Mara ngapi?Huyu Kai atakuja kumgombanisha arteta na mashabiki
Tatizo ujuaji mwingi keshajiona Pep tayari. Mfano game ya Bournemouth kulikua na haja gani Saka kuendelea na mechi huku tunaongoza 3-0?Kwani kumpuzisha Saka kunamcost nini?
Plus Reiss Nelson na ESR wamemkosea nini huyu jamaa? Wana deserve chance.
Ramsdale ndo kabisa, he doesn't deserve this asee.


Sasa kufungwa hii mechi ndio unaamini hatutaongoza kundi ?Hamisi na wenzake walisema Arsenal kapangwa group jepesi mno kuna Sevilla mechi 2 away na home zinafuata ndio atajua champions league sio mashindano ya mdomoni
Kwa hiyo mna wazo la kumfunga City...akili ya KENGE bana.Safari bado sana
Kwamba tukishamfunga city ndio guarantee?















































































