Green Koryo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2022
- 616
- 1,143
Huyu Kai atakuja kumgombanisha arteta na mashabiki
Kai kawa yai bovu. Baada ya kupigwa na Lens




Huyu Kai atakuja kumgombanisha arteta na mashabiki




Wenger orphans mmerambwa sio mlisema mtacheza bila kichapo nyie.
Hao Wana mihemko timu zao mbovuhamis77 utatukanwa sana.. Ni vile watu wengine hapa tunaheshimu mawazo ya mtu na hatuna kauli kali. Ni ngumu mtu kumuaminisha uongo kwa watu wenye uelewa na hicho kitu. Inatia hasira sana aisee.
Wewe Ni chelkenge?Hawana uwezo huo.
Acha maneno mengi🤠🤠🤣🤣...sijui grup la kuwahiana sijui rotation nyng...HAPANA hiyo hatutaki...sisi leo tunataka tuone bolu likipigwa na binafsi ntakuwa bega kwa bega na ndugu Mbappe...Ramsdale mechi ya jana isingemfaa whether ukubali au ukatae....wale Lens wanapress vzuri sana...ile mipira angekuwa anabutuabutua sana na kutuweka under pressure...tunazungumza tactically hapa sio ushabiki...PSV mwaka jana ugenini si tulitunguliwa na Ramsdale akiwa pale golini na mechi tuliishika vzuri tu....kwhyo hyo sio sababu kwmba yy ni mzuri sana kuliko Raya....tunakubali tumefungwa🤠🤠...ongeeni ndugu zetu...ikifika saa nne usiku na sisi tunaanza kuwawangia....ize tuHapo nimeweka ushabiki pembeni mkuu, kuona ramsdale hafai eti game ya lens ingemshinda huo ni uongo na unafiki wa hali ya juu sana. Ramsdale huyu huyu kawaokoa match against big teams zenye striker wa maana then anatokea mtu anasema game na lens ingemshinda haya si maajabu yani unamuongelea ramsdale kama vile unamuongelea hein au turner .
Wewe tulia ushapigwa misumari 2 na lens , uone kesho kikosi cha maana kinacheza PSG kaingia kwa mtakatifu james pale chochote kinaweza kutokea . Halafu group letu unalijua ni group la namna gani so ni timing PSG akiingia kwenye mfumo usishangae kuona anakufa kamba za kutosha.
Hili ni group la kuwaiana atakayewahi ndo huyo huyo mshindi
Njoo uone maana ya kikosi kipana sio nyie kila game wachezaji walewale tu Newcastle tunapiga rotation ya kutosha kama vile rotation formula zile I=∑mir2i.![]()
HayaSubiri alhamis futuhi
Manjesta wamelambwa
Wameona humu ndio kwa kuhemea
Maneno ya mkosaji haya mkuu...tukubali tu defensively leo tumefanya makosa mengi na yametugharimu...magoli yte mawili ni uzembe tu...Man U kufungwa sio habari tena ila arsenal kufungwa ndo habari kubwa kwa leo....wacha waje watusagie kunguni na kina Labyrinth 84...ila kesho na sisi tutakuwa pamoja na Mbappe atufute machozi
![]()




First loss of the season is from Lens, a French side.
So chelkenge na nyumbu hua wanajisikia hivi kila wiki


.Kai ni 0 tukim ², tukimzidisha kwa 10 vyovyote vile, hakuna kitu, hata tukim differrentiate, ni BUYU tuanahitaji mabadiliko makubwa saana, bora nafasi yake acheze smith rowe