hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,310
- 26,704
Arteta awagawie michuano sio ku mdrop , ampe Raya kudaka UCL na CarabaoSema ramsdale kawa wa moto jamani, hii haitaleta mgongano![]()
Na Nadhani ndio kinaenda kufanyika
Arteta awagawie michuano sio ku mdrop , ampe Raya kudaka UCL na CarabaoSema ramsdale kawa wa moto jamani, hii haitaleta mgongano![]()
Sema akionyesha uzima, tuta pasukaa hellaArteta awagawie michuano sio ku mdrop , ampe Raya kudaka UCL na Carabao
Na Nadhani ndio kinaenda kufanyika
Umefanya maamuzi sahihi
Nasikia nikama tumemnunua tu ,Arsenal waliwaomba Brentford wakubali Kama mkopo ambao una kipengere Cha idad fulan za mech ili automatically iwe obligation kumnunua msimu ujao kwa £30m ,ili tuwe safe kwenye FFP ,Sema akionyesha uzima, tuta pasukaa hella
Nimeumia sana kufungwa na Wenger orphans aise sina raha huku street kabisa.
View attachment 2739785


jukwaa lao sasa hivi amani imetamalaki, yaani kila nikitaka kuingia humu nikizikumbuka zile goli 3 nafsi inakua nzito sana aiseeee, tena ule mgoli wa Jesus ndio unakata maini kabisa. Sisi tunazingua sana. Nyie si wakuawana points na sisi. Tunapaswa kupata 6 kutoka kwenu kama tunavyochota kw Chelkenge. Ila yule mhuni Rashidi Makame, sijui kwenye mkataba wake mnamuongezea milioni moja kila akitufunga? Ana ishu gani na sisi yule mpemba?jukwaa lao sasa hivi amani imetamalaki, yaani kila nikitaka kuingia humu nikizikumbuka zile goli 3 nafsi inakua nzito sana aiseeee, tena ule mgoli wa Jesus ndio unakata maini kabisa.
Hawa Kima wakija OT lazima tuwatapishe goli zasizo pungua 6 mbuzi hawa maana sasa hivi naona washaanza kutuzoea kila msimu tunagawana points tu.
#ArseVAR
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
Msimu huu mjiandae kutema points 6jukwaa lao sasa hivi amani imetamalaki, yaani kila nikitaka kuingia humu nikizikumbuka zile goli 3 nafsi inakua nzito sana aiseeee, tena ule mgoli wa Jesus ndio unakata maini kabisa.
Hawa Kima wakija OT lazima tuwatapishe goli zasizo pungua 6 mbuzi hawa maana sasa hivi naona washaanza kutuzoea kila msimu tunagawana points tu.
#ArseVAR
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
Yule injury prone sanaspurs kwa namna wanavocheza.. key player wao ni maddison ;waombe asipate injury.

| @PaulMerse on Kai Havertz: Hivi Waarabu si waje walichukue hilo garasa Harvetz??| @PaulMerse on Kai Havertz:
“I feel for Kai Havertz. He’s playing in a position where it’s not easy. He hasn’t played very well. Mikel Arteta will stick with him. He’s low on confidence but Arsenal have won three and drawn one.”
“You’ve paid that money and put yourself out there to go and get him. The cream rises to the top. I’m a big fan but I did say when he got signed, he has got that look of Mesut Ozil about him.”
“That’s the problem. If it isn’t going well, he doesn’t look too interested. That’s not the case – it just comes across like that.”(sky via tbr)
Kwa kikosi gani cha kutufunga goli sita mlichonacho🤠🤠...msipomaliza matatizo yenu ya kutoweza kumiliki Mpira na kusubiri kaunta tu....hakyanani mechi ijayo mna Brighton mkuu...mtatema ndoano...kule kwa livakuku mkienda na hyu kipa wenu shati na swaga zake hzi...hakyanani mkuu tutakuja kuwapa pole kwa fedheha mtakayoipata...maana nyny na livakuku mna ugomvi ule wa asili kabisa na ndo maana wale mabwana kuwafunga hata kumi haitakuwa tabu kwao🤠🤠🤠jukwaa lao sasa hivi amani imetamalaki, yaani kila nikitaka kuingia humu nikizikumbuka zile goli 3 nafsi inakua nzito sana aiseeee, tena ule mgoli wa Jesus ndio unakata maini kabisa.
Hawa Kima wakija OT lazima tuwatapishe goli zasizo pungua 6 mbuzi hawa maana sasa hivi naona washaanza kutuzoea kila msimu tunagawana points tu.
#ArseVAR
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
Acha kuwatishaKwa kikosi gani cha kutufunga goli sita mlichonacho...msipomaliza matatizo yenu ya kutoweza kumiliki Mpira na kusubiri kaunta tu....hakyanani mechi ijayo mna Brighton mkuu...mtatema ndoano...kule kwa livakuku mkienda na hyu kipa wenu shati na swaga zake hzi...hakyanani mkuu tutakuja kuwapa pole kwa fedheha mtakayoipata...maana nyny na livakuku mna ugomvi ule wa asili kabisa na ndo maana wale mabwana kuwafunga hata kumi haitakuwa tabu kwao
![]()

Hmu hatutishani tunaambiana Hali halisi mkuu🤠🤠🤠....arsenal wakikufunga goli Tano basi siku hyo ww ni more than poor kwny uchezaji wako ila Yale ma Liverkuku huwa Yana roho Fulani mbaya sana....Sasa Hawa ndugu zetu na lile shati lao pale golini....sijui itakuwajeAcha kuwatisha![]()
January pia atakosekana week kadhaa sababu ya afconPartey nje wiki 6
Kutoka kwa Mwandishi Sami Mokbel81
Arsenal hope to have midfielder Thomas Partey back after October international break. Set to miss at least six weeks with groin/thigh injury. Story:
Onana Ni kipa mzuri ila kwa timu based possession,kwa timu hizi za kuvizia kaunta atachezea Sana fimboKwa kikosi gani cha kutufunga goli sita mlichonacho...msipomaliza matatizo yenu ya kutoweza kumiliki Mpira na kusubiri kaunta tu....hakyanani mechi ijayo mna Brighton mkuu...mtatema ndoano...kule kwa livakuku mkienda na hyu kipa wenu shati na swaga zake hzi...hakyanani mkuu tutakuja kuwapa pole kwa fedheha mtakayoipata...maana nyny na livakuku mna ugomvi ule wa asili kabisa na ndo maana wale mabwana kuwafunga hata kumi haitakuwa tabu kwao
![]()
Jorginho yupo ,atasogeza gurudumuJanuary pia atakosekana week kadhaa sababu ya afcon