Msimu huu hii ni game kama ya 3 hivi natizama kuna vitu naona vimenitia hofu.
Arsenal hii sio ile ya kutengeneza nafasi ndani ya box za kutosha, tunakuwa tunazunguruka zunguruka tu nje ya box. Ule msako msako hakuna, pressure ya kulisakama goli la mpinzani hakuna.
Arterta alikataa pesa za Chelsea kwa smith rowe, mbona hamthamini, haoneshi sababu ya kumgomea kumuuza kama anavyoonesha why alimnunua kiazi KAI.
Saka kaumia juzi leo kampanga tena, ampumzishe kijana.
Yule HOJLUND ni mchezaji mzuri, shida ipo kwenye timu(Manchester).
Ni bonge la striker.
Teh hag hawezi ifikisha man u nchi ya ahadi na hivi vizee,