Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Nimetumia huo mfano ili aelewe ninachomaanisha.Lugha gani tena hizi wazee
tumia lugha ya mpira .....
Nimetumia huo mfano ili aelewe ninachomaanisha.Lugha gani tena hizi wazee
tumia lugha ya mpira .....
Labyrinth 84 team yako niaje?ndio one season wonder au
Mwite kwa sauti mkuu
Hyu huwa anakaza shingo hmu ndani kutetea kigenge chake kama Wana maana vile....Almiron na Gordon wakupe ubingwa kwli??...nilimwambia ile timu wanachojua ni kukimbiakimbia tu....leo wamekutana na mwanamahesabu wametupa taulo
Ndiyo nakuambia huwezi kunielewa. We fanya maisha mengineTatizo kila kitu kinachozungumzwa mnafata mkumbo
Well jitahidi uwe hauoni ukungu ukiwa unaongelea mpira mzee.Ndio mimi mkuu. Ni bora vichapo vya mwanzo kuliko kuwa false hoper . Newcastle tuna chance ya kufanya vizuriii zaidi ni msimu wetu wa pili tu huu na si miaka 20 kama yenu 0 epl
Nyukesto mna misimu miwili kwenye ligi au Inonga (Mkongo) uliopakiwa jana umekuchanganya mzeeNdio mimi mkuu. Ni bora vichapo vya mwanzo kuliko kuwa false hoper . Newcastle tuna chance ya kufanya vizuriii zaidi ni msimu wetu wa pili tu huu na si miaka 20 kama yenu 0 epl


yuko wapi huyu mwambaAaron Arsenal
nilimuuliza baada ya kudhani ivyo lakini alikataa
Yupo ila kwa ID nyingineyuko wapi huyu mwamba
Msijisumbue mnae hapa kila siku na New ID.yuko wapi huyu mwamba
Huta amini macho yako leoNyumbu sioni kosa lake, Ila kwakua mmeamua je mnataka asulubiwe viboko vingapi?View attachment 2737357
Hii ni 2021 nauliza kwanini Nketiah asigewe nafasiAbraham aje Arsenal?
Kama uko tayari kumpa nafasi Abraham kwanini usiwape nafasi Nketiah na Balogun?