Nyumbu Mnaingizwa kingWilliam Saliba on if Rashford is toughest to play against as a striker or when he is out wide: “For me it's better when he is on the left. When it's like this it's for Ben White [to deal with], not for me.”
View attachment 2737407
Ukiachana na majerui yakeHii ni 2020
Baada ya kusema usajili wa Partey ulikua panic buy na kutabiri tutakua hovyo kwenye attacking tukaanza kuchezea bakora nikaja andika hiki kiishu.
Nimesahau tulitoka kupigwa na nani ila ilikua timu ya kawaida.
Wachezaji wa nje hua hawajibu hovyo.William Saliba on if Rashford is toughest to play against as a striker or when he is out wide: “For me it's better when he is on the left. When it's like this it's for Ben White [to deal with], not for me.”
View attachment 2737407
Unaniuliza kwakua nimewahi kusema auzwe au unataka ona nasema nini?Ukiachana na majerui yake
Unahitaji partey auzwe?
Partey defensive
Odegard attacking
Odegard na H. Auor wote ni attacking. Yani xhaka au elneny ndio wawe defensive mid yetu?
Umesahau nyekundu za xhaka zilikua zinatokea akicheza wapi
Kama utafukua makaburi utakukatana comments za watu ikiwemo na Mimi tulikupinga Sana hili
Kinachotucost partey ni majerui tu
Ambapo msimu uliopita hakukaa Sana nje
Kwni tulivyoenda kwao walitufunga au tuliwafunga🤠🤠🤠....manenomaneno meeeengiiii 🤠🤠🤠...ww bdo ni WA kawaida sana mkuu....mna wachezaji machachari sio wazuri....ukitaka kulielewa hlo siku mkikutana na Chelkenge ndo utaelewa....maana itakuwa machachari dhidi ya machachari 🤠🤠đź¤Tumekubali kwa Brighton yameisha hatuna cha kujitetea , tusubiri zamu yenu msimu uliopita mlikula 3 nil so usicheke sana tena pale pale emirates.


ndugu yangu hamis77 usikimbie jukwaa banaa jana tulikua tunatania tu, tunakusubiri utupe mchanganua wa leo jinsi mtakavyompiga nyumbu, tumemiss kusikia kutoka kwako mambo ya pressing na overloading, aerial duel, kuinterchange na kuinvert kiungo. Anajitoa ufahamu....yaani anakimbilia kwny kichaka hawakuwa na hela ukimuuliza kwni sisi tulikuwa nazo kpndi hko....anarukia tena twenti yiaz no ipielo taito...ukimuuliza nyny mna mangapi tangu mpira uanze kuchezwa....anakaa kimya🤠🤠đź¤Nyukesto mna misimu miwili kwenye ligi au Inonga (Mkongo) uliopakiwa jana umekuchanganya mzee![]()
Mtapigwa mpk mchakae🤠🤠đź¤ndugu yangu hamis77 usikimbie jukwaa banaa jana tulikua tunatania tu, tunakusubiri utupe mchanganua wa leo jinsi mtakavyompiga nyumbu, tumemiss kusikia kutoka kwako mambo ya pressing na overloading, aerial duel, kuinterchange na kuinvert kiungo.
Tunatamani kusikia kutoka kwako jinsi Kai leo atakavyokua ananyumbulika.
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
This is 2020Sasa kwani anaetakiwa ajue hatuna wachezaji wenye viwango ni nani?? Hivi si ni yeye ndio alitakiwa ajue hilo halafu atafute hao wachezaji??? Kwahiyo Castr Aliweza kujua tatizo letu ambalo yeye alishindwa kulijua??
Hivi kweli tulishindwa Jana kucheza 4-4-2 halafu mbele tumchezesha auba na laca?? Au ilikuwa tu lazima tumchezeshe willock????
Auba tutaanza kumtukana soon ngojeeni tu.
Kwa kipindi kile defensive ya xhaka na elneny ilishafeliUnaniuliza kwaua nimewahi kusema auzwe au unataka ona nasema nini?
Kwa mwaka ule tulikua hatuna AM.
Ila DMs walikua wawili.
Partey alivyokuja wakawa 3
Na bado hatukua na AM. Naelewa mpango ulikua aje AM na DM
Tukifukua makaburi nitakuta mnapinga na mtakuta nimeandika kwamba Partey atatuimarisha defensively na siyo kwenye kushambulia. Its the reason vipigo vyetu vilikua 1 au 2
Mbona tulishajua juu ya drama la dili la Aouar na kwanini Arsenal tuliachana nalo?Kwa kipindi kile defensive ya xhaka na elneny ilishafeli
Ata wangekuwa defensive wanne dizain hizo, lakini tupihitaji defensive iliyokua Bora
Kuhusu kipindi kile Kumbuka tulikua tunajenga timu, Bora tuanze kuimalisha defensive
Kikawaida ata huku mchangani kwenye kuita timu, huwa tunapanga mabeki viungo wakabaji then washambulia
Kumpata partey, xhaka anachukua majukumu ya #8
Namba 10 ndio akavutwa odegard
Sasa unasemaje panic usajiri wa partey?
Tena ilikua haina Mambo mengi, ni kuweka mzigo kumchukua mchezaji. Mchezo umeisha, ndio maana haukua na rumors nyingi
Alafu dili la H. Aour lilikua na usanii Sana
Unaongea huku unaogopa, leo ni matchday halafu mpaka muda huu Msemaji wa Arsenyo kwa ukanda wa Afrika Mashariki ndugu yangu Mc Masingeli hajaonekana humu jukwaani mpaka muda huu halafu wewe bado tu hujashtuka kua leo kitawaramba?Mtapigwa mpk mchakae![]()
Najaribu kukuelewa kuwa tuliwahitaji woteMbona tulishajua juu ya drama la dili la Aouar na kwanini Arsenal tuliachana nalo?
Panic buy ni usajili unafanywa ili kutuliza mashabiki, yaani haijalishi kulikua na longo longo ama la. Tuliwahitaji wote wawili AM aliwekwa wazi ila DM akawa hatajwi mpaka Arsenal tukaenda kuweka video yenye code kumaanisha anakuja mfaransa na mghana.
Ila akaja mghana peke yake on deadline day
Hebu kumbuka vizuri.Najaribu kukuelewa kuwa tuliwahitaji wote
Partey na H.Aour
Ambao hao ni wawili
Tukaja kumpata partey, ambae unasema ni panic
Then tukamvuta odegard
Kwaio tukawa tuna partey na odegard. Nao ni wawili idadi ile ile
Badala ya Aour akaja ni Odegard
Sasa shida ilikua wapi hapo?
Nakubaliana na wewe kwenye hili na players wengi wa Africa sio wa kweli kwenye mambo ya umri unaweza kuta Partey ana 36-38 but kwenye football anasema umri wake 29 kama Essien kipindi kile tatizo kubwa sana hiliPartey Kuna tetes Ni injury
Arsenal wameficha ,Ghana wameropoka
Arsenal walikuwa wanataka wamuuze Saudi maana dirisha lipo wazi ,Ghana kwa uropokaji wao wameharibu
Jamaa kaumia inasemekana nje miezi 3-4
Kuna Muda Arteta na Edu walikuwa sahihi kabisa kutaka kumuuza Partey, Leo nakiri wazi kabisa
Jamaa anapata sana injury sijui kwanini yani
Ni muda Sasa wa Fundi Jorginho na Rice
ParteyHebu kumbuka vizuri.
Partey na Odegaard nani alianza?
Halafu Odegaard alivyofika alianziwa wapi?
Hii haiwezi kua mechi ya kwanza mzee.
Nakupa kazi Sasa nitafutie kikosi kana hivyo mechi ya odegard iwe ligi au EuropaHii haiwezi kua mechi ya kwanza mzee.
Odegaard alikua na tatizo la kusita kushuti. Sidhani kama kipindi ana hili tatizo klaa mechi za kwanza awe na hiyo rating