Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakati anaingia maguire sehemu niliyokuwepo mashabiki woote waliokuwa wanaitakia mnaya man u walimshangilia
Hata waliokua Emirates walifurahi
IMG_20230903_231148.jpg
 
Meneja ana imani na Harvetz na atakuwa acheza kila mechi ili kufit in katika mfumo wa uchezaji wa Arsenal.
Chelsea walisubiri hili kwa miaka zaidi ya 3!! Havertz is trash Kila mtu anajua Hilo ila sijui Arteta anacholazimisha ni Nini?

Tena tushukuru Tomas kutumia, lazima angeanza kama Full back!! Tungefungwa kwa counter za Man UTD

Ujuaji wa Arteta umetu cost msimu huu tunaikosa ligi kijinga sana.
 
Chelsea walisubiri hili kwa miaka zaidi ya 3!! Havertz is trash Kila mtu anajua Hilo ila sijui Arteta anacholazimisha ni Nini?

Tena tushukuru Tomas kutumia, lazima angeanza kama Full back!! Tungefungwa kwa counter za Man UTD

Ujuaji wa Arteta umetu cost msimu huu tunaikosa ligi kijinga sana.
Arteta sote twafahamu amekuwa akifanya experiments ambazo hazina msingi.

Ni bora Partey yuko bench.
 
Rashidi ni fala sana yule mtu, ana uchoyo na ubinafsi sijapata kuona, yupo tayari apoteze mpira kwa kutaka kulazimisha kufunga kuliko kutoa assist.
Mimi ningekua ni kocha ningempigisha marufuku kufunga hata kama yupo peke yake tu na kipa, na akikaidi kila akifunga anakatwa mshahara, ningempa majukumu ya kutoa assits tu mpaka pale atakapoacha uchoyo wake.
Ila lile goli la Garnacho inaonyesha wazi kabisa leo wote waliokua kwenye chumba cha VAR waliibetia Arsenyo.
Hapo kwny offside mkuu umeteleza....it was clear offside....Malgalhaes alicheza offside trap nzuri sana ukiangalia review...halafu kocha wenu aache ujinga vngnevyo ataipoteza dressing room....mchezaji unamalizana private sio kuja kumchana kwny media kama anavyofanya Baba ubaya
 
Hapo kwny offside mkuu umeteleza....it was clear offside....Malgalhaes alicheza offside trap nzuri sana ukiangalia review...halafu kocha wenu aache ujinga vngnevyo ataipoteza dressing room....mchezaji unamalizana private sio kuja kumchana kwny media kama anavyofanya Baba ubaya
Kwa hilo suala la Sancho kama haya marumbano ni kweli yanaendelea yataleta athari kubwa sana kwenye dressing room.
Binafsi bado sijaamini ni kweli hali imefikia hivyo au ni media tu zimeamua kukuza mambo.
Yote kwa yote mkishachezea kipigo lazima atafutwe mchawi, sidhani kama hii mechi tungeshinda tungeweza kusikia haya malumbano ya Sancho na kocha wake.
 
Umeanza kuwa mpiga ramli braza...kwni mna point ngapi mpk Sasa mkuu...narudia tena kukukumbusha...nyny msimu huu mnarudi nafasi zenu za siku zte....saba huko kishuka chini....nyny ni watoto wadogo sana bdo

Sio ramli ni hali halisi wewe tunakuita false hoper na wenzako wote kutokana na wins kama hizi , kama hapa mlivyo after hii game mna matumaini makubwa sana ila acha ifike may kila moja atasema sababu yake mara phase 2 mara kaumia fulani au kumuangushia na kumfanya rob holding scapegoat.

Sisi tuna alama 3 kaa kwa kutulia utaona may hapa nan anacheka na nan analia., nyinyi kupewa hope ambayo ni false hope hamjaanza leo kuna matukio mengi kama nelson mwaka jana, welbeck 2016 vs Leicester city , man utd last season na mengine mengi .
 
Sio ramli ni hali halisi wewe tunakuita false hoper na wenzako wote kutokana na wins kama hizi , kama hapa mlivyo after hii game mna matumaini makubwa sana ila acha ifike may kila moja atasema sababu yake mara phase 2 mara kaumia fulani au kumuangushia na kumfanya rob holding scapegoat.

Sisi tuna alama 3 kaa kwa kutulia utaona may hapa nan anacheka na nan analia., nyinyi kupewa hope ambayo ni false hope hamjaanza leo kuna matukio mengi kama nelson mwaka jana, welbeck 2016 vs Leicester city , man utd last season na mengine mengi .
Nimekuuliza una point ngapi mpk sasa
 
Rasmus alibaki na beki wawili akatoa pasi.

Mtangazaji akasema "Jesus nafasi kama ile angelazimisha kuingia kwenye boks kwa skills na agility yake"

Dk kadhaa mbele Jesus akascore lile goli la wiki. Mtangazaji hakusema hata ile "Exactly what I said earlier"

Now kama mtangazaji anaweza ona gape la unyumbulifu na skills kwa Rasmus kwanini wengine hatuoni? Notice kwamba hata Michail Antonio ukimuacha na mabeki wawili ataforce kuscore na hana skills nyingi au unyumbulifu wa kutisha.

Nafikiri Rasmus angefanya poa timu ambayo ni dominant na siyo kwenye hii game plan inayotaka counter.
 
Rashidi ni fala sana yule mtu, ana uchoyo na ubinafsi sijapata kuona, yupo tayari apoteze mpira kwa kutaka kulazimisha kufunga kuliko kutoa assist.
Mimi ningekua ni kocha ningempigisha marufuku kufunga hata kama yupo peke yake tu na kipa, na akikaidi kila akifunga anakatwa mshahara, ningempa majukumu ya kutoa assits tu mpaka pale atakapoacha uchoyo wake.
Ila lile goli la Garnacho inaonyesha wazi kabisa leo wote waliokua kwenye chumba cha VAR waliibetia Arsenyo.
Una mchezaji gan zaidi ya Rashford

Niliuliza humu mtaweza kuzuia msako pale Emirates

Mliwaona Fulham wameshikilia bomba mkazani nyie mtaweza
 
Kai ni kiungo wa boli mzuri kwenye aerial duel na pia ni mnyumbulifu.
Mechi ya leo nimefurahia sana uwepo wa Kai la sivyo habari ingekua nyingine.
Sasa hivi mashabiki wa timu pinzani wanamfurahia Kai kama vile anavyofurahiwa Maguire.
Kai kakosa goli Kama Saka alivyokosa

Kai kacheza LCM au double 8 na Ødegaard

Kuna wenzako walisema double 8 ya Øde na Kai haiwezi ku function,but sikuona manjesta mkifurukuta pale katikati ,mliishia kucheza mpira kwa Onana na mabeki wenu na kuvizia kaunta


Mwaka wa pili bado timu inacheza kwa kuvizia kaunta,
 
Back
Top Bottom