Hapo nimeweka ushabiki pembeni mkuu, kuona ramsdale hafai eti game ya lens ingemshinda huo ni uongo na unafiki wa hali ya juu sana. Ramsdale huyu huyu kawaokoa match against big teams zenye striker wa maana then anatokea mtu anasema game na lens ingemshinda haya si maajabu yani unamuongelea ramsdale kama vile unamuongelea hein au turner .
Wewe tulia ushapigwa misumari 2 na lens , uone kesho kikosi cha maana kinacheza PSG kaingia kwa mtakatifu james pale chochote kinaweza kutokea . Halafu group letu unalijua ni group la namna gani so ni timing PSG akiingia kwenye mfumo usishangae kuona anakufa kamba za kutosha.
Hili ni group la kuwaiana atakayewahi ndo huyo huyo mshindi
Njoo uone maana ya kikosi kipana sio nyie kila game wachezaji walewale tu Newcastle tunapiga rotation ya kutosha kama vile rotation formula zile I=∑mir2i.

