Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Fundi tunamsahau Sana huyu

Akiingia hanaga show mbovu

Reis Nelson

Hivi Trossard hakucheza Jana

Smith Rowe hakucheza

20230904_073534.jpg
 
Declan Rice vs. Manchester United.

Goals: 1
Passes: 64/73 (88%)
Passes into final third: 13
Aerial duels: 3/3 (100%)
Recoveries: 5
Interceptions: 3
Clearances: 1
Dispossessed: 0

WORLD. FUCKING. CLASS.
20230904_064341.jpg
20230904_064337.jpg
 
Kai hapana kwa kweli.
Arteta akubali uhalisia tu, huenda kuna jambo ana amini kai atampa, ni bora awe anamuanzisha kai bench kisha timu ikiwa na matokeo ndio aingize kai, namuona kabisa kai anakosa kujiamini, ana kapresha fulani.

Kwangu jesus ni bora mnoo, yule nketiah, ndio kufa kwa waganga tunapungwa na walevi, unahitaji ubingwa epl nketiah ni bench warmer.
Kai anahitaji kupewa muda kwa kuanza au bench ,ile nafas ya LCM Ni ngumu Sana ,

Martinelli was struggling this season as he lost the 3 players around him from last season in Zinchenko/Xhaka/Jesus. Zinchenko returns today and Martinelli was back to his best. Shows the importance of chemistry for players, something to remember with regards to Havertz.
 
Fundi tunamsahau Sana huyu

Akiingia hanaga show mbovu

Reis Nelson

Hivi Trossard hakucheza Jana

Smith Rowe hakucheza

View attachment 2738235
Wacheze wapi kocha analazinisha kai acheze.

Ni vema kai akiingia timu haina presha ya matokeo ili acheze bila presha apate kujiamini, nadhani kai mwenyewe tu ana presha ya kuonesha thamani yake.

Kuna kitu pia arteta hajakiona, kai dk za mwanzo anakuwa hovyo, game na fulham nilikuwa namtizama yeye tu, mpaka dk ya 29 alikuwa anaruka ruka tu, kuanzia ya 31 ndio atleast na hata alivyotoka mapumziko alicheza cheza kidogo,hata jana baada ya mapumziko kipindi cha pili atleast aliruka ruka kidogo.
 
Awali ilisemwa amekosea kumpa u captain
Sio kukosea, kuna ile haiba ya ukapteni hana, ila ndio hivyo mwalimu anampenda sababu anaonesha kile mwalimu anataka.

Ukimuangalia rice, partey, saliba hawa watu wana uhaiba wa ucaptain.

So hatusemi kakosea, ila kila mtu alitoa mawazo yake kwa anavyoona.

Mfano salah akivaa C ni tofauti na virgil van dijk
 
Rashidi ni fala sana yule mtu, ana uchoyo na ubinafsi sijapata kuona, yupo tayari apoteze mpira kwa kutaka kulazimisha kufunga kuliko kutoa assist.
Mimi ningekua ni kocha ningempigisha marufuku kufunga hata kama yupo peke yake tu na kipa, na akikaidi kila akifunga anakatwa mshahara, ningempa majukumu ya kutoa assits tu mpaka pale atakapoacha uchoyo wake.
Ila lile goli la Garnacho inaonyesha wazi kabisa leo wote waliokua kwenye chumba cha VAR waliibetia Arsenyo.
Man u bado mnaishi zama za fergie huku sasa tupo zama za VAR technolojia y mstari haiwezi feli ikiwa VAR itachora lbd marefa wapuuzie kuna tofaut kati ya camera angle ambapo macho yetu huona na mstari square wa VAR enzi za fergie kila msimu mnlikuwa mnajiokotea point zaid ya 15 za wizi msipobadilika msimu huu next year mtacheza comference sabb kiuchezaji mnaonyesh nyie ndio timu dhaifu kuliko zote pale big7 kuna timu hata ikifungwa unaon kbx mpira upo sasa nyie mnaishi kwa counter attack mifumo ya kipind cha ujima
 
Kai anahitaji kupewa muda kwa kuanza au bench ,ile nafas ya LCM Ni ngumu Sana ,

Martinelli was struggling this season as he lost the 3 players around him from last season in Zinchenko/Xhaka/Jesus. Zinchenko returns today and Martinelli was back to his best. Shows the importance of chemistry for players, something to remember with regards to Havertz.
Ni kweli anahitaji muda, ni vizuri akitokea benchi kumuondolea hiyo presha.
 
Rasmus alibaki na beki wawili akatoa pasi.

Mtangazaji akasema "Jesus nafasi kama ile angelazimisha kuingia kwenye boks kwa skills na agility yake"

Dk kadhaa mbele Jesus akascore lile goli la wiki. Mtangazaji hakusema hata ile "Exactly what I said earlier"

Now kama mtangazaji anaweza ona gape la unyumbulifu na skills kwa Rasmus kwanini wengine hatuoni? Notice kwamba hata Michail Antonio ukimuacha na mabeki wawili ataforce kuscore na hana skills nyingi au unyumbulifu wa kutisha.

Nafikiri Rasmus angefanya poa timu ambayo ni dominant na siyo kwenye hii game plan inayotaka counter.
Jesus ni mtu na nusu, ni top class player.
Napenda upambanaji wake, ana force kuingia kwenye box, boli limekaa mguuni, mnyumbulifu.. si finisher mzuri saaaana ila kwa hayo mengine kwa strikers waliobaki duniani pengine yeye ni bora zaidi.
 
Nilikua naona Martinelli hamuamini Kai, akipata mpira Kai akitokea Martinelli anatafuta njia kwingine.

Katika games nne za points 12 tumepata 10. Siyo mwanzo mbaya hata kidogo. Kilichopo benchi lione ni kivipi tunaweza secure points nyingi zaidi
Hii ishatokea game na everton kama sikosei song ikafika point akawa hamuamini gervinho kuna mpira wa kumpasia yupo kwenye nafasi anafosi kumpa van persie.
 
Man u bado mnaishi zama za fergie huku sasa tupo zama za VAR technolojia y mstari haiwezi feli ikiwa VAR itachora lbd marefa wapuuzie kuna tofaut kati ya camera angle ambapo macho yetu huona na mstari square wa VAR enzi za fergie kila msimu mnlikuwa mnajiokotea point zaid ya 15 za wizi msipobadilika msimu huu next year mtacheza comference sabb kiuchezaji mnaonyesh nyie ndio timu dhaifu kuliko zote pale big7 kuna timu hata ikifungwa unaon kbx mpira upo sasa nyie mnaishi kwa counter attack mifumo ya kipind cha ujima

Umeongea ukweli ambao mashabiki wa manjesta hawataki kuusikia

kocha katumia £450m timu bado Ina average players wengi ,Kuna Pesa nyingi katapanya kwa average players

Sipati picha Mikel angetumia hiyo hela halafu timu iwe inacheza kifala hivo,

Mikel katumia £450m kuunda timu shindani na yenye squad ya thaman kubwa duniani ,
 
Mashabiki wa manjesta wanasema Jana Saka alikamatwa na dalot
20230904_081408.jpg
 
Back
Top Bottom