Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ile pen wangekuwa man utd wamepewa wangesema ad kesho....gol la pili hilo..
 
I said so,nasikitikakusema kuwa wanaweza kulimwa goli tano leo.Man U ni a very young team,full of energy,kama wasipofight back watalimwa na kuwa embarassed.
 
RVP katuangusha kabisa hapa........ Young kascore from such a long distance with a bunch of players in btn...... Yeye na Kipa kashindwa.... At the end wachezaji hao hao wanalalamika timu haichukui vikombe.... wanasahau penalty walizokosa.......
 
Huyu kipa kama anawapigia kelele hao mabeki all the time basi kabla ngoma kwisha sauti itakwisha,na ama akikata tamaa watafungwa zaidi.
 
Wenger inabidi aachie ngazi, haiwezekani anawatesa washabiki namna hii...
 
Arsenal wanatakiwa waspend pesa,Wenger aache ujinga.Tizama sasa Chicharito huyo licha ya Welback kuumia,hawana shida,na pengine chicharito atafunga ili kutaka kupreserve nafasi ambayo Welbeck ameichukua kwa muda sasa.
 
Wenger hivi kwa hiki kikosi alikuwa anategema miracle au?
 
Arshavin anakula nyekundu leo humu, frustration litamaliza timu yote sasa.

Wenger mlete Chamaberlain ajifunze manake hakuna hasara hapa leo.
 
Papizo

Weka na mawe usisahau mangapi kwani leo ndio siku iliyokuwa ikisubiriwa na Manu kwa muda kufundisha mpira na kufunga magoli

Arsene huenda akaachia mchuma kwani dalili ya kubaki inazidi kuwa ndogo
Wale walioekeza kwa Arsenal nenda haraka ukauze share zako
Yapo mengi yanakuja
 
huyu refa anawabeba Arsenal, kwanini Arshavin bado yuko uwanjani?!!!!
 
Back
Top Bottom