Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 563
- 856
Mikel Arteta on Bukayo Saka injury: “It doesn’t look good”, told TNT Sports.
Mikel Arteta on Bukayo Saka injury: “It doesn’t look good”, told TNT Sports.Hiyo Uefa hata ushiriki mara mia tunajua huna uwezo wa kubeba tunabaki kuwacheka tu wazee wa false hopeKazi ya Chelsea msimu huu ni kuicheka Arsenal ikishiriki Uefa
Simple words baba kaenda kutafuta ugali halfu nyumbani kabaki .........
Weka ushabiki na mapenzi pembeni, hii mechi angecheza Ramsdale asingeiweza.. Kwa namna Lens wanavyo press Ramsdale angefanya makosa mengi sana.
Kwanza Ramsdale hayupo comfortable na mpira ukilinganisha na Raya. Pili footwork yake sio nzuri ambayo ingewapa pressing advantage timu pinzani mana wangekua wanaokota mipira yote ya juu na kutuweka under tension muda wote.
game na city , Liverpool, brighton zote kaziweza ndo hii imshinde kweliii
.Ongea yte mkuu uwanja ni wako🤠🤠🤠....yamebaki masaa kadhaa tutakutafuta uje utuelezee imekuwajekuwaje matokeo ya mechi yenu...tupo hapa🤠🤠🤠Magoli yote ni uzembe haya goli la kwanza uzembe wa nan? Man utd bado hata phase one hawajaanza tunaanza vipi kuwasumbua ila nyinyi mpo mbele ya phase mlizojiwekea kaka usijisahaulishe hili.
Kesho PSG anakufa wewe lens tu umemshindwa sasa ukipewa milan au psg si ndo itakuwa kilio na kusaga meno.
Njoo kesho uone timu zilizo serious tunavyofanya vitu without kurusha jezi without phase![]()





Ongea yte mkuu uwanja ni wako....yamebaki masaa kadhaa tutakutafuta uje utuelezee imekuwajekuwaje matokeo ya mechi yenu...tupo hapa
![]()




Subiri alhamis futuhi
Arse8 bwana
Ukiwaona unaweza kudhani wapo serious
12thHiyo Uefa hata ushiriki mara mia tunajua huna uwezo wa kubeba tunabaki kuwacheka tu wazee wa false hope
Tazama hiii.Hili grupu tutaanza kufungwa au kusare pale tutakapohakikisha tutaongoza kundi
Points 15-18 uhakika
Lens wanacheza aggressive football, wanafika ile mbaya
Kwenye ligi yupo wa 15, nahisi hii game wameamua wakamie tu