Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,666
- 1,406
Wakuu heshima mbele yenu!
Hivi kwanini Arsenal inafungwa maranyingi na Man U? tatizo ni nini?
last time i checked walitufunga kwao .. tukaja wachinja emarates.. mara nyingi inakuwa hivo ...
Wakuu heshima mbele yenu!
Hivi kwanini Arsenal inafungwa maranyingi na Man U? tatizo ni nini?
Hapana mkuu! usitazame ya msimu mmoja tu uliyopita.....jaribu kutizama misimu kama saba mfululizo bila kusahau na FA.last time i checked walitufunga kwao .. tukaja wachinja emarates.. mara nyingi inakuwa hivo ...
Hapana mkuu! usitazame ya msimu mmoja tu uliyopita.....jaribu kutizama misimu kama saba mfululizo bila kusahau na FA.
Hata kwenye mtanange huu wa leo utaona Arsenal watacheza vizuri kama Barca,lakini mwisho wa dk 90 utaona Man u 3 Arsenal 0 au 1.
Sasa hapo ndiyo huwa nashindwa kuelewa! tatizo ni nini?
last time i checked walitufunga kwao .. tukaja wachinja emarates.. mara nyingi inakuwa hivo ...
Mkuu....yaani we acha tu! Leo Man u watatubugiza si chini ya goli 3! maana kila nikicheck kikosi cha Arsenal naona kiza tuLeo hao lazima wanywe nyingi sanaaaaaaaaaaaaa,maana na kikosi chao kibovu sijui itakuwaje........
Mkuu....yaani we acha tu! Leo Man u watatubugiza si chini ya goli 3! maana kila nikicheck kikosi cha Arsenal naona kiza tu
Arsenal leo inaingia Old Trafford ikiwa na uhaba wa wachezaji tegemeo saba.
Gervinho, Alex Song, Jack Wilshere, Kieran Gibbs, Emmanuel Frimpong, Abou Diaby na Laurent Koscielny.
Sasa sijui itakuwaje!
Mkuu yaani ni haibu tupu....ukiangalia wachezaji wanatia huruma,ukimwangalia kocha anatia huruma....Arsenal leo inaingia Old Trafford ikiwa na uhaba wa wachezaji tegemeo saba.
Gervinho, Alex Song, Jack Wilshere, Kieran Gibbs, Emmanuel Frimpong, Abou Diaby na Laurent Koscielny.
Sasa sijui itakuwaje!
Siku mbaya kwenu mkuu,ila hapo katika list naona wengine umeweka tu kama vibendera, huyo gibbs na diaby hawana madhara hao hata kama wangekuwepo mkuu........labda hapo sana ni huyo song na frimpong
Ndiyo tushaanza kutapatapa jamani. Alafu habari ambazo ninazo ni kuwa mashabiki wa Arsenal waishio LondonSiku mbaya kwenu mkuu,ila hapo katika list naona wengine umeweka tu kama vibendera, huyo gibbs na diaby hawana madhara hao hata kama wangekuwepo mkuu........labda hapo sana ni huyo song na frimpong
Arsenal leo inaingia Old Trafford ikiwa na uhaba wa wachezaji tegemeo saba.
Gervinho, Alex Song, Jack Wilshere, Kieran Gibbs, Emmanuel Frimpong, Abou Diaby na Laurent Koscielny.
Sasa sijui itakuwaje!
Khaa nawee nawe!....sawa tumepokea rambirambi yakoNimepita mapema kutoa mkono wa rambirambi....bwana alizaa na bwana ametwaa
..jina la Arsenol lihimidiwe...amini.
Mkuu yaani ni haibu tupu....ukiangalia wachezaji wanatia huruma,ukimwangalia kocha anatia huruma....
wapenzi na mashabiki ndiyo usiseme! washajikatia tamaa na wanatia huruma pia
Gibbs na Diaby wanaweza kuanza kwa kukaa benchi maana Armand Traole na Rosicky wanaweza kujaza nafasi zao kwa kuanza. Nafikiri list iliyomaliza game na Udinese ukiondoa Song, ndio itakayoanza leo.
Man U wanaweza kuanza na XI iliocheza na Tottenham Jumatatu iliopita.
Mkuu yaani ni haibu tupu....ukiangalia wachezaji wanatia huruma,ukimwangalia kocha anatia huruma....
wapenzi na mashabiki ndiyo usiseme! washajikatia tamaa na wanatia huruma pia
Arsene Wenger ameangushwa na madalali na mascout ambao wameshindwa kuja na namba au majina ya wachezaji ambao anataka yeye.
Wenger anataka wachezaji ambao wataziba nafasi ya Fabregas na Nasri yaani playmaking na creativity. Fabregas ni mchezaji creative na Nasri ni playmaker yaani anayumbisha mitindo mbalimbali ya uchezaji ili kuwapa nafasi wengine wafunge -(leo tu amesaidia goli la kwanza la Man City kwa kumtafutia nafasi Dzeko ambae akafunga goli la kwanza).
Fabregas akiwa mbunifu yaani "creative", ana uwezo wa kuona wapi kuna nafasi "Gap" na akaweka mpira hapo na mtu akaweza kufunga na pia pasi zake ni murua yaani "accurate" na ambazo huwa hazipotei.
Sasa Wenger anataka nafasi hizo zijazwe na wachezaji ambao angalau wanafikia uwezo huo bila kupoteza ladha ya mtindo wa uchezaji wa timu hio.
Yaani huyu Wenger kama angekuwa anaishi Bongo basi zamani nishampiga risasi ya kichwa na sasa nahisi ningekuwa JelaHivi huyo kocha anataka mpaka aondoke amewaacha kwenye hali gani???maana sasa hivi wachezaji wa kikosi cha pili ndio anawategemea zaidi ambao bado hawajafuzu kuchezea first eleven.....