Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

MAONI YA SHABIKI

Leo tumzungumzie Kai havertz mjerumani halisia aliyefananishwa na Özil kwa aina ya uchezaji wake ukirudi misimu mitatu nyuma katika wachezaji ambao walikuwa na potential kubwa ya kufanya makubwa huwezi muacha Kai Havertz aliyekuwa ana uwezo wa kucheza namba zote za ushambuliaji

Ili potential ya mchezaji ifike pale inapokusudiwa basi inahitaji misingi mizuri ya klabu na falsafa kwa ujumla

Kwenda kwake Chelsea ilikuwa ni wazo zuri kama Yale yaliyomfanya ashawishiwe kwenda huko yangefatwa kwa kuwa kipindi kile Chelsea iliyofuzu kucheza UEFA ilikuwa na vijana mtupu wakina Pulisic Mount Reece Fikayo na wengineo

Na walikuwa wanaanda project ya muda mrefu Ila yaliyotokea tuliyaona kipindi ambacho team ilikuwa inajitafuta ikamtimua Lampard

Na tunajua mchezaji akisajiliwa anahitaji muda wakufit kwenye mfumo japo sio wote Ila baadhi yao wanahitaji muda kipindi Kai anajitafuta kocha akabadilishwa na tunajua Kila kocha ana falsafa zake

Na Tuchel alifanikiwa kumrudisha kwa kiasi ule ubora aliokuwa nao Leverkusen wakafanikiwa wakabeba UEFA kama mnavyojua Kila msimu kocha inapaswa abadilishe mifumo na mfumo pia unahitaji muda kukubali

Team inaingia kwenye migogoro Tuchel anatimuliwa analetwa Potter fikiria Kai ni mchezaji mdogo bado anahitaji misingi mizuri ya uchezaji unadhani ni rahisi mchezaji mdogo kufikia ubora wake kwa makocha zaidi ya watatu ndani ya misimu miwili

Ni mchezaji yupi huyo nionyesheni ko kama mnaamua kumlaumu basi tumlaumu Arteta kwa kuwa alijua anamsajili mchezaji wa aina gani

Na kuhusu ishu ya pesa walikuwepo wachezaji wa bei Chee Ila Kocha ndo aliyechagua na yeye hajipangi Ila anapangwa

Tumpe muda kama tuliompa Viera ambaye Leo tunataka aanze sio kutwa kumponda mchezaji kama yeye ndo anacheza team nzima peke yake
 
Premier League Manager of the Month nominees:

Mikel Arteta (Arsenal)
Pep Guardiola (Man City)
Jurgen Klopp (Liverpool)
󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 David Moyes (West Ham)
Ange Postecoglou (Spurs)

Who has your vote?
 
SHABIKI wa Manchester United mjini Eldoret, nchini Kenya, Thomas Kiptanui Kemboi, maarufu Kapkeno amekimbizwa hospitalini baada ya kujaribu kula trei la mayai ya kuchemsha, baada ya kuwekeana dau (ku-bet) na marafiki zake ambao ni mashabiki wa Arsenal.

Kapkeno aliweka dau la kula trei nzima ya mayai ya kuchemsha iwapo Man United wangeshindwa na Arsenal, na waliposhindwa ilibidi atimize ahadi.
20230907_144937.jpg
 
SHABIKI wa Manchester United mjini Eldoret, nchini Kenya, Thomas Kiptanui Kemboi, maarufu Kapkeno amekimbizwa hospitalini baada ya kujaribu kula trei la mayai ya kuchemsha, baada ya kuwekeana dau (ku-bet) na marafiki zake ambao ni mashabiki wa Arsenal.

Kapkeno aliweka dau la kula trei nzima ya mayai ya kuchemsha iwapo Man United wangeshindwa na Arsenal, na waliposhindwa ilibidi atimize ahadi.View attachment 2742079


Ushabiki huu dah
 
| Kai Havertz on his difficult start at Arsenal:

“Sure, something like that keeps you busy. But I have often had a phase and then you often only see the negative. It's not the first club where I start again.

“Of course, you want to succeed as soon as possible, but I know that there are such phases. I'm trying to approach it relaxed.” [Sport 1] #afc
 
| Germany lineup with Kai Havertz up top ahead of the matches against Japan and France.

20230907_180442.jpg
 
| Kai Havertz on his difficult start at Arsenal:

“Sure, something like that keeps you busy. But I have often had a phase and then you often only see the negative. It's not the first club where I start again.

“Of course, you want to succeed as soon as possible, but I know that there are such phases. I'm trying to approach it relaxed.” [Sport 1] #afc

Tumpe mda Kai ila hapa alitukanwa kichizi na mashabiki katika kibanda umiza



IMG_4814.jpg
 
Sure,pressure kubwa kutoka kwa fans inamfanya anakosa confidance akiwa uwanjani .

Goli likikua la wazi kabisa.
Fans wa Arsenal hatukuwa na tabia ya kuwapa presha wachezaji, tumeiga kwa manjesta na Chelsea, hasa manjesta

Tumewavumilia wachezaji mizigo wengi Sana, had waliposhindikana tukanyoosha mikono

Pepe mwenyewe bado had kesho Kuna fans wa Arsenal wanaamini anastahili kupewa muda au 2nd Chance
 
Huu utopolo unabamizwa leo tatu kavu. Nimerudia tena
Naona umehamia Newcastle

Ni aibu kufungwa na manjesta ambayo haiwez kupiga pass 10 kwa usahihi ,Ni aibu

Dk 100 Wana on target 2 , it's like Arsenal alikuwa anafanya mazoezi

Mpaka Sasa bado hatujaweka 3rd gear

Tunakusubiri wewe na Newcastle yako ,si umehama Chelsea
 
Hawezi kutoka Chelsea age below 28 ukae benchi arsenal.ARSENAL Droo inatosha Kwa utd
Kutoa draw na manjesta ni aibu ,timu ambayo dk 100 imepata Kona 3

Imepiga pass 70 tu kwenye final third ya Arsenal , compared na Arsenal pass 200+

Hao mtatoa nao draw nyie vilema wenzenu
 
Back
Top Bottom