Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
MAONI YA SHABIKI 

Leo tumzungumzie Kai havertz mjerumani halisia aliyefananishwa na Özil kwa aina ya uchezaji wake ukirudi misimu mitatu nyuma katika wachezaji ambao walikuwa na potential kubwa ya kufanya makubwa huwezi muacha Kai Havertz aliyekuwa ana uwezo wa kucheza namba zote za ushambuliaji
Ili potential ya mchezaji ifike pale inapokusudiwa basi inahitaji misingi mizuri ya klabu na falsafa kwa ujumla
Kwenda kwake Chelsea ilikuwa ni wazo zuri kama Yale yaliyomfanya ashawishiwe kwenda huko yangefatwa kwa kuwa kipindi kile Chelsea iliyofuzu kucheza UEFA ilikuwa na vijana mtupu wakina Pulisic Mount Reece Fikayo na wengineo
Na walikuwa wanaanda project ya muda mrefu Ila yaliyotokea tuliyaona kipindi ambacho team ilikuwa inajitafuta ikamtimua Lampard
Na tunajua mchezaji akisajiliwa anahitaji muda wakufit kwenye mfumo japo sio wote Ila baadhi yao wanahitaji muda kipindi Kai anajitafuta kocha akabadilishwa na tunajua Kila kocha ana falsafa zake
Na Tuchel alifanikiwa kumrudisha kwa kiasi ule ubora aliokuwa nao Leverkusen wakafanikiwa wakabeba UEFA kama mnavyojua Kila msimu kocha inapaswa abadilishe mifumo na mfumo pia unahitaji muda kukubali
Team inaingia kwenye migogoro Tuchel anatimuliwa analetwa Potter fikiria Kai ni mchezaji mdogo bado anahitaji misingi mizuri ya uchezaji unadhani ni rahisi mchezaji mdogo kufikia ubora wake kwa makocha zaidi ya watatu ndani ya misimu miwili
Ni mchezaji yupi huyo nionyesheni ko kama mnaamua kumlaumu basi tumlaumu Arteta kwa kuwa alijua anamsajili mchezaji wa aina gani
Na kuhusu ishu ya pesa walikuwepo wachezaji wa bei Chee Ila Kocha ndo aliyechagua na yeye hajipangi Ila anapangwa
Tumpe muda kama tuliompa Viera ambaye Leo tunataka aanze sio kutwa kumponda mchezaji kama yeye ndo anacheza team nzima peke yake


Leo tumzungumzie Kai havertz mjerumani halisia aliyefananishwa na Özil kwa aina ya uchezaji wake ukirudi misimu mitatu nyuma katika wachezaji ambao walikuwa na potential kubwa ya kufanya makubwa huwezi muacha Kai Havertz aliyekuwa ana uwezo wa kucheza namba zote za ushambuliaji
Ili potential ya mchezaji ifike pale inapokusudiwa basi inahitaji misingi mizuri ya klabu na falsafa kwa ujumla
Kwenda kwake Chelsea ilikuwa ni wazo zuri kama Yale yaliyomfanya ashawishiwe kwenda huko yangefatwa kwa kuwa kipindi kile Chelsea iliyofuzu kucheza UEFA ilikuwa na vijana mtupu wakina Pulisic Mount Reece Fikayo na wengineo
Na walikuwa wanaanda project ya muda mrefu Ila yaliyotokea tuliyaona kipindi ambacho team ilikuwa inajitafuta ikamtimua Lampard
Na tunajua mchezaji akisajiliwa anahitaji muda wakufit kwenye mfumo japo sio wote Ila baadhi yao wanahitaji muda kipindi Kai anajitafuta kocha akabadilishwa na tunajua Kila kocha ana falsafa zake
Na Tuchel alifanikiwa kumrudisha kwa kiasi ule ubora aliokuwa nao Leverkusen wakafanikiwa wakabeba UEFA kama mnavyojua Kila msimu kocha inapaswa abadilishe mifumo na mfumo pia unahitaji muda kukubali
Team inaingia kwenye migogoro Tuchel anatimuliwa analetwa Potter fikiria Kai ni mchezaji mdogo bado anahitaji misingi mizuri ya uchezaji unadhani ni rahisi mchezaji mdogo kufikia ubora wake kwa makocha zaidi ya watatu ndani ya misimu miwili
Ni mchezaji yupi huyo nionyesheni ko kama mnaamua kumlaumu basi tumlaumu Arteta kwa kuwa alijua anamsajili mchezaji wa aina gani
Na kuhusu ishu ya pesa walikuwepo wachezaji wa bei Chee Ila Kocha ndo aliyechagua na yeye hajipangi Ila anapangwa
Tumpe muda kama tuliompa Viera ambaye Leo tunataka aanze sio kutwa kumponda mchezaji kama yeye ndo anacheza team nzima peke yake

Premier League Manager of the Month nominees:
Mikel Arteta (Arsenal)
Jurgen Klopp (Liverpool)
David Moyes (West Ham)
Ange Postecoglou (Spurs) 


| Kai Havertz on his difficult start at Arsenal:
| Germany lineup with Kai Havertz up top ahead of the matches against Japan and France. 
