Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,790
- 4,284
Hawezi kutoka Chelsea age below 28 ukae benchi arsenal.ARSENAL Droo inatosha Kwa utdKAI HAVERTZ piga kazi baba![]()
Hawezi kutoka Chelsea age below 28 ukae benchi arsenal.ARSENAL Droo inatosha Kwa utdKAI HAVERTZ piga kazi baba![]()
Hawezi kutoka Chelsea age below 28 ukae benchi arsenal.ARSENAL Droo inatosha Kwa utd
Dah tuhesabu tupo 10 uwanjani, huyo jamaa sijui kwanini kocha anaforce kumuanzisha kila mechi.wazee Kai kaanza
sijui itakuwaje leo??
Anataka kuprove haendeshwi na mashabiki Sasa hiyo jeuri ndio Itatucost. Sahivi tuna mabeki 6 pekee ilihali Zinny na Tomi ni wagonjwa muda wote so Kuna wakati tutakua hatuna sub za defence kabisa.Arteta's ego is something else!
Yani last game kwa jinsi Fabio alivyoperform tulitegemea leo anaanza.. dah!
Haya bhana, ila tumefurahi amerudi kwenye mfumo tuliouzoea.
Ni muda wa kuenjoy game sasa!
Takataka kabisa iyooMavi ya Arteta Kai- Rubbish misses a clear chance
SawaKai leo Ana jitahidi hadi sasa. Kukosa goli inatokea tu
Anajitahd kitu gani?Kai leo Ana jitahidi hadi sasa. Kukosa goli inatokea tu