Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Kocha kweli anazeeka vibaya,Vermaelen na sagna nje duu sio mchezo
Unataka wacheze na huku wanaumwa mkuu?
Hongera kwa waganga wenu mnaotumia, kila siku mikosi sisi tu lol.
Kocha kweli anazeeka vibaya,Vermaelen na sagna nje duu sio mchezo
Ina akina nani???Sub ya Arsenal ndio nimecheka mpaka basi......
Mimi sina wasiwasi nafahamu huu ni msimu mgumu sana ila lolote linawezekana.
Hapa Tripoli jamaa wa TNC bado wanazungumza na wazee wa Mji wa Sirte ambako Gaddafi amezaliwa ili waweze kuingia kwenye mji huo.
Internet inafanya kazi na bomba la mafuta ambalo linatambaa hadi Italy nao limekwishatengezwa na hawa jamaa.
Jamaa hawa wametangaza majina ya mawaziri ambao wataanza kazi rasmi leo na ni mwanamke mmoja tu yumo humo anaitwa Salwa Fawzi el-Deghali ambae anatoka mji wa Benghazi.
Arsenal leo inaingia Old Trafford ikiwa na uhaba wa wachezaji tegemeo saba.
Gervinho, Alex Song, Jack Wilshere, Kieran Gibbs, Emmanuel Frimpong, Abou Diaby na Laurent Koscielny.
Sasa sijui itakuwaje!
mkuu usijali.. ni soccer mpira unadunda ila reffer akiwa Howard webb ... tuhesabu tushafungwa! jamaa ni mnazi wa man UTD ...
HUYU REFA! NAOMBA ASIWE YEYE
![]()
Suala liko nani wa kupiga shuti?Leo pale mbele bila mashuti ya mbali ngoma yetu itakuwa ngumu.
<br />Ina akina nani???
<br />Has anyone noticed that Man U wapo 12 uwanjani?
Suala liko nani wa kupiga shuti?