BONNIE GOLD
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 467
- 937
Tutapeleka muswada wa dharura, ili mruhusiwe kufanya usajili mwezi huu.Ila kai harvertz ana balaa, jamaa anaruka juu afu anadondosha pasi ya kichwa kwenye box, sasa mipira km ile inakutana na mtu kma Jude au Bruno G ndo ile utasikia 'watalokota wenyewe kunyamvu' ndo maana naona tunahitaji a new LCM, mtu flani anayeweza kuattack the box kwa haraka, technical, physical na ball striking kwa sana.
Maana kipindi wenzenu wanasajili, nynyi mlikuwa likizo
