Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

First loss of the season is from Lens, a French side.

So chelkenge na nyumbu hua wanajisikia hivi kila wiki
 
Maneno ya mkosaji haya mkuu...tukubali tu defensively leo tumefanya makosa mengi na yametugharimu...magoli yte mawili ni uzembe tu...Man U kufungwa sio habari tena ila arsenal kufungwa ndo habari kubwa kwa leo....wacha waje watusagie kunguni na kina Labyrinth 84...ila kesho na sisi tutakuwa pamoja na Mbappe atufute machozi
Katika mech ambayo sijaumia kufungwa hii

Najua grup stage lazima tuongoze ,Hakuna timu pale yakuongoza lile kundi zaid yetu

Point 15-18 uhakika ,tukifuzu mapema ,Basi 13-15
 
Game na city ndio ya kuumiza kichwa,

Group stage alafu ndio kwanza game ya pili. Hizi no hasira za maendeleo ya arsenal kwenye modern football
Acha wateme nyongo tu
True , kinachochekesha wamekuja kusaka furaha feki

Baada ya kuburuza mkia kundi lao
 
Kazi ya Chelsea msimu huu ni kuicheka Arsenal ikishiriki Uefa

Simple words baba kaenda kutafuta ugali halfu nyumbani kabaki .........
 
Can't change my mind. Raya wakawaida sana, hakuwa tested enough ila Ramsdale is better.
Weka ushabiki na mapenzi pembeni, hii mechi angecheza Ramsdale asingeiweza.. Kwa namna Lens wanavyo press Ramsdale angefanya makosa mengi sana.

Kwanza Ramsdale hayupo comfortable na mpira ukilinganisha na Raya. Pili footwork yake sio nzuri ambayo ingewapa pressing advantage timu pinzani mana wangekua wanaokota mipira yote ya juu na kutuweka under tension muda wote.
 
Kuna waliobet arsenal win

Alafu Kuna nyumbu na Kenge baada yakupigwa spana Sana za watu wa arsenal

Waacheni wateme nyongo zao tu
 
Kwani kuna habari gani humu si tulikubaliana UEFA hakuna timu ngumu kuzidi Manchester City!!!!
Habari manjesta anaburuza mkia
20231004_001902.jpg
 
Huyu Kai atakuja kumgombanisha arteta na mashabiki

Kwani utaratibu wa first 11 si ni ule ule wakurusha jezi juu watakaopata ndo wanaanza.

Ilikua ivi kama kawaida arteta alichukua jezi akazirusha juu kai alikuwa wa 2 kushika jezi baada ya Raya then akafuata saka, arteta akaona hamna namna japo ni majeruhi lakini sheria ifuatwe.

Uzuri hata mashabiki mliafiki humu humu kuwa huo ndo utaratibu kutokana na kikosi kipana cha arsenal. Labda nyie tu ndo mlete ugomvi na arteta maana hana kosa.
 
Kaka katika kitu siwazi ni kufungwa leo wallah hata sijaumia maana najua bado tuna mechi za kucheza
Manyumbu inatakiwa washinde mechi zilizobaki ili wapate nafasi ya kwenda mbele.

Mechi ya kushinda tena kwao ndo hii wamegongwa. Bado wana mechi na Gala away, hawajamalizana na Bayern na huyo Copenhagen wanaemuona underdog ndo kamtoa jasho mkubwa wao kwenye kundi.

We twende tu hivi hivi, soon mafuta yatatengana na maji.

Wataenda Europa, wenye UEFA yetu tutaendelea!
 
Weka ushabiki na mapenzi pembeni, hii mechi angecheza Ramsdale asingeiweza.. Kwa namna Lens wanavyo press Ramsdale angefanya makosa mengi sana.

Kwanza Ramsdale hayupo comfortable na mpira ukilinganisha na Raya. Pili footwork yake sio nzuri ambayo ingewapa pressing advantage timu pinzani mana wangekua wanaokota mipira yote ya juu na kutuweka under tension muda wote.

Hakuna anayehitaji footwork kwa kipa. Kama unataka footwork nenda kwa nyanda la dunia Onana. Kipa kazi yake ni kudaka period.
 
Kinachochekesha mashabiki wa manjesta wamekimbia jukwaa Lao kwa vichapo wamekuja humu kupata ahueni


Sasa Group Lao hawana uhakika wa kumfunga hata Copenhagen


Arsenal tuna uhakika wa kuongoza kundi ,achana na uhakika wa kupita

Sevilla Hana ubavu wa kuzuia point 6

PSV na Lens Wana point 4-6 wanaziacha
 
Manyumbu inatakiwa washinde mechi zilizobaki ili wapate nafasi ya kwenda mbele.

Mechi ya kushinda tena kwao ndo hii wamegongwa. Bado wana mechi na Gala away, hawajamalizana na Bayern na huyo Copenhagen wanaemuona underdog ndo kamtoa jasho mkubwa wao kwenye kundi.

We twende tu hivi hivi, soon mafuta yatatengana na maji.

Wataenda Europa, wenye UEFA yetu tutaendelea!
Najua kufungwa leo Ni ajari kazini tu , Still Hilo kund tutaongoza ,achilia kupita ,


Sasa Hawa ndugu zetu dah hata Copenhagen hawawez kumfunga ,kamsumbua Sana Bayern ,nimeangalia mech yao
 
Msimu huu hii ni game kama ya 3 hivi natizama kuna vitu naona vimenitia hofu.
Arsenal hii sio ile ya kutengeneza nafasi ndani ya box za kutosha, tunakuwa tunazunguruka zunguruka tu nje ya box. Ule msako msako hakuna, pressure ya kulisakama goli la mpinzani hakuna.
Arterta alikataa pesa za Chelsea kwa smith rowe, mbona hamthamini, haoneshi sababu ya kumgomea kumuuza kama anavyoonesha why alimnunua kiazi KAI.
Saka kaumia juzi leo kampanga tena, ampumzishe kijana.

Yule HOJLUND ni mchezaji mzuri, shida ipo kwenye timu(Manchester).
Ni bonge la striker.
Teh hag hawezi ifikisha man u nchi ya ahadi na hivi vizee,
 
Back
Top Bottom