zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,256
Arteta anafikiri atambadilisha kai kama alivyombadili xhaka😂😂😂,anashindwa kutambua muda haumsubiri fezi foo sio ya kumsubiria mchezaji abadilike😂😂😂...Tukiacha makosa binafsi ya wachezaji ambapo ni kawaida kwenye mpira, lakini tatizo la Arsenal linaanzia na Kai Havertz... Tutaonekana tuna chuki lakini ukweli ni kwamba tujiulize huyu mchezaji ameipa Arsenal kitu gani kipya ambacho Arsenal msimu uliopita walikikosa? Zaidi ni kuifanya Arsenal kuwa very Shamble kule mbele lakini bado anapewa gametime ya kutosha kuliko uwezo wake wakati nje tuna watu ambao wana uwezo wa kufanya attacking kuliko Havertz. Shame on Mikel Arteta. Mashabiki wa Arsenal wengi ni wanafki sana na hawajitambui wanataka nini. Nilishangaa sana hata mechi iliyopita anaimbiwa nyimbo kisa kafunga Penalty. ESR kwa uwezo wake sioni sababu ya kuendelea kubaki Arsenal, kuna muda mapenzi na timu inabidi uweke pembeni uangalie future zaidi. Amefika kwenye umri ambao inahitaji kucheza sana kufika kwenye peak yake. Sio kukaa nje na kumuangalia mtu mvivu na jinga moja kama Kai Havertz linaanza juu yako. Huko ni kudharauliwa.
Kai anafanya timu icheze kwa kumsubiria yeye maana anatabia ya kujichanganya changanya umiliki wa mpira bado sio mzuri,akiwa na boli haelewi afanye nn anajikuta anapuyanga.
Siku atakayokubali kai ni taka taka ndio itakuwa muda umepita na saa zimeenda😂😂😂
Waliokaribu na arteta wampelekee ujumbe huu kuwa akubali kumtumia kai dk 30-20 za mwisho tu zitamtosha kujitafuta.
Kitendo cha kupewa penati apige jmo kinaonyesha mpaka sasa kai anaitegemea timu na sio timu kumtegemea yeye😆...


...

| Gary Cotterill: 
