Westham watarudi nafasi zao , wamesajili wachezaji wazuri wengi ,tatizo lao moja bado defensive minded team ,Wana wachezaji wakuamua matokeo Kama James Ward Prowse ,Kudus , n.k
Kwasasa naogopa Sana kukutana na Brighton
Kuna taarifa zinasema David Raya kwakiwango anachoonyesha mazoezini anakaribia kuanza kudaka Kama no.1
Binafsi nashawishika Rasmdale hatakiwi kuwa dropped ,kuja kwa Raya kaimarika Sana ,
Pili ,Kuna sauti inaniambia Raya atakuwa no.1 kwenye michuano ya UCL na Carabao
Ramsdale EPL & FA cup
Tunashinda.Spurs Ni timu yakwenda kucheza nayo kwa makini
Wanacheza mpira wa kisasa
Wamefanya maamuz magumu kufukuza Conte na mpira wake wa ujanjaujanja wamenunua GK mzuri kwenye footwork
Kwasasa game na Spurs yakwenda kwa Akili
Haya ni mambo mazuri kusikia kuhusu timu yetu. Tuombe timu izidi kuimarika na tuanze kushinda mataji sasa.Arsenal players nominated for the Ballon d'Or:
Bukayo Saka
Martin Odegaard
The first time that multiple Gunners feature in the shortlist since Cesc Fàbregas and Andrey Arshavin were nominated in 2009.
#BallondOr
Dah... Andrey arshavin kajamaa kalikuwa ni hatari saana, kafundi ka mpira, kanapiga miguu yote yeye hleb na cazorla ni watu wa kipekee sanaArsenal players nominated for the Ballon d'Or:
Bukayo Saka
Martin Odegaard
The first time that multiple Gunners feature in the shortlist since Cesc Fàbregas and Andrey Arshavin were nominated in 2009.
#BallondOr
Upande wa wanawake tuna wawakilishi wawili piaArsenal players nominated for the Ballon d'Or:
Bukayo Saka
Martin Odegaard
The first time that multiple Gunners feature in the shortlist since Cesc Fàbregas and Andrey Arshavin were nominated in 2009.
#BallondOr
BREAKING: Rashford and Bruno Fernandes have been nominated for Carabao Cup Player of The Year Awards. [Sun]BREAKING: Rashford and Bruno Fernandes have been nominated for Carabao Cup Player of The Year Awards. [Sun]


Aisee