Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

David Raya has impressed in training, particularly with his ability to play out with the ball.

Mikel Arteta is giving serious consideration to giving Raya a prolonged first-team opportunity in the coming weeks.

[Mail]
20230906_201807.jpg
 
Ni hatua nzuri kwa Aaron Rams kuwa nominated kwenye Yachine Trophy

He’s 25. The youngest GK in the list. I can’t imagine how good he will be when he gets matured
20230906_195413.jpg
 
Eddie Nketiah:

"Thiery Henry amekuwa msaada kwangu, niliweza kufundishwa naye kama mwanafunzi wa mwaka wa kwanza nikiwa na miaka 16, moja ya misimu yangu bora na ya kufurahisha zaidi.

"Alikuja na kuona ubora niliokuwa nao nilipokuwa na umri wa miaka 16 au 17 na akasema kwamba nilihitaji tu kujiamini chochote ambacho mtu mwingine yeyote angesema.

Hilo ndilo litakalokusaidia, kukutia moyo.

Huenda hiyo ni mojawapo ya ushauri bora zaidi. ushauri ambao nimewahi kupokea. " alinipa ujasiri mkubwa na bado hadi leo ninapomuona bado ananiunga mkono na bado ananisaidia sana. Ananiambia nijiamini."

[@johncrossmirror]
20230906_204322.jpg
 
We're so proud of you, Bukayo [emoji3590]

[emoji471] Saka has been nominated for the Men's Ballon d'Or
20230906_205000.jpg
 
Kuna taarifa zinasema David Raya kwakiwango anachoonyesha mazoezini anakaribia kuanza kudaka Kama no.1


Binafsi nashawishika Rasmdale hatakiwi kuwa dropped ,kuja kwa Raya kaimarika Sana ,


Pili ,Kuna sauti inaniambia Raya atakuwa no.1 kwenye michuano ya UCL na Carabao

Ramsdale EPL & FA cup

Nope, kila kitu kitabadilika, Raya is exceptional
 
Spurs Ni timu yakwenda kucheza nayo kwa makini

Wanacheza mpira wa kisasa

Wamefanya maamuz magumu kufukuza Conte na mpira wake wa ujanjaujanja wamenunua GK mzuri kwenye footwork


Kwasasa game na Spurs yakwenda kwa Akili
Tunashinda.
 
Arsenal players nominated for the Ballon d'Or:

[emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Bukayo Saka
[emoji1189] Martin Odegaard

The first time that multiple Gunners feature in the shortlist since Cesc Fàbregas and Andrey Arshavin were nominated in 2009. [emoji837]

#BallondOr
 
Arsenal players nominated for the Ballon d'Or:

[emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Bukayo Saka
[emoji1189] Martin Odegaard

The first time that multiple Gunners feature in the shortlist since Cesc Fàbregas and Andrey Arshavin were nominated in 2009. [emoji837]

#BallondOr
Haya ni mambo mazuri kusikia kuhusu timu yetu. Tuombe timu izidi kuimarika na tuanze kushinda mataji sasa.
 
Arsenal players nominated for the Ballon d'Or:

[emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Bukayo Saka
[emoji1189] Martin Odegaard

The first time that multiple Gunners feature in the shortlist since Cesc Fàbregas and Andrey Arshavin were nominated in 2009. [emoji837]

#BallondOr
Dah... Andrey arshavin kajamaa kalikuwa ni hatari saana, kafundi ka mpira, kanapiga miguu yote yeye hleb na cazorla ni watu wa kipekee sana
 
Arsenal players nominated for the Ballon d'Or:

[emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Bukayo Saka
[emoji1189] Martin Odegaard

The first time that multiple Gunners feature in the shortlist since Cesc Fàbregas and Andrey Arshavin were nominated in 2009. [emoji837]

#BallondOr
Upande wa wanawake tuna wawakilishi wawili pia
Katie McCabe na Amanda Ilestedt

ManCity, United na Chelsea nao wamo
 
MAONI YA SHABIKI [emoji186][emoji186]

Leo tumzungumzie Kai havertz mjerumani halisia aliyefananishwa na Özil kwa aina ya uchezaji wake ukirudi misimu mitatu nyuma katika wachezaji ambao walikuwa na potential kubwa ya kufanya makubwa huwezi muacha Kai Havertz aliyekuwa ana uwezo wa kucheza namba zote za ushambuliaji

Ili potential ya mchezaji ifike pale inapokusudiwa basi inahitaji misingi mizuri ya klabu na falsafa kwa ujumla

Kwenda kwake Chelsea ilikuwa ni wazo zuri kama Yale yaliyomfanya ashawishiwe kwenda huko yangefatwa kwa kuwa kipindi kile Chelsea iliyofuzu kucheza UEFA ilikuwa na vijana mtupu wakina Pulisic Mount Reece Fikayo na wengineo

Na walikuwa wanaanda project ya muda mrefu Ila yaliyotokea tuliyaona kipindi ambacho team ilikuwa inajitafuta ikamtimua Lampard

Na tunajua mchezaji akisajiliwa anahitaji muda wakufit kwenye mfumo japo sio wote Ila baadhi yao wanahitaji muda kipindi Kai anajitafuta kocha akabadilishwa na tunajua Kila kocha ana falsafa zake

Na Tuchel alifanikiwa kumrudisha kwa kiasi ule ubora aliokuwa nao Leverkusen wakafanikiwa wakabeba UEFA kama mnavyojua Kila msimu kocha inapaswa abadilishe mifumo na mfumo pia unahitaji muda kukubali

Team inaingia kwenye migogoro Tuchel anatimuliwa analetwa Potter fikiria Kai ni mchezaji mdogo bado anahitaji misingi mizuri ya uchezaji unadhani ni rahisi mchezaji mdogo kufikia ubora wake kwa makocha zaidi ya watatu ndani ya misimu miwili

Ni mchezaji yupi huyo nionyesheni ko kama mnaamua kumlaumu basi tumlaumu Arteta kwa kuwa alijua anamsajili mchezaji wa aina gani

Na kuhusu ishu ya pesa walikuwepo wachezaji wa bei Chee Ila Kocha ndo aliyechagua na yeye hajipangi Ila anapangwa

Tumpe muda kama tuliompa Viera ambaye Leo tunataka aanze sio kutwa kumponda mchezaji kama yeye ndo anacheza team nzima peke yake
 
[emoji2422][emoji92] Premier League Manager of the Month nominees:

[emoji633] Mikel Arteta (Arsenal)
[emoji633] Pep Guardiola (Man City)
[emoji629] Jurgen Klopp (Liverpool)
[emoji1022]󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 David Moyes (West Ham)
[emoji1037] Ange Postecoglou (Spurs)

Who has your vote? [emoji2792]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom