mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,707
- 19,564
Ukiachana na majerui yakeHii ni 2020
Baada ya kusema usajili wa Partey ulikua panic buy na kutabiri tutakua hovyo kwenye attacking tukaanza kuchezea bakora nikaja andika hiki kiishu.
Nimesahau tulitoka kupigwa na nani ila ilikua timu ya kawaida.
Unahitaji partey auzwe?
Partey defensive
Odegard attacking
Odegard na H. Auor wote ni attacking. Yani xhaka au elneny ndio wawe defensive mid yetu?
Umesahau nyekundu za xhaka zilikua zinatokea akicheza wapi
Kama utafukua makaburi utakukatana comments za watu ikiwemo na Mimi tulikupinga Sana hili
Kinachotucost partey ni majerui tu
Ambapo msimu uliopita hakukaa Sana nje