Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta aache EGO, nadhani kama ana akili kuna kitu atakuwa amejifunza.
Wameingia wenye timu yao na kila kitu kimebadilika.
Mkuu Kai anahitaji game time ,Kama Fabio Vieira, kumbuka last season Fabio Vieira alivyotukanwa humu ,watu walifikia hatua wanasema atolewe loan
 
Nilikua naona Martinelli hamuamini Kai, akipata mpira Kai akitokea Martinelli anatafuta njia kwingine.

Katika games nne za points 12 tumepata 10. Siyo mwanzo mbaya hata kidogo. Kilichopo benchi lione ni kivipi tunaweza secure points nyingi zaidi
 
siongei kinafki.. tumeshinda lkn ni kwa tabu.. ila yote ni kwa sabbu kwenye mfumo w mwanzo.. kai alikuw hana impact.. iyo ipo wazi! kai kucheza mid ni bado.. haelewi awe wap na sa ngap.
Rudin kwny basics.

Kocha akubal tu huyu kijana wake aingie kwny mfumo kdg kdg sio kumweka kuprove watu wrong.

Msipo rudi mfumoni mtakua na on na off nyng sana msimu huu.
 
Musiwe mna comment msubiri mpira uishe ,moment Ni nyingi mkuu

Umemuona Fabio Vieira
Muiteni Flano...Allypipi...kuna Ollachuga waje tudi scuss kiungwana tu🤠🤠🤠.... Rashford kuna pahala tulikosana naye???....mbona tukikutana naye anakaza kiuno sana yule msela🤠🤠...Hojlund striker la boli limetisha....Antony huwa akikutana na arsenal anakuwa kama ana kisasi hivi na sisi...au alitaka tumnunue hlfu tukamkataa🤠🤠🤠...all in all...Man U wamepiga mpira mwingi sana...kiukweli kabisa
 
Back
Top Bottom