BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
Mkuu, sijajua upo na point ipi inayofanya ufukue makaburi.This is 2020
Tunatembelea vipigo watu wamekimbia jukwaa na hapa ni member akielezea
Ila ninalojua, hata mkibaki wawili humu jukwaani, haimaanishi wengine wamecha kuisapoti Arsenal.
Tupo mtaani kila siku, kila games za Arsenal tunaangalia. Tunafurahi tunaposhinda, tunaumia tunapofungwa.
Msijipe umuhimu sana kwa kuwa mpo active humu. You and me, we are just fans tuu mkuu.
Wadau, watoe mawazo tofauti tofauti bila kutishwa.
cc Flano




