arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,357
- 4,402
Ongea vya mwsho mwsho...kesho ukishinda niulizwe mm...Hamna timu...mna kikundi cha wakimbiajiKuumia kwa Chapartey sijapenda kwa kweli, kipigo cha kesho mtakua mmepata tayari sababu ya kujitetea, msimu ulioisha baada ya kuwagonga 3-1 mlisingizia kutokuwepo kwa chapartey ndio sababu ya kufungwa.
Kabla ya ligi kuanza mlikua mnajitapa humu kua msimu huu mna kikosi kipana hivyo tunategemea kipigo chenu kesho hamtasingizia kuumia kwa Partey. View attachment 2737013