Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukiacha makosa binafsi ya wachezaji ambapo ni kawaida kwenye mpira, lakini tatizo la Arsenal linaanzia na Kai Havertz... Tutaonekana tuna chuki lakini ukweli ni kwamba tujiulize huyu mchezaji ameipa Arsenal kitu gani kipya ambacho Arsenal msimu uliopita walikikosa? Zaidi ni kuifanya Arsenal kuwa very Shamble kule mbele lakini bado anapewa gametime ya kutosha kuliko uwezo wake wakati nje tuna watu ambao wana uwezo wa kufanya attacking kuliko Havertz. Shame on Mikel Arteta. Mashabiki wa Arsenal wengi ni wanafki sana na hawajitambui wanataka nini. Nilishangaa sana hata mechi iliyopita anaimbiwa nyimbo kisa kafunga Penalty. ESR kwa uwezo wake sioni sababu ya kuendelea kubaki Arsenal, kuna muda mapenzi na timu inabidi uweke pembeni uangalie future zaidi. Amefika kwenye umri ambao inahitaji kucheza sana kufika kwenye peak yake. Sio kukaa nje na kumuangalia mtu mvivu na jinga moja kama Kai Havertz linaanza juu yako. Huko ni kudharauliwa.
Arteta anafikiri atambadilisha kai kama alivyombadili xhaka😂😂😂,anashindwa kutambua muda haumsubiri fezi foo sio ya kumsubiria mchezaji abadilike😂😂😂...
Kai anafanya timu icheze kwa kumsubiria yeye maana anatabia ya kujichanganya changanya umiliki wa mpira bado sio mzuri,akiwa na boli haelewi afanye nn anajikuta anapuyanga.

Siku atakayokubali kai ni taka taka ndio itakuwa muda umepita na saa zimeenda😂😂😂

Waliokaribu na arteta wampelekee ujumbe huu kuwa akubali kumtumia kai dk 30-20 za mwisho tu zitamtosha kujitafuta.


Kitendo cha kupewa penati apige jmo kinaonyesha mpaka sasa kai anaitegemea timu na sio timu kumtegemea yeye😆...
 
Nimeshasema sana hapa kwamba Arteta ni kocha wa mid-table teams. Hana mbinu za kushindania makombe makubwa. Yupo too predictable.

Huwezi kwenda champions league unacheza mpira wa back passes namna ile halafu useme unashindana. Mwaka jana wale Sporting CP walitutoa kwa kucheza mpira exactly kama walivyocheza Lens jana.

Sasa hivi amebakia Saliba, Jesus na Rice ndio wanaonyesha tofauti. Wachezaji wengine wote wamebaki na mentality za kitoto. Zinchenko na Odegaard ni wachezaji wa mechi laini tu.

Yote haya ni tatizo la Arteta kubakia na mentality ya mid-table teams. Sehemu ya kufanya transition na kwenda faster kupiga counter unashangaa mchezaji akifika katikati anasimama na kusubiria opponents warudi kujipanga.

Kwa uchezaji wa aina hii tusahau milele kubeba kombe lolote kubwa. Timu zote, hata Barcelona enzi zile ipo moto ilikuwa inapiga pasi nyingi lakini sehemu ya counter wanapiga. Sasa sisi kila siku tunacheza style ileile.
wewe kama nani unasema sana.
 
Ukiangalia hiz stats unaona kabisa ,Arsenal kufungwa Ni sawa na Kujikwaa au kunguru kumnyea mtu ,


Wale Ndugu zangu hata kukaa na mpira hawawezi


Ni mpumbavu pekee Tena ajitokeze hapa aseme Arsenal hataongoza hili grupu

Swala la kupita Ni lalazima , nazungumzia Kuongoza kundi


Anayejiamin hatutaongoza Hili kundi ajitokeze tuweke mzigo , Sitaki maneno mengi ,Timu ikifungwa ndio mnajitokeza View attachment 2771228
Kaka arteta bado anasumbuka sana na michuano ya ulaya (yuropa na yuefa) haihitaji urembo urembo sana bali mpira wa magoli na kuzuia....

Akiendelea kujiachia achia,arteta kuna timu nyingi tu zitamsumbua kwa mbinu zake za sasa...
1.Napoli
2.Rb leipzing
3.Inter
4.Atletico
5.Sevila
6.Bayern
7.Barcelona

Hizo timu saba hapo arteta endapo atakutana nazo akiwa bado kwenye fikra za sasa watamtoa kimbinu sana....

Watamuacha amiliki (wanaenda kuzuia mawinga wa asenali wasiwe peke yao) halafu wakipora wamkimbizie pembeni tu.
 
Kweli hao ni majanja... nimeamini hilo haiwezekani kila kitu mtu anapinga. Bora hata mtu apinge atoe Facts. Bado anaongea pumba kana kwamba hajui anachoongelea ni nini
Ni mapimbi ambao hata kwenye maisha ya kawaida yakipata changamoto yanapata stress na kuanza kulaumu wengine.
 
hamis77 utatukanwa sana.. Ni vile watu wengine hapa tunaheshimu mawazo ya mtu na hatuna kauli kali. Ni ngumu mtu kumuaminisha uongo kwa watu wenye uelewa na hicho kitu. Inatia hasira sana aisee.
Kwa hio Masingeli hua kazi yake humu ni kuwaaminisha watu uongo?
Masingeli tafuta pango la kwenda kujificha mapema kabisa ndugu yangu, maana mwisho wa msimu mashabiki wa Arsenyo watakukula nyama aiseeeee.
tapatalk_-1304297779_375x440.jpg
 
Arteta anafikiri atambadilisha kai kama alivyombadili xhaka,anashindwa kutambua muda haumsubiri fezi foo sio ya kumsubiria mchezaji abadilike...
Kai anafanya timu icheze kwa kumsubiria yeye maana anatabia ya kujichanganya changanya umiliki wa mpira bado sio mzuri,akiwa na boli haelewi afanye nn anajikuta anapuyanga.

Siku atakayokubali kai ni taka taka ndio itakuwa muda umepita na saa zimeenda

Waliokaribu na arteta wampelekee ujumbe huu kuwa akubali kumtumia kai dk 30-20 za mwisho tu zitamtosha kujitafuta.


Kitendo cha kupewa penati apige jmo kinaonyesha mpaka sasa kai anaitegemea timu na sio timu kumtegemea yeye...
Wewe Kama nani

Mbona mnakuwa wehu hivo

Kwani hatutakiwi kufungwa ?


Mechi 11 tumeshinda 8 lost 1 draw 2

Mnakuja kulalamika ,mko timamu kweli
 
Kwa hio Masingeli hua kazi yake humu ni kuwaaminisha watu uongo?
Masingeli tafuta pango la kwenda kujificha mapema kabisa ndugu yangu, maana mwisho wa msimu mashabiki wa Arsenyo watakukula nyama aiseeeee. View attachment 2771297
Oya ,kichaka Cha kujifichia kwangu ,Mara sijui naaminisha watu ,sijui Nini achana navyo

Humu watu Ni wazima ,Hakuna anayeshikiwa akili


Achana na hivo vichaka Rudi kwenye majukwaa yenu ,timu zenu zinapigwa daily


Kuja humu kutafuta vichaka hakuwezi kuwapunguzia maumivu
 
| Gary Cotterill:


“I don’t want to give Arsenal and England fans false hope. But the feeling around here, and not at all official, is that Saka may not be too bad.”

“Perhaps a muscle strain or maybe a precaution. The club have made it clear Mikel Arteta will take no chances with any player tonight, with Manchester City around the corner. Fingers crossed. Let’s see what Arteta says later.”(sky via tbr)
 
Ni mapimbi ambao hata kwenye maisha ya kawaida yakipata changamoto yanapata stress na kuanza kulaumu wengine.
Sio Arsenal fans hao Ni wahuni tu

Shabiki gan huyo asiyejua Kuna kufungwa ?


Halafu Bora timu ingekuwa imecheza vibaya


Hao Ni mashabiki wa manjesta wanasaka furaha feki maana vipigo haviwataacha
 
Mmekung'utwa nyie pimbi asenyeto .mnafungwa na timu za ligi ya wakulima .
Pumbavu
Na bado ,next match mnaenda kupigwa kama ngoma na Man city .
Kiherehere kiwatoke
 
Unajua kwann Man u si habri tena kufungwa kwasababu ninyi mbawasagia sana kunguni man u.
Kuwasagia kunguni??🤠🤠...tunawasema kwa sababu Hawa walipaswa wawe wakubwa wenzetu...hutakiwi kufungwa hovyohovyo timu kubwa...Man Shitty kadundwa wikiendi EPL unaona kuna mapovu sana kwni??...ni kwa sababu unajua hawawezi kufungwa hvyohvyo...Kila timu itapitia kipindi flani ndani ya msimu form inashuka kidogo....ila Manunu wao tangu mwaka jana ulikuwa unaweza kabisa kutabiri hadi mechi watazofungwa tena na timu za kawaida kabisa....Sasa chukua hii.... Liverpool... Aston villa... Nyukesto...West Ham..Man City hata usiwaweke....maana inajulikana watawadunda tu...hzo mechi zte anaenda kugawa kwa watu kilaini kabisa....bado zile atakazobahatisha sare....hatutakubali washuke daraja wenzetu....lazima tuwapambanie
 
Kazi ya Chelsea msimu huu ni kuicheka Arsenal ikishiriki Uefa

Simple words baba kaenda kutafuta ugali halfu nyumbani kabaki .........

Sisi kwenye makundi huwa tunapasua miamba mpaka Fainali. Tofauti na ninyi mmekaa miaka 8 bila kushiriki alafu mnaenda tia aibu huko

Mi nafikiri mfungiwe tu msicheze UEFA
 
Kuwasagia kunguni??...tunawasema kwa sababu Hawa walipaswa wawe wakubwa wenzetu...hutakiwi kufungwa hovyohovyo timu kubwa...Man Shitty kadundwa wikiendi EPL unaona kuna mapovu sana kwni??...ni kwa sababu unajua hawawezi kufungwa hvyohvyo...Kila timu itapitia kipindi flani ndani ya msimu form inashuka kidogo....ila Manunu wao tangu mwaka jana ulikuwa unaweza kabisa kutabiri hadi mechi watazofungwa tena na timu za kawaida kabisa....Sasa chukua hii.... Liverpool... Aston villa... Nyukesto...West Ham..Man City hata usiwaweke....maana inajulikana watawadunda tu...hzo mechi zte anaenda kugawa kwa watu kilaini kabisa....bado zile atakazobahatisha sare....hatutakubali washuke daraja wenzetu....lazima tuwapambanie

sawa sisi Chelseaa furaha yetu kuona mnavyostaabika UEFA pamoja mkubwa mwenzenu man U
 
Tukiacha makosa binafsi ya wachezaji ambapo ni kawaida kwenye mpira, lakini tatizo la Arsenal linaanzia na Kai Havertz... Tutaonekana tuna chuki lakini ukweli ni kwamba tujiulize huyu mchezaji ameipa Arsenal kitu gani kipya ambacho Arsenal msimu uliopita walikikosa? Zaidi ni kuifanya Arsenal kuwa very Shamble kule mbele lakini bado anapewa gametime ya kutosha kuliko uwezo wake wakati nje tuna watu ambao wana uwezo wa kufanya attacking kuliko Havertz. Shame on Mikel Arteta. Mashabiki wa Arsenal wengi ni wanafki sana na hawajitambui wanataka nini. Nilishangaa sana hata mechi iliyopita anaimbiwa nyimbo kisa kafunga Penalty. ESR kwa uwezo wake sioni sababu ya kuendelea kubaki Arsenal, kuna muda mapenzi na timu inabidi uweke pembeni uangalie future zaidi. Amefika kwenye umri ambao inahitaji kucheza sana kufika kwenye peak yake. Sio kukaa nje na kumuangalia mtu mvivu na jinga moja kama Kai Havertz linaanza juu yako. Huko ni kudharauliwa.
Kungekua na uwezekano wa ku like zaidi ya mara moja basi ninge like!
 
Mkuu matusi siyo mazuri. Futbol ni furaha, burudani na matani haya matusi yanatuaribia sana sisi wapenda matani
Kamuonye huyo jamaa amenitukana Sana Kama Mara 10 sikumjibu Wala sikuona kenge yeyote akimuonya

Nimemjibu Mara mbili tu

Tayari mmenishukia
 
Shabiki wa chelkenge ,timu ina points Single Digit

Nafas ya 11th


Unapata wapi nguvu ya kupiga ngendembwe humu


Kama unajiamini ,Arsenal hataongoza Hilo grupu

Weka laki 1 na mm niweke laki 1

Ili maneno yasiwe mengi


Manjesta ana point 0 sawa na Chelsea
Ila si mmechezea kichapo?
 
Back
Top Bottom