa yote draw sio mbaya, ukizingatia tayari ngoma ilikuwa imeinamia kwetu.

Kwanini partey hakucheza!? Naona mtiririko wa timu haukuwa mzuri, odergard akapotea, jesu huduma akaikosa.
Kai akaingia akajikaza, jana kai kajitahidi.
Saka atafutiwe mtu wa kumpa challenge
 
Achana na mambo ya Form bana, Jana Arsenal walikuwa Terrible vibaya mno lakini still waliweza ku managed to come back from 2 goals down .
Biggest rivals wako anachomoa goal 2 nyumbani kwako bado mnaona ni kitu cha kawaida.
Unajua boli kaka
 
Achana na mambo ya Form bana, Jana Arsenal walikuwa Terrible vibaya mno lakini still waliweza ku managed to come back from 2 goals down .
Biggest rivals wako anachomoa goal 2 nyumbani kwako bado mnaona ni kitu cha kawaida.
Kweli aisee arsenal Jana ilikuwa hovyo, Chelsea alistahili kushinda kulingana na nafasi walizotengeneza.. japo binafsi niwapongeze kwa droo walopata..
 
Hii nchi ndo maana inashindwa kupata maendeleo sababu kwenye bongo za watu kumejaa funza tu

Hivi anaeshangilia draw ya jana ni arsenal au kenge? Kwa arsenal draw tunahesabu tumeangusha alama ila kenge zinaona ni ushindi

Chelsea hajashangilia draw, Chelsea mpaka sasa wanajiuliza imekuwaje wamepoteza ile game na wakati ilikuwa game yao kabisa.

Arsenal humu ndo mnashangilia draw ambayo imekuja ki miujiza tu , chelsea mbovu mpaka dakika ya sabini alikuwa amewatawala kila kitu .
IMG_1857.jpg

Nyinyi false hopers tumewazoea false hopes kibao yaani before game mlijipa ushindi wa goli 3 lakini after match mnaunda hope nyingine et chelsea ameshangilia ku draw .

Mpaka kufika may mnaweza kuwa tayari vichaa si kwa matumaini bandia haya , kupeana false hope ni kitu endelevu ona hapa last season ulijitangazia ubingwa April.
 
Kwahiyo unakiri kwamba partey ndiyo ingine ya arsenal kwamba kina Ode martineli wanatumia kivuli chake uwanjani? Vip mkiwa na majeruhi kama Chelsea mtafurukuta kweli kama mechi moja tu partey hajacheza mnatoa ulimi ivi na kumlilia

Hii timu ni kichekesho yaani wanakuambia Partey hajaanza utafikiri partey ndo winning signal , siku partey anaanza watatafuta sababu zao nyingine.

Yaani ni sawa na chelsea waanze kulalamika kutokuwepo kwa nkunku maana jackson kakosa goli la wazi kabisa, lakini huwezi kuona chelsea wanalalamika hii ndo sababu hii arsenal tunaita false hope team yaani huwa wanatafuta sababu kila siku.
 
So timu yetu ni Cucu na Gusto, wewe unajua vifaa vilivyo nje ya timu ni akina nani wacha upofu

------------Nkunku-------------

Sterling ----Gallagher -----Palmer

-----Caicedo --------Enzo--------

Chilwell ----Colwill ---Fofana ---James

-------------Sachez---------------
Wewe sio mzima wa akili aisee,, hakuna beki wa kati wakumuweka nje Thiago Silva licha ya umri wake.
 
Kitu unachokwepa kukisema ni kwamba nyie mmekua kwenye form toka msimu unaanza while kwa Chelsea imekua ikisuasua. Ukiona comment kama hiyo kwa shabiki wa Chelsea ujue anaona improvement kutoka tulipokua.

Kwako its a shame kupata point 1 kwa Chelsea hii inayosuasua. Hatujawa kwenye ule ubora wetu uliofanya London ikawa always blue na ndio fahari ya London. We are coming back slowly
Kwani chelsea amekatazwa kua form

Au ni makosa ya Arsenal wewe pambana mbona Newcastle alianza kwa kusuasusa now anapambana kashakuacha parefu, achana na hoja mfu izo
 
Hiki kitu nilikiona arsenal mara nyingi saana inatokea hivi, yote kwa yote draw sio mbaya, ukizingatia tayari ngoma ilikuwa imeinamia kwetu.

Kwanini partey hakucheza!? Naona mtiririko wa timu haukuwa mzuri, odergard akapotea, jesu huduma akaikosa.
Kai akaingia akajikaza, jana kai kajitahidi.
Saka atafutiwe mtu wa kumpa challenge
Tutatafuta sababu nyingi sana ila Chelsea jana walikua bora kutuzidi basi ndo ukwel huo hakuna kingine mzee
 
Kwani chelsea amekatazwa kua form

Au ni makosa ya Arsenal wewe pambana mbona Newcastle alianza kwa kusuasusa now anapambana kashakuacha parefu, achana na hoja mfu izo
Ndani ya hiyo comment yako kuna mambo matatu umeyafanya wewe mwenyewe.
1. Mkurupuko
2. Swali
3. Umejijibu wewe mwenyewe
 
Kuhusu mudryk,
Sio mbaya sana ila kwa pesa signing fee yake ifike mahali tukubali kwamba huyu ni potential sio complete article.
Jana kafunga,trossard kafunga pia.

Binafsi najuta sana kumpata trossard at late age.jamaa ana almost kila kitu.impact yake kwa arsenal huwezi ilinganisha na impact mudryck kwa chelsea.
Naamini mudy ni mchezaji mzuri akipata striker mzuri na viungo wazuri.hawezi ile one man show anategemea team compactness kudeliver.
Mpeni muda,chini ya enzo na caisedo anaweza akawapa kitu ila sio more than imagination.
 
Back
Top Bottom