mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Kwa uwezo tulionao hatutakiwi kuwa na nidhamu hata kidogoHuta amini macho yako leo
Jifunze kuheshimu na kumheshimu mpinzani wako
Mkuu, mjiandae Sio chini ya chuma 3
Kwa uwezo tulionao hatutakiwi kuwa na nidhamu hata kidogoHuta amini macho yako leo
Jifunze kuheshimu na kumheshimu mpinzani wako
Aaron Arsenal ni huyu huyu jamaa ndiyo maana sometimes anaandika vitu alivyowahi kuniandikia akiwa anatumia id ya Aaron Arsenal.Soma vizuri uliponiquote.
Sijasema ulipinga usajili wa Partey. Nimesema MIMI NILIIITA USAJILI WA PARTEY NI PANIC BUY.
Sasa nielewe hapa. Jesus sijasema hafai nimesema price yake na mshahara ni vikubwa. Tammy ndiye nimesema hafai, yeye na Lewin wote hawafai.
Hii Arsenal inahitaji sajili nne ambazo wewe unaona mbili zinatosha. Nne kwakua tunahitaji ST 2, tunahitaji kiungo na Winger ambao hao wote watahesabiwa kama big signings.kisha wasajiliwe back up.
Ukisema big signings 1 au 2 means utasajili ST (Jesus) kisha huku unasajili mchezaji wa level ya Lokonga kuja kuchukua uzoefu. Itakua same cycle
Si wanasem partey kaumiaNyumbu sioni kosa lake, Ila kwakua mmeamua je mnataka asulubiwe viboko vingapi?View attachment 2737357
Rumors, hakuna official announcementSi wanasem partey kaumia
Na ikijatokea vice versa basi mjiaandae kisaikolojiaKwa uwezo tulionao hatutakiwi kuwa na nidhamu hata kidogo
Mkuu, mjiandae Sio chini ya chuma 3
Hii ni 2020Usajili wa Partey tumekurupuka.
Maoni yangu;
Tukicheza na timu yenye compact defense hua tunastruggle kupeleka mipira mbele hence tunashindwa kuunda chansi za kupata magoli. Zamani wakati Ozil yupo ilikua haitusumbui sana kwakua alikua anaifanya hii kazi.
Kukosa ubunifu ndiyo sababu akatafutwa Aouar. Partey alitakiwa aje kua CMF mwenye role ya kusupport defense. So kwa struggle yetu ndiyo sababu Houssem akawa ni media buzz kuliko Partey as kazi ya Partey ingeweza kufanywa na Xhaka au Elneny, si kwa 100% ila hata 70%.
So tumeburuzana na Lyon, tukigoma kutoa 50M kwaajili ya mtu mwenye miaka 22 na hakuna wa kuifanya kazi yake kisha tumekuja kutoa 50M kwa mtu wa miaka 27/8 na huku wapo wa kuifanya kazi yake.
Huu ujinga wa chelsea na man u tumeuanza lini?
Huu ni usajili wa kijinga, ingekua na maana kama wangekuja wote wawili ila siyo hivi. Hivi ni zima moto.
Ufala.
Akianza Raya leo itapendezaGabriel na ramsdale huwa siwakubali naonaga huwa hawana utulivu kwenye mechi kubwa au zle zenye tension/daby.
Ningekua arteta leo wangekaa benchi .
Game na liver hii mzee, kipindi cha COVID..Watu hata hii picha hawaikumbuki
Akianza Raya leo itapendeza
20 marksNo Partey, No Party.
Discuss
Aaron hana ushabiki ila ya kwake ni 'mahaba' kwa hili chama letu, tumvumilie tu brother tusonge mbeleHii ni 2021 nauliza kwanini Nketiah asigewe nafasi
Kisha anakuja mtu anakulisha maneno
Positional ndo kitu gani ndugu?Position arsenal 80, man United 20
Arsenal 1:2 man united
Sure!!
Ramsdale mechi kama hizi anakosaga utulivu.
Alafu dogo sjui kwa nini hawezi kutoka na cleansheet.
Yaani kuna mda nahisi kama vile anatuhujumu.