Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta ni kocha mzuri sana no doubt, ila anatake risk sana at times mpaka ana mess up.
Kwani kumpuzisha Saka kunamcost nini?
Plus Reiss Nelson na ESR wamemkosea nini huyu jamaa? Wana deserve chance.
Ramsdale ndo kabisa, he doesn't deserve this asee.
City ni must win game kama kweli tunataka kunyanyua ndoo msimu huu.
 
Arteta ni kocha mzuri sana no doubt, ila anatake risk sana at times mpaka ana mess up.
Kwani kumpuzisha Saka kunamcost nini?
Plus Reiss Nelson na ESR wamemkosea nini huyu jamaa? Wana deserve chance.
Ramsdale ndo kabisa, he doesn't deserve this asee.
City ni must win game kama kweli tunataka kunyanyua ndoo msimu huu.
Safari bado sana
Kwamba tukishamfunga city ndio guarantee?
 
Arteta ana tatizo moja tu la kulazimisha hata kama mchezaji kaonyesha dalili za kuumia yeye analazimisha kumchezesha tu,

Nakumbuka ishu ya Timber game aliyoumia kuna faulo alifanyiwa kabla ya hlf time na nilijua hawez kurud second half ila baadae alirudi na akacheza akaumia pekeake


Dalili za Saka kuumia zimeanza wiki ya 3 hii, leo ndo kawa hoi kabisa sasa hata first half hajamaliza.
 
Fabio.........................Nketiah......................Nelson
.
.,....................Kai...................Rowe
.
.........................,........Rice
.
.
. ziny........... Gabriel...... Tomy..........white
.
...............................Ramsdale


Ningependa Leo tuingie hivi
Nilipo post hii nilimaanisha tunahitaji baadhi ya player wapumzike
 
Safari bado sana
Kwamba tukishamfunga city ndio guarantee?
Tukimfunga City [Title Contender na reigning champion] tutaboost sana morale ya team pamoja na mashabiki.
Plus ukitaka kunyanyua ndoo hizi ndo games ambazo ni must win, zinakuaga ni decesive sana.

Rudi nyuma angalia last season, tulipopigwa game against city fuatilia series ya matokeo baada ya hapo.
 
Hawa Lens wanafika sana miguuni, wako physical sana.. wana press kwa nguvu, ni km must win game kwao.

To easy things, kocha alitakiwa awalinde wachezaji wake muhimu kwa kuwa tuna game muhimu hapo mbele.

Kwani Saka angeingia kwenye dk ya 75 kungekua na shida gani?
 
Tukimfunga City [Title Contender na reigning champion] tutaboost sana morale ya team pamoja na mashabiki.
Plus ukitaka kunyanyua ndoo hizi ndo games ambazo ni must win, zinakuaga ni decesive sana.

Rudi nyuma angalia last season, tulipopigwa game against city fuatilia series ya matokeo baada ya hapo.
Mechi ya 8 out of 38
Bado sana safari hata kama tutapoteza.
 
Back
Top Bottom