Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hamis77 utatukanwa sana.. Ni vile watu wengine hapa tunaheshimu mawazo ya mtu na hatuna kauli kali. Ni ngumu mtu kumuaminisha uongo kwa watu wenye uelewa na hicho kitu. Inatia hasira sana aisee.
Hao Wana mihemko timu zao mbovu

Hilo Group Arsenal lazima aongoze

Utake usitake ,hatuzungumzii kupita ,nazungumzia kupita kwa kuongoza

Hili nalo linahitaji mjadala?
 
Manjesta ana point 0, kupata ahueni wanakuja humu

kwa mpira waliopiga Copenhagen Jana , manjesta pale akatafute sare
 
Nimeshasema sana hapa kwamba Arteta ni kocha wa mid-table teams. Hana mbinu za kushindania makombe makubwa. Yupo too predictable.

Huwezi kwenda champions league unacheza mpira wa back passes namna ile halafu useme unashindana. Mwaka jana wale Sporting CP walitutoa kwa kucheza mpira exactly kama walivyocheza Lens jana.

Sasa hivi amebakia Saliba, Jesus na Rice ndio wanaonyesha tofauti. Wachezaji wengine wote wamebaki na mentality za kitoto. Zinchenko na Odegaard ni wachezaji wa mechi laini tu.

Yote haya ni tatizo la Arteta kubakia na mentality ya mid-table teams. Sehemu ya kufanya transition na kwenda faster kupiga counter unashangaa mchezaji akifika katikati anasimama na kusubiria opponents warudi kujipanga.

Kwa uchezaji wa aina hii tusahau milele kubeba kombe lolote kubwa. Timu zote, hata Barcelona enzi zile ipo moto ilikuwa inapiga pasi nyingi lakini sehemu ya counter wanapiga. Sasa sisi kila siku tunacheza style ileile.
 
Ukiangalia hiz stats unaona kabisa ,Arsenal kufungwa Ni sawa na Kujikwaa au kunguru kumnyea mtu ,


Wale Ndugu zangu hata kukaa na mpira hawawezi


Ni mpumbavu pekee Tena ajitokeze hapa aseme Arsenal hataongoza hili grupu

Swala la kupita Ni lalazima , nazungumzia Kuongoza kundi


Anayejiamin hatutaongoza Hili kundi ajitokeze tuweke mzigo , Sitaki maneno mengi ,Timu ikifungwa ndio mnajitokeza
20231004_080301.jpg
 
Nyumbu , Newcastle ,wakijitahidi Sana wataenda Europa


Narudi wakijitahidi Sana


Sasa endeleeni kupiga kelele humu mnajifariji Arsenal Kujikwaa
 
Hapo nimeweka ushabiki pembeni mkuu, kuona ramsdale hafai eti game ya lens ingemshinda huo ni uongo na unafiki wa hali ya juu sana. Ramsdale huyu huyu kawaokoa match against big teams zenye striker wa maana then anatokea mtu anasema game na lens ingemshinda haya si maajabu yani unamuongelea ramsdale kama vile unamuongelea hein au turner .

Wewe tulia ushapigwa misumari 2 na lens , uone kesho kikosi cha maana kinacheza PSG kaingia kwa mtakatifu james pale chochote kinaweza kutokea . Halafu group letu unalijua ni group la namna gani so ni timing PSG akiingia kwenye mfumo usishangae kuona anakufa kamba za kutosha.
Hili ni group la kuwaiana atakayewahi ndo huyo huyo mshindi

Njoo uone maana ya kikosi kipana sio nyie kila game wachezaji walewale tu Newcastle tunapiga rotation ya kutosha kama vile rotation formula zile I=∑mir2i.
Acha maneno mengi🤠🤠🤣🤣...sijui grup la kuwahiana sijui rotation nyng...HAPANA hiyo hatutaki...sisi leo tunataka tuone bolu likipigwa na binafsi ntakuwa bega kwa bega na ndugu Mbappe...Ramsdale mechi ya jana isingemfaa whether ukubali au ukatae....wale Lens wanapress vzuri sana...ile mipira angekuwa anabutuabutua sana na kutuweka under pressure...tunazungumza tactically hapa sio ushabiki...PSV mwaka jana ugenini si tulitunguliwa na Ramsdale akiwa pale golini na mechi tuliishika vzuri tu....kwhyo hyo sio sababu kwmba yy ni mzuri sana kuliko Raya....tunakubali tumefungwa🤠🤠...ongeeni ndugu zetu...ikifika saa nne usiku na sisi tunaanza kuwawangia....ize tu
 
Manjesta endeleeni kujifariji humu

Ila msimu huu mchambuzi nguli nilishawatabiria nafasi ya 12 inawahusu
 
Manjesta endeleeni kujifariji humu

Ila msimu huu mchambuzi nguli nilishawatabiria nafasi ya 12 inawahusu

Hizi mechi mnazobondwa Sasa Ni saizi yenu

Subirini muanze kukutana na wahuni
 
Mbona watu wanatema nyongo kama vile arsenal hawezi kufungwa. Nimeamini kuna mashabiki wa arsenal viazi yani wanafata mkumbo . Mbona me naona ni kitu cha kawaida.
 
Maneno ya mkosaji haya mkuu...tukubali tu defensively leo tumefanya makosa mengi na yametugharimu...magoli yte mawili ni uzembe tu...Man U kufungwa sio habari tena ila arsenal kufungwa ndo habari kubwa kwa leo....wacha waje watusagie kunguni na kina Labyrinth 84...ila kesho na sisi tutakuwa pamoja na Mbappe atufute machozi

Unajua kwann Man u si habri tena kufungwa kwasababu ninyi mbawasagia sana kunguni man u.
 
Yeah matokeo kama haya ambayo kimsingi hayana madhara sana ni muhimu pia kwa benchi la ufundi hasa pale mashabiki tunapoona kitu ambacho technical staff hawaoni.

Nilishasema saka anahitaji mapumziko.mapumziko haswa.
Kai sio mchezaji mbaya ila pia sio mchezaji tunayemtarajia.
 
Back
Top Bottom