Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huwa wanatutambia Sanaa....ile Pre season ya Marekani iliwadanganya...ww tangu 2017 hujawahi kushinda pale Emirates unapataje jeuri ya kuja kutupigia kelele hmu...bila kumsahau Labyrinth 84...aje naye tudiscuss....maana kama namuona alivyoshangilia goli la Garnacho baada ya jana kumpiga mabango na kile kikundi chake cha Marathon Nyukesto

sina cha kuongea mkuu wewe chekelea ushindi tu ni zamu yako kucheka na kufurahi.

Zamu yetu kucheka na kufurahi humu ikifika tutafanya ivyo nikukumbushe tu ulifurahi siku 258 last season ila zikiwa zimebaki siku 20 kilio kikuu kikakutawala hata mwaka jana ulivyomfunga man utd ukajitangaza bingwa , wenzenu fans wa wakakamatwa wakishangilia ubingwa after man utd game so nothing new.

Ila kumbuka tu anayecheka mwisho ndo mjanja zaidiii . Moments kama hizi ndo zinakuja kuonyesha jinsi gani na hatukosei kuwaita false hopers, ushindi huu ni moja ya matumaini bandia mnayopewa
 
Kama uliliona jambo kwenye mechi mda mwingine Zinny alikuwa ana kosa kujiamin kuingia kwenye mid kutokana na Harvertz kutokujua aji position vipi na mahali gani anatakiwa kuwepo zinny akipanda
Wakati wanatoka mapumziko ya kipindi cha kwanza Zinny alionekana kwenye Tv akimpa Kai maelekezo kuhusu positioning wataalamu wa body language tulielewa.
 
Wakati wanatoka mapumziko ya kipindi cha kwanza Zinny alionekana kwenye Tv akimpa Kai maelekezo kuhusu positioning wataalamu wa body language tulielewa.
Yes,tena Zinny alikuwa anamuelekeza Kai mpaka mishipa ya shingoni imemsimama,means ni kama alikuwa anampa makavu kwamba aache kucheza kimamamama Uwanjani,lakini ndio hivyo Arteta ana mahaba nae kama karogwa sijui limbwata daaah
 
kwa hiyo HARVETZ ndio anafaa kuanza mechi hizi na kucheza dakika 70tusidanganyane humu,Harvetz ni mzigo kama furushi tu
Mtashangaa Harvetz aanza kila game msimu huu.

Jukumu kubwa la Havertz uwanjani ni kuhakikisha Arsenal wanamiliki mpira kule mbele yaani "ball possession" na kuhakikisha timu inashikilia ile momentum ya mchezo.

Kwa kuwa ameanza kwa kupoteza mipira na kusababisha timu kuwa "under counter attack", kinofuatia ni kuangalia makosa yake kwenye video na kuendelea kujifunza hadi kieleweke na huo ndo mtindo wa Arteta.

Arteta kama hapendi wachezaji wasofuata anokitaka ndo yalompata Nicolas Pepe na Rob Holding ambae ameenda Crystal Palace na wengine kama Cedric Suarez ambae amekuwa ni wa akiba tu.

Rob Holding ana tatizo la kugeuka akiwa na mshambuliaji kutokana na mshambuliaji huyo atavyopokea mpira ndani ya eneo la 18 na kusababisha ama penalty au Arsenal kufungwa.
 
Muiteni Flano...Allypipi...kuna Ollachuga waje tudi scuss kiungwana tu.... Rashford kuna pahala tulikosana naye???....mbona tukikutana naye anakaza kiuno sana yule msela...Hojlund striker la boli limetisha....Antony huwa akikutana na arsenal anakuwa kama ana kisasi hivi na sisi...au alitaka tumnunue hlfu tukamkataa...all in all...Man U wamepiga mpira mwingi sana...kiukweli kabisa
Kuupiga mwingi huku mshachomekwa goli 3 haisaidii kitu.
Mimi baada ya kutolewa tu Masebene nikajua tayari muda wa kurowekwa umeshawadia.
Hongereni sana Arsenyau kwa ushindi mnono, hizo dakika za nyongeza inabidi tukae chini tujadiliane kwa pamoja ikibidi mtueleze tu kosa letu ni nini na nyinyi? na kama hayazungumziki basi baada ya kumalizika dakika 90 bora Ten eggs atoe tu wachezaji uwanjani maana sio kwa huo msako mnaotupiga kila baada ya dakika 90 kukamilika.
Ila Kai Havertz aiseeee
Halafu bado Masingeli anamtetea, Arteta angeendelea kukaza shingo akakomaa nae bila kumtoa sasa hivi mngekua mnatukanana humu.
1693768698187.jpg
 
Kuupiga mwingi huku mshachomekwa goli 3 haisaidii kitu.
Mimi baada ya kutolewa tu Masebene nikajua tayari muda wa kurowekwa umeshawadia.
Hongereni sana Arsenyau kwa ushindi mnono, hizo dakika za nyongeza inabidi tukae chini tujadiliane kwa pamoja ikibidi mtueleze tu kosa letu ni nini na nyinyi? na kama hayazungumziki basi baada ya kumalizika dakika 90 bora Ten eggs atoe tu wachezaji uwanjani maana sio kwa huo msako mnaotupiga kila baada ya dakika 90 kukamilika.
Ila Kai Havertz aiseeee
Halafu bado Masingeli anamtetea, Arteta angeendelea kukaza shingo akakomaa nae bila kumtoa sasa hivi mngekua mnatukanana humu. View attachment 2737975
Baba Ubaya huwa hajifunzi kabisa....Antony akitoka huwa kuna kitu mnapoteza...yule jamaa ana ule mpira wa kitukutu wa Latin America🤠🤠🤠....alipotoka tu nikasema tyri mda umefika... Rashford inabidi kocha azungumze naye aache uchoyo vngnevyo hyo hojlund mtamuona kama kopo tu...kuna nafasi alipata baada ampe pasi mapema yy akaleta ujuaji🤠🤠🤠....ila kiukweli kabisa leo mmecheza mpira mkubwa sana Man U....mkicheza vile na Chelsea mnawabonda...sijui kina Nyukesto wte mtawadunda...tupo hapa🤠🤠🤠
 
Wao wamaamini kuwa huwezi kupoteza pesa nyingi kwa kusajili mchezaji ambae hutamtumia ipasavyo.

Lakini wakati huohuo Pep yuko tayari kumuona Kalvin Phillips akikaa bench bila kucheza.
Hahahaha pale naona amekubali kwamba kapuyanga
 
sina cha kuongea mkuu wewe chekelea ushindi tu ni zamu yako kucheka na kufurahi.

Zamu yetu kucheka na kufurahi humu ikifika tutafanya ivyo nikukumbushe tu ulifurahi siku 258 last season ila zikiwa zimebaki siku 20 kilio kikuu kikakutawala hata mwaka jana ulivyomfunga man utd ukajitangaza bingwa , wenzenu fans wa wakakamatwa wakishangilia ubingwa after man utd game so nothing new.

Ila kumbuka tu anayecheka mwisho ndo mjanja zaidiii . Moments kama hizi ndo zinakuja kuonyesha jinsi gani na hatukosei kuwaita false hopers, ushindi huu ni moja ya matumaini bandia mnayopewa
Umeanza kuwa mpiga ramli braza🤠🤠🤠...kwni mna point ngapi mpk Sasa mkuu...narudia tena kukukumbusha...nyny msimu huu mnarudi nafasi zenu za siku zte....saba huko kishuka chini....nyny ni watoto wadogo sana bdo🤠🤠🤠
 
Baba Ubaya huwa hajifunzi kabisa....Antony akitoka huwa kuna kitu mnapoteza...yule jamaa ana ule mpira wa kitukutu wa Latin America....alipotoka tu nikasema tyri mda umefika... Rashford inabidi kocha azungumze naye aache uchoyo vngnevyo hyo hojlund mtamuona kama kopo tu...kuna nafasi alipata baada ampe pasi mapema yy akaleta ujuaji....ila kiukweli kabisa leo mmecheza mpira mkubwa sana Man U....mkicheza vile na Chelsea mnawabonda...sijui kina Nyukesto wte mtawadunda...tupo hapa
Rashidi ni fala sana yule mtu, ana uchoyo na ubinafsi sijapata kuona, yupo tayari apoteze mpira kwa kutaka kulazimisha kufunga kuliko kutoa assist.
Mimi ningekua ni kocha ningempigisha marufuku kufunga hata kama yupo peke yake tu na kipa, na akikaidi kila akifunga anakatwa mshahara, ningempa majukumu ya kutoa assits tu mpaka pale atakapoacha uchoyo wake.
Ila lile goli la Garnacho inaonyesha wazi kabisa leo wote waliokua kwenye chumba cha VAR waliibetia Arsenyo.
 
Kai hapana kwa kweli.
Arteta akubali uhalisia tu, huenda kuna jambo ana amini kai atampa, ni bora awe anamuanzisha kai bench kisha timu ikiwa na matokeo ndio aingize kai, namuona kabisa kai anakosa kujiamini, ana kapresha fulani.

Kwangu jesus ni bora mnoo, yule nketiah, ndio kufa kwa waganga tunapungwa na walevi, unahitaji ubingwa epl nketiah ni bench warmer.
 
Kai ni mzuri kwenye aerial duel na pia ni mnyumbulifu.
Mechi ya leo nimefurahia sana uwepo wa Kai la sivyo habari ingekua nyingine.
Sasa hivi mashabiki wa timu pinzani wanamfurahia Kai kama vile anavyofurahiwa Maguire.
😂🤣🤣 Wakati anaingia maguire sehemu niliyokuwepo mashabiki woote waliokuwa wanaitakia mnaya man u walimshangilia🤣
 
Back
Top Bottom