Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila kai harvertz ana balaa, jamaa anaruka juu afu anadondosha pasi ya kichwa kwenye box, sasa mipira km ile inakutana na mtu kma Jude au Bruno G ndo ile utasikia 'watalokota wenyewe kunyamvu' ndo maana naona tunahitaji a new LCM, mtu flani anayeweza kuattack the box kwa haraka, technical, physical na ball striking kwa sana.
Tutapeleka muswada wa dharura, ili mruhusiwe kufanya usajili mwezi huu.

Maana kipindi wenzenu wanasajili, nynyi mlikuwa likizo
 
Where is your team in the PL table? Nyumbu na kenge wakijibu mnitag.
IMG_20231022_114437_287.jpg
 
Mjitahidi mechi ya marudiano muwe full halafu mje tucheze mkuu😀😀😀....timu mna miaka sijui 4 sijui mingapi hamjawahi kutufunga halafu mnakuja na ngonjera za kijinga hmu....hyo miaka mingine tuliyokuwa tunawatungua mlikuwa na kikosi D kabisa sio
Usijali tutakuja full nondo

Score 1-4 (Dozi kama ile ya Baku)

--------------Victor O---------------

Mudryk --------Nkunku---------Palmer

----- Caicedo ----------Enzo----------

Chilwell ----Colwill/Badi---Silva/Disasi ---James

------------Petrovic-----------------


 
Read between the lines Ukiangalia kishabiki huwezi kuielewa hii comment
Sikiliza mkuu....mpira huwa hauongelewi kwa namna hiyo....form ya timu ndo huwa ina determine watu kusema mechi ijayo timu itashida au laaa...sasa nyny mnazungumza kishabiki vitu ambavyo havipo....hivi kwli kqbisq unasema nyukesto sijui West Ham ni giants pale uingereza tena unasema watamfunga arsenal...unakuja unasema sijui tumedraw na timu kubwa kama Fulham kwli????....na Man city naye aliyebondwa na Wolves na sisi...utasema kesho kutwa akikutana na Manunu atabondwa kisa kafungwa na hzo timu...its about the form na the way timu inavyocheza sio ushabiki...ww sasahvi unasema Manunu anarudi top 4 lakini kiuhalisia hilo hatulioni kwa namna mnavyocheza....kuna timu zinacheza vzuri sana kuliko nyny na zipo pale juu....sasa ukitaka kuzungumza kishabiki that's fine ila kimpira kabisa...tactically...sioni miujiza kwa ndugu zangu Manunu na Chelsea haka karatiba kao kwakwli...mungu awalinde
 
Jesus acheze CF but kwa mech za kawaida, ukiangalia Silva na Colwill ni warefu Sana ,

Tungeanza na Kai CF Wala wasingemsumbua ,Kai alipoingia akiwa dominate Silva na Colwill, tukaanza kupata nafasi
Sasa kwanini Jesus acheze kwenye nafasi ambayo Kai anafanya vizuri Zaidi?

Bro, sahivi CBs wengi ni warefu, and if your CF can't go in the air, you got no chance. Unarahisisha mazingira ya mpinzani wako kukuzuia, watu wana adopt M2M press na mchezo unaishia hapo.
 
Usijali tutakuja full nondo

Score 1-4 (Dozi kama ile ya Baku)

--------------Victor O---------------

Mudryk --------Nkunku---------Palmer

----- Caicedo ----------Enzo----------

Chilwell ----Colwill/Badi---Silva/Disasi ---James

------------Petrovic-----------------


View: https://twitter.com/i/status/1715856411798749611

Endeleeni kujitafuta na haka karatiba kenu....mtapata point 4-5 maximum....hamvuki hapo...na next time mkija Imarate....tunawakumbusha msimu ulioisha zilikuwa 3....safari hii ni nne...kutufunga nyny ni mpk mwaka 2030😄😄😄
 
Tutapeleka muswada wa dharura, ili mruhusiwe kufanya usajili mwezi huu.

Maana kipindi wenzenu wanasajili, nynyi mlikuwa likizo
Dogo humu tunaongea habari ya Arsenal kuwa the invincibles, habari ya Arsenal kudominate Anfield / Etihad, habari ya Arsenal ku compete dhidi ya Pep Guardiola kwenye makombe, hapa hatuongei habari ya 'ooh tumecheza vizuri mechi nne zilizopita' sijui oooh bla bla bla. Understand?
 
Endeleeni kujitafuta na haka karatiba kenu....mtapata point 4-5 maximum....hamvuki hapo...na next time mkija Imarate....tunawakumbusha msimu ulioisha zilikuwa 3....safari hii ni nne...kutufunga nyny ni mpk mwaka 2030😄😄😄
Pumba grade F
 
January tuingie sokoni Kuna watu watupishe

Kai Jana nimemkubali, na alivyoingia Kai tu Raya akaanza kucheza mipira kirefu
Rowe is player inabidi tumtunze at all cost

Nketiah Kama bahari, kupwa na kujaa
 
Achana na mambo ya Form bana, Jana Arsenal walikuwa Terrible vibaya mno lakini still waliweza ku managed to come back from 2 goals down .
Biggest rivals wako anachomoa goal 2 nyumbani kwako bado mnaona ni kitu cha kawaida.
Sio kitu cha kawaida ila ninachosema mimi sikutegemea hata kuwa na uongozi wa goli mbili kwa bila dhidi ya Arsenal kwa hiyo hata mlipofanya comeback kulevel sikua shocked kutokana na mwenendo wetu toka ligi inaanza. Nyinyi wenyewe najua mliamini mnakuja kushinda darajani
 
Kai as CF anazidi kuonesha anatakiwa kucheza hapo


Two games in a row Kai Havertz has come on and made the difference for Arsenal…

vs Manchester City - won the knock down which lead to Gabriel Martinelli’s winner.

vs Chelsea - won the knock down before Bukayo Saka set up Leandro Trossard for the equaliser.

Kai Havertz is starting to make the difference in big moments. Very promising signs.
Hii ni kwel kabsa kai anaanza kua mtamu sasa
 
January tuingie sokoni Kuna watu watupishe

Kai Jana nimemkubali, na alivyoingia Kai tu Raya akaanza kucheza mipira kirefu
Rowe is player inabidi tumtunze at all cost

Nketiah Kama bahari, kupwa na kujaa
Naunga mkono hoja Rowe abaki jaman kwa gharama yyte ile
 
Tactic aliyoingia nayo pochetino ni kamata odegaard, arsenal itacheza kwa taabu

Ninyi mlishindw nini kumkamata Caicedo?

Naona aliwatia mfukoni. Ohoo chelse hawatagusa hata mpira moja kati kati pale alisikika mchambuzi uchwara moja ivi masingeli
 
Saka hayuko fit lakini ametoa Assist mbele ya Cucurella aliyemkamia!

Leo nimeamini Chelsea fans hawajui mpira kwahiyo Cucurella kamficha Unfit Saka with Assist

Mkuu tatizo siyo hatujui mpira wewe ndiyo hujui mpira tena kwenye mpira upo empty brain.

Una uhakiki yule aliyecheza ni yule martineli unayemuongea kila siku? Au alikuwa kopi yake? Je alitoka uwanjani saa ngapi?

Je Od ni yule yule au jana hajacheza?

Msiwe mbajipa false hope za kidwazi.

Haya umemnyuka chelsea goli 5.
Tupe uchambuzi wa jumanne kati ya arsenal na sevila mtamfunga ngapi?
 
Kama Partey ndo angeshika dimba, Chelsea wasinge tushika kiasi kile, uwezo wa Partey mkubwa sana kwenye ku win duel na kupandisha timu kwa ku pass through na long ball zenye macho, kitu ambacho kinge wafungua chelsea na kuwapa uhuru ode na forward line kufanya yao. Kukosekana kwake kukafanya znchenko kutumia mda mwingi kati na kusababisha kuchelewa ku recover nafasi yake so kukawa njia thanks kwa sub ya mapema ya Tomiyasu. Ila kiukweli under perfomance ya joginho n chanzo ya yote.

Sijajua adi sahv sababu ya arteta kutomchezesha kabsa Partey. Lakin ukweli uko waz Partey ndo Cheat code yetu ya kufungua mabano pale kati, kama tukishindwa kufungua na yupo ndani hapo ndo naamn game tumeshikwa.

joginho n mchezaj mzur game ikimkubali ila jana alichemka sana, sub yake ilitakiwa iwe sambamba na ya znchenko.

Kwahiyo unakiri kwamba partey ndiyo ingine ya arsenal kwamba kina Ode martineli wanatumia kivuli chake uwanjani? Vip mkiwa na majeruhi kama Chelsea mtafurukuta kweli kama mechi moja tu partey hajacheza mnatoa ulimi ivi na kumlilia
 
Hamna timu pana ninyi, asingecheza Saka hiyo assist angetoa nani? RW angecheza nani
Na hii ndiyo itakayoifanya Arsenal msimu huu mshindwe hata kubaki top 4, mkikumbwa na majeruhi kama yetu ndipo akili yenu itaelewa maana ya deep squad
Note hii

Chelsea ikimaliza juu ya Arsenal/kuingia top four naacha kutumia jf

Lolote kati ya hayo mawili likitokea naacha kutumia jf
 
Back
Top Bottom