arsenewenger
Member
- Apr 26, 2023
- 18
- 21
Trosard ni mtu na nusu kaka sema tu arteta ajampa nafasi vya kutosha..yaaah kweli maumivu yalipungua.
Hivyo habari ya muddy haina Mashiko ukiongeza na price yake zidi ya Trosard me naona ka tulilamba dume..
Trosard ni mtu na nusu kaka sema tu arteta ajampa nafasi vya kutosha..yaaah kweli maumivu yalipungua.
Umeangalia game moja ili kupata hitimisho? 😂😂Wakati game ya AC MILAN na JUVENTUS inaendelea hapa, nimekumbuka moja ya comment ya super chambuzi humu ndani. Ikabidi nii search "leao" mpaka nimeipata.
Chambuzi liliona Rafael Leao ni hamna kitu kabisa, hiyo ni March mwaka huu.
Tawile chambuzi. Haupingwi humu.Umeangalia game moja ili kupata hitimisho?
And no mimi siyo mchambuzi au chambuzi.
Angalia tarehe ya hiyo comment. Kisha chukua stats zake kuanzia anaanza mpira mpaka siku hiyo.
Halafu chukua za siku hiyo mpaka leo.
Fananisha na hype.
Sasa wewe hata ukiambiwa uwe sawa points na Arsenal ,muanze kukimbizana una huo uwezo?Kucheza vibaya kwa arsenal imesababishwa na ubora wa kimbinu na ufundi wa mpinzani wako na sio vinginevyo. Ifikie mahala muwe mnakubali wapinzani wanaowapa changamoto ili kujifunza zaidi kwa ajili ya baadaye.
Ile performance yenu jana watu wanalaumu absence ya Partey lakini tangu msimu huu uanze hajaanzishwa mechi ngapi na matokeo yalikuwa upande wetu?
Kumbukeni hadi sasa mnamzidi manchester United mbovu point 5 tu!


Kubali ulizingua alooooUmeangalia game moja ili kupata hitimisho? 😂😂
And no mimi siyo mchambuzi au chambuzi.
Angalia tarehe ya hiyo comment. Kisha chukua stats zake kuanzia anaanza mpira mpaka siku hiyo.
Halafu chukua za siku hiyo mpaka leo.
Fananisha na hype.
Siku Milan anapigwa 5 na Inter Leao alikua wapi? 😂Tawile chambuzi. Haupingwi humu.
Mnabeba treble mwaka huu
Hii game Kama itakua ngumu hivi!
Leao na Nketiah tofauti yao wanacheza ligi tofautiSiku Milan anapigwa 5 na Inter Leao alikua wapi?
Jana wanapigwa 1 alikuepo?
Hivi kwanini haanzi timu ya taifa![]()
Smith RoweSiku Milan anapigwa 5 na Inter Leao alikua wapi? 😂
Jana wanapigwa 1 alikuepo?
Hivi kwanini haanzi timu ya taifa 😁
Ilikua kipindi cha usajili. Akawekwa overprice na mashabiki wakataka aje ArsenalLeao na Nketiah tofauti yao wanacheza ligi tofauti

Akikujibu kwa fact ntampongeza saaanaUmeangalia game moja ili kupata hitimisho?
And no mimi siyo mchambuzi au chambuzi.
Angalia tarehe ya hiyo comment. Kisha chukua stats zake kuanzia anaanza mpira mpaka siku hiyo.
Halafu chukua za siku hiyo mpaka leo.
Fananisha na hype.
Hii wiki ni ya mpira mwanzo mwsho....kuanzia leo mpk j2....na tunawakumbusha ndugu zetu Manunu....j2 tunataka kuona kama wameanza ligi rasmi kama wanavyojitapa...Arsenal’s UEFA Champions League fixture dates are confirmed.
◉ WED 20 SEP: 𝐀𝐫𝐬𝐞𝐧𝐚𝐥 vs. PSV
◎ TUE 3 OCT: Lens vs. 𝐀𝐫𝐬𝐞𝐧𝐚𝐥
◎ TUE 24 OCT: Sevilla vs. 𝐀𝐫𝐬𝐞𝐧𝐚𝐥
◉ WED NOV 8: 𝐀𝐫𝐬𝐞𝐧𝐚𝐥 vs. Sevilla
◉ WED NOV 29: 𝐀𝐫𝐬𝐞𝐧𝐚𝐥 vs. Lens
◎ TUE DEC 12: PSV vs. 𝐀𝐫𝐬𝐞𝐧𝐚𝐥
#UCL
Acheni kujitekenya wenyewe, walioumia sare ni chelsea. Kwa game ilivyokua upande wa chelsea. chelsea kudraw ni sawa na kufungwa tu.Mpaka leo hii bado nina hasira sana kwa kutoka sare na wale chelkenge wasiojua fc.