Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Unakuta amekomaa kutaja majina ya wachezaj wake Average utazani ndo galacticos wa enzi zile za kina Beckham,Zidane,Carlos,Ronaldo wale tuliowambwaga Shanga UEFA kwa bao la TH14, ndo kina willson, almiron haoHyu huwa anakaza shingo hmu ndani kutetea kigenge chake kama Wana maana vile....Almiron na Gordon wakupe ubingwa kwli??...nilimwambia ile timu wanachojua ni kukimbiakimbia tu....leo wamekutana na mwanamahesabu wametupa taulo






