hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,657
Wewe shabiki la unyumbuni una mdomo Sana ,toka jumapili umekimbia mazimaNimefurahi kuona kiungo la boli Kai Havertz linaanza
Wewe shabiki la unyumbuni una mdomo Sana ,toka jumapili umekimbia mazimaNimefurahi kuona kiungo la boli Kai Havertz linaanza
Fans wa Arsenal hatukuwa na tabia ya kuwapa presha wachezaji, tumeiga kwa manjesta na Chelsea, hasa manjesta
Tumewavumilia wachezaji mizigo wengi Sana, had waliposhindikana tukanyoosha mikono
Pepe mwenyewe bado had kesho Kuna fans wa Arsenal wanaamini anastahili kupewa muda au 2nd Chance
Pepe haendani na mfumo wa Arteta wa winger awe anatanua uwanja , Pepe anapenda kucheza mpira wa kauntaKwa Pepe mm ni mmojawapo wa waliokuwa wanamkubali
Arteta awe makini na KaiBaada ya Pepe kwenda uturuki ,wote Sasa wameondokaView attachment 2742874
Mark my word MkoreaArteta awe makini na Kai
Yanaweza kujirudia
Hofu yangu ni ule mshahara anaokunja KaiMark my word Mkorea
Kai ukitoa kutojiamini hasa kukosa magoli , majukumu mengine anatimiza vzr sio Sana na sio vibaya ,
Kwasasa Arsenal Ni family,ngumu mchezaji kuinuka kuchafua Hali ya hewa ,ataondolewa mapema Sana ,Hofu yangu ni ule mshahara anaokunja Kai
At the moment yeye ndio most paid player pale arsenal
Je Hii haitaleta shida katika dressing room?
Unakumbuka Nketiah alivyozinguana na Cebalos kipindi yupo kwetu kwa mkopo?
Afadhali ya Pepe,huyu Kai hatafunga hata Goli Tano,labda kila Penati itakayopatikana awe anapewa yeye,zaidi ya hapo ni Mtumishi hewa,ni AIBU kuwa the highest paid na upuuzi anaofanya Uwanjani,anakula Mshahara wa bure tu,ni mzigo kama furushi la maparachichiPepe amefeli Kwenye mfumo wa Arteta
Nicolas Pepe's 2020/21 season...
️ 16 goals
6 assists
Arsenal Player of the Season: 2nd place
Kwa ushindi ule wa papatu papatu Beki babu Evans mnashangilia? Mkija OT hamtoki😂
Papatupapatu TenaKwa ushindi ule wa papatu papatu Beki babu Evans mnashangilia? Mkija OT hamtoki![]()
Mwanangu asee ,muache Kai unamuandama SanaAfadhali ya Pepe,huyu Kai hatafunga hata Goli Tano,labda kila Penati itakayopatikana awe anapewa yeye,zaidi ya hapo ni Mtumishi hewa,ni AIBU kuwa the highest paid na upuuzi anaofanya Uwanjani,anakula Mshahara wa bure tu,ni mzigo kama furushi la maparachichi

Wanatamba Sana ,nawasubiri Emirates
Afadhali ya Pepe,huyu Kai hatafunga hata Goli Tano,labda kila Penati itakayopatikana awe anapewa yeye,zaidi ya hapo ni Mtumishi hewa,ni AIBU kuwa the highest paid na upuuzi anaofanya Uwanjani,anakula Mshahara wa bure tu,ni mzigo kama furushi la maparachich
Hapo umesema ukweli. Na mimi nakwambia kuwa Kai siyo m bovu ni vile tu bado hajaingia kwenye mfumo. Kwa hyo nakubaliana na wewe kuwa Kai hatakiwi kuanza kabisa kwenye game yoyote ya EPL au UCLHata kama ni role tofauti lakini Kai hajitumi,hebu angalia jinsi Ode anavyohaha Uwanja mzima,lakini Kai hata akiwa na Mpira mashabiki roho juu kwamba atatoa pasi vizuri maana muda wowote ni maboko tu!!!na kumbuka huyo ni mzoefu wa EPL sio mgeni,yule kama kucheza awe anaingia dakika za 75 huko na hapo tuwe na uhakika tunaongoza kwa magoli angalau 2,zaidi ya hapo ni mzigo tu,anawanyonya sana wenzake,kwangu ni MATUMIZI mabaya kumchezesha Kai uwanjani tena dakika 80 wakati nje kuna kina Smith Rowe,Neilson, Viera,Trossad nk