Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Oh my Goddddd
Huyu ni mimi janaKesho akiwekwa Kai ushindi utakuja ila utachelewa.
Asipowekwa ni ushindi kwa uhakika zaidi
Nakuheshimu sana mkuuHuyu ni mimi jana

Kweli Mtaalam, akiba ya maneno muhimuArsenal bado sana, tuweke akiba ya maneno;
Tumsubiri Hamis77, mchambuzi nguli, aje kutamba. Jukwaa lake hiliHAMIS77 uache kusifia ujinga,hatuna Timu hapa na MSENGE ni ARTETA wako na Harvetz unaowasifia kila siku humu,hii Arsenal ni KITAYOSA iliyochangamka,ni UHARO kama MAUHARO mengine tu