Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbona una hasira , kutokuwepo humu mara kadhaa na sababu zangu binafsi ,ila hainuzuii kurud na kusoma comment

Ww ulikuwa kinara na umekuwa kinara wa kupinga sajiri na zinakuumbua , ulikomaa humu aletwe onana ,

Halafu ceballos sio usajiri wa Arteta kamkuta ni mkopo na alimtudisha Madrid, Partey ndio usajiri wake kabisa na tunaona Matokeo yake

Huyo Aouar uliyetaka Aje walimuacha

Tufike mahala tuheshimu taaluma za watu

Ceballos hajawahi kuletwa na Arteta ,

Arteta na Edu toka last season Tammy yupo kwenye list yao , wewe unamkataa kama Nani? Ume anilize vitu gan tofaut na wao

Gabriel Jesus unamkataa , Kocha anamuhitaji, njoo na fact ume anilize vitu gani tofaut na Kocha
Actually nimekunja kweli. Unaandika maneno ya kimiyeyusho sana wewe unaniuliza mimi namkataa Tammy kama nani?

Hii si komedi unaniletea?

Aouar hakuja. Lakini Arsenal ilikua confident kumleta kiasi mpaka video ilitengenezwa. Pesa iliyotakiwa ikasababisha aachwe na panic buy ikatua kwa Partey. Ceballos hakua usajili wa Arteta ni kweli lakini Arteta aliamini anaweza milk something outta Ceballos akakuta jamaa hana kitu.

Na amerudi Madrid kwakua alisema anataka ahakikishiwe game time la sivyo akapambanie namba Madrid.

Onana hajasajiliwa siyo kwakua Ramsdale ni bora kuliko Onana ila ni kwakua Arteta alisema anataka kipa awe home grown player. Hicho kipengele ruled out Mat Ryan na Onana na siyo quality, this means hata Emi angekupo angepigwa chini vile vile.

Itakua mara ya kwanza kuambiwa kwamba huyy mtu tunamuangalia since wayback? Kwani umeanza leo kufuatilia usajili?
 
Sasa mtu anakutajia Tammy Abraham kweli?

Castr inaonesha ungekuwa Mshabiki wa Liverpool halafu ukasikia Timu inamtaka Robertson, Thiago, Diaz na Salah basi ungehama Timu.

  • Ungesema Robertson ni Mchezaji aliyeishusha Daraja Hull City.
  • Ungesema Thiago tumenunua Mgonjwa aliyezeeka.
  • Ungesema Luis Diaz hajawahi kucheza Timu kubwa yoyote wala Hana Stats.
  • Ungesema Salah ni Flop wa Chelsea.
 
Acha hasira , Wala hakuna sehemu nimeleta maneno ya jikoni

Nimekukumbusha tu umekuwa kinara wakuwa na sajiri zako tofaut na Kocha ,

Fika mahali kubaliana na Kocha anpoenda tofaut na sajiri za kichwan mwako ,simple

Kocha ana structure yake anajua fulan atafit ,sio majina ilimrad tu
Aaron ninachokuambia ni kwamba wakati tunatetea hizo sajili za Arteta wewe hukuwepo ulikua umejificha unaona aibu.

Mimi ni kinara wa kupinga sajili? Ndiyo na ya kwanza ilikua ya Partey na hilo dirisha ndiyo likafanya ukimbie humu. Leo unaandika kama vile Arteta hajawahi kumess up.

Hivi kuna shabiki anasema timu yangu inamsajili Mayele? Si anasikia timu yake imehusishwa na mchezaji fulani ndiyo anatoa maoni? Sasa mimi natoa wapi sajili za kichwani mwangu?
 
Hii ni bei imetajwa kwenye fununu. Bado hatujapewa gharama rasmi katika fununu nilizoziona mimi imetajwa 50M na mshahara wa 6M kwa mwaka.

Kwa sasa analipwa 3.5M so tunamzidishia 2.5M mchezaji ambaye alipotoka amekua second choice. Na ilitakiwa uletwe mbadala wake for seasons
First choice kwenye position ya Jesus ni nani?
 
Castr inaonesha ungekuwa Mshabiki wa Liverpool halafu ukasikia Timu inamtaka Robertson, Thiago, Diaz na Salah basi ungehama Timu.

  • Ungesema Robertson ni Mchezaji aliyeishusha Daraja Hull City.
  • Ungesema Thiago tumenunua Mgonjwa aliyezeeka.
  • Ungesema Luis Diaz hajawahi kucheza Timu kubwa yoyote wala Hana Stats.
  • Ungesema Salah ni Flop wa Chelsea.
Hapa ndipo mimi natofautiana na wengi inapokuja ishu ya usajili.

Mimi hua siangalii stats.

Hua naangalia mchezaji anaweza kufanya ambacho timu inataka kufanya? Mfano kuhusu Thiago nikiwa kwenye uzi wenu nilisema kwamba Klopp anatumia kiungo kama support ya defense ndiyo maana Gini hascore Liva kuliko akiwa national.

Na kwa nature ya Thiago basi liva imempata mtu anayeendana na mfumo. Hiyo niliandika kwenye uzi wenu.

Diaz hajacheza timu kubwa lakini ana traits zote za kudeliver, skills, pace, finishing, positioning so hata isingenisumbua. Na mostly mimi hua naongelea traits za mchezaji naongelea takwimu mara chache sana.

Kwa mtindo huu huu ndiyo nikasema Lewin hafai Arsenal. Na kwa mtindo huu huu bado naamini Pepe anaweza kubadilika coz ana traits zote za kumfanya bora.

Hao wote uliotaja nisingeangalia walipopita ningeangalia mambo mengine kabisa ambayo nikiyaangalia nikisema ndiyo anatokea mtu anakuuliza swali la jikoni.
 
Aaron ninachokuambia ni kwamba wakati tunatetea hizo sajili za Arteta wewe hukuwepo ulikua umejificha unaona aibu.

Mimi ni kinara wa kupinga sajili? Ndiyo na ya kwanza ilikua ya Partey na hilo dirisha ndiyo likafanya ukimbie humu. Leo unaandika kama vile Arteta hajawahi kumess up.

Hivi kuna shabiki anasema timu yangu inamsajili Mayele? Si anasikia timu yake imehusishwa na mchezaji fulani ndiyo anatoa maoni? Sasa mimi natoa wapi sajili za kichwani mwangu?
Mm sijawahi kukimbia humu ,nipo nadhan kabla yako, unasema nilipinga usajiri wa Partey nikaona aibu?

Utakuwa unanifanaisha, mm nimekuona mara kadhaa ukipinga sajiri za Ramsadale ukimtaka onana, nikitulia naweza kukuletea hata screenshot zako

Ninachokwambia jifunze kukubaliana , leo umeanza kubeza usajiri wa Jesus ,

Edu kasema watasajiri wachezaji wawili umekimbilia ni hao hao , nimekupa ushahidi hizo ni big signing wakimaanisha ni zile za kutumia pesa kubwa , unasema tusimuamini edu ,

Upo serious kweli dirisha hili Arsenal haitasajiri zaid ya wawili?
 
kwenye sajili kuna kupatia na kukosea ,vzuri tunap onglea wachezaji tusi anglie names bali tuitizame zaid profile y mchezaji ,namna gn anav cheza na je itaendna na namna arteta anaeza mtumia kwnye structure y timu yake!

kocha nd anaejua nin anataka ,tuhifadh manen ,kama n hukumu aje kuipata baadae kw sajil atazofanya.
 
Hapo ndipo mnapokosea , Jesus hayupo kwenye kapu moja na Nunez,

Vyanzo karibu vyote vya kuaminika vinasema Arteta anataka washambuliaji wawili

Na hata kwa common sense anaondoka Laca ,Nketiah , auba

Sasa Jesus huyu ni mshambualiaj anayecheza nafas zote za mbele , hivo Kuna mwingine anahitajika ambaye ni CF , ndio hao kina Tammy, Nunez,Osmhen wanatajwa
 
Hapa ndipo mimi natofautiana na wengi inapokuja ishu ya usajili.

Mimi hua siangalii stats.

Hua naangalia mchezaji anaweza kufanya ambacho timu inataka kufanya? Mfano kuhusu Thiago nikiwa kwenye uzi wenu nilisema kwamba Klopp anatumia kiungo kama support ya defense ndiyo maana Gini hascore Liva kuliko akiwa national.

Na kwa nature ya Thiago basi liva imempata mtu anayeendana na mfumo. Hiyo niliandika kwenye uzi wenu.

Diaz hajacheza timu kubwa lakini ana traits zote za kudeliver, skills, pace, finishing, positioning so hata isingenisumbua. Na mostly mimi hua naongelea traits za mchezaji naongelea takwimu mara chache sana.

Kwa mtindo huu huu ndiyo nikasema Lewin hafai Arsenal. Na kwa mtindo huu huu bado naamini Pepe anaweza kubadilika coz ana traits zote za kumfanya bora.

Hao wote uliotaja nisingeangalia walipopita ningeangalia mambo mengine kabisa ambayo nikiyaangalia nikisema ndiyo anatokea mtu anakuuliza swali la jikoni.

Ngoja niendelee kusoma post zako kwasasa nashindwa kujua kama upo sahihi au wrong kwasababu sijawahi kufuatilia post zako before.
 
Mm sijawahi kukimbia humu ,nipo nadhan kabla yako, unasema nilipinga usajiri wa Partey nikaona aibu?

Utakuwa unanifanaisha, mm nimekuona mara kadhaa ukipinga sajiri za Ramsadale ukimtaka onana, nikitulia naweza kukuletea hata screenshot zako

Ninachokwambia jifunze kukubaliana , leo umeanza kubeza usajiri wa Jesus ,

Edu kasema watasajiri wachezaji wawili umekimbilia ni hao hao , nimekupa ushahidi hizo ni big signing wakimaanisha ni zile za kutumia pesa kubwa , unasema tusimuamini edu ,

Upo serious kweli dirisha hili Arsenal haitasajiri zaid ya wawili?
Soma vizuri uliponiquote.

Sijasema ulipinga usajili wa Partey. Nimesema MIMI NILIIITA USAJILI WA PARTEY NI PANIC BUY.

Sasa nielewe hapa. Jesus sijasema hafai nimesema price yake na mshahara ni vikubwa. Tammy ndiye nimesema hafai, yeye na Lewin wote hawafai.

Hii Arsenal inahitaji sajili nne ambazo wewe unaona mbili zinatosha. Nne kwakua tunahitaji ST 2, tunahitaji kiungo na Winger ambao hao wote watahesabiwa kama big signings.kisha wasajiliwe back up.

Ukisema big signings 1 au 2 means utasajili ST (Jesus) kisha huku unasajili mchezaji wa level ya Lokonga kuja kuchukua uzoefu. Itakua same cycle
 
kwenye sajili kuna kupatia na kukosea ,vzuri tunap onglea wachezaji tusi anglie names bali tuitizame zaid profile y mchezaji ,namna gn anav cheza na je itaendna na namna arteta anaeza mtumia kwnye structure y timu yake!

kocha nd anaejua nin anataka ,tuhifadh manen ,kama n hukumu aje kuipata baadae kw sajil atazofanya.
Kocha wa Man u amekuwa Kila siku akiwatolea mfano Liverpool na city , hawasajiri majina ila wanasajiri wachezaji wanaoingia kwenye proper structure,

Haya mambo ndio yanaicost man u sehemu kubwa ,

Pia yanaicost Arsenal kwenye sajiri kama za kina Pepe , anasajiriwa mchezaji kwa jina na sio kufit kwenye mipango ya mwalimu

Arsenal walipogundua wamekosea , arteta akapewa umeneja , awe na final say kwenye sajiri zake ,ndio hao kina Ramsadale,tomi, Ben white , Odegaard ,partey,

Pepe ana struggle Arsenal sio kwamba mchezaj mbaya ,ila ni mchezaji sio sahihi kwenye structure ya timu , imepelekea kukosa muendelezo,
 
Sijasema ulipinga usajili wa Partey. Nimesema MIMI NILIIITA USAJILI WA PARTEY NI PANIC BUY.
Usajiri wa Partey haujawahi kuwa panic buy , never

Alianza kutakiwa mwanzo kabisa, arsenal wakasubiri tu mwisho wa trigger Release clause ,

The Athletic ni tier 1 wanasema ,Arteta alichora blueprint yake akaipeleka kwa uongoz , ikiwa na jina la Partey wakati amefika tu ,
 
Hapo ndipo mnapokosea , Jesus hayupo kwenye kapu moja na Nunez,

Vyanzo karibu vyote vya kuaminika vinasema Arteta anataka washambuliaji wawili

Na hata kwa common sense anaondoka Laca ,Nketiah , auba

Sasa Jesus huyu ni mshambualiaj anayecheza nafas zote za mbele , hivo Kuna mwingine anahitajika ambaye ni CF , ndio hao kina Tammy, Nunez,Osmhen wanatajwa
Osimhen kasajiliwa na Napoli kwa 80M nafikiri na hajawa na msimu mzuri sana amekua anapata red za hapa na pale na hajawa alivyotarajiwa.

Osimhen ni Laca kijana. So with time atakua mzuri kama napoli itamuachia.

Jesus amequotiwa akisema anachukia kuchezeshwa pembeni na Arsenal pembeni kuna watu tayari hivyo akija ni kuvaa viatu vya ST.

Hawa ma CF unaowataja nani atakuja kukaa benchi?
 
Usajiri wa Partey haujawahi kuwa panic buy , never

Alianza kutakiwa mwanzo kabisa, arsenal wakasubiri tu mwisho wa trigger Release clause ,

The Athletic ni tier 1 wanasema ,Arteta alichora blueprint yake akaipeleka kwa uongoz , ikiwa na jina la Partey wakati amefika tu ,
Nimeandika ambacho niliandika siku Partey anasajiliwa. Niliandika na wengi mkaniambia nitulie wewe ukiwemo.

Tunaangalia mpira kwa angle tofauti. Zoea kukuta vitu hujawahi kuwazia au vilivyo kinyume na mtazamo wako.

Halafu acha kujibu vipande vinavyostroke ego yako. Nimekuambia kwamba Arsenal inahitaji big signings nne, siyo mbili au moja kama unavyokubaliana na Edu.
 
Hii Arsenal inahitaji sajili nne ambazo wewe unaona mbili zinatosha. Nne kwakua tunahitaji ST 2, tunahitaji kiungo na Winger ambao hao wote watahesabiwa kama big signings.kisha wasajiliwe back up.
Hakuna sehemu nimesema sajiri mbili zinatosha ,

Arsenal inahitaji sajiri nne had 6 ,

Alichosema Edu kwamba msimu huu walitumia £150m kubalance kikos , msimu huu wapo tayari kutumia helakubwa kwa signing 1 or 2

Arsenal technical director Edu has confirmed that he is 'excited' for the club's plans in the summer transfer window. The Gunners spent £150million on six new signings last summer as they became Europe's biggest spenders.

football.london understands that Manchester City forward Gabriel Jesus and Roma frontman Tammy Abraham are among the shortlisted profiles who could arrive at Emirates Stadium this summer. Jesus in particular remains open to leaving the current Premier League champions, with his representative holding talks with Edu throughout the past few months.


Former Chelsea forward Abraham has scored 15 goals in Italy this season and was previously the subject of enquiries from Arsenal in January. It's expected that the Gunners will focus on bringing in two marquee names this summer, although football.london understands that Edu has not ruled out bringing additional players in.




"The budget we used last summer, we prefer to use it to rebalance the squad, there was no point in hiring one or two players [in January], the squad was not prepared to absorb two players, we needed to rebalance the squad," Edu told ESPN Brasil. "Maybe next season we can go to one or two players.

"Today we find a much more balanced squad. Our planning has already been done, it has already reached the owners.
 
Nimeandika ambacho niliandika siku Partey anasajiliwa. Niliandika na wengi mkaniambia nitulie wewe ukiwemo.

Tunaangalia mpira kwa angle tofauti. Zoea kukuta vitu hujawahi kuwazia au vilivyo kinyume na mtazamo wako.
Kwahiyo partey ni usajiri wa ovyo?au hajafit kwenye mfumo wa mwalimu ? Au hoja ni ipi
 
Hakuna sehemu nimesema sajiri mbili zinatosha ,

Arsenal inahitaji sajiri nne had 6 ,

Alichosema Edu kwamba msimu huu walitumia £150m kubalance kikos , msimu huu wapo tayari kutumia helakubwa kwa signing 1 or 2

Arsenal technical director Edu has confirmed that he is 'excited' for the club's plans in the summer transfer window. The Gunners spent £150million on six new signings last summer as they became Europe's biggest spenders.

football.london understands that Manchester City forward Gabriel Jesus and Roma frontman Tammy Abraham are among the shortlisted profiles who could arrive at Emirates Stadium this summer. Jesus in particular remains open to leaving the current Premier League champions, with his representative holding talks with Edu throughout the past few months.


Former Chelsea forward Abraham has scored 15 goals in Italy this season and was previously the subject of enquiries from Arsenal in January. It's expected that the Gunners will focus on bringing in two marquee names this summer, although football.london understands that Edu has not ruled out bringing additional players in.




"The budget we used last summer, we prefer to use it to rebalance the squad, there was no point in hiring one or two players [in January], the squad was not prepared to absorb two players, we needed to rebalance the squad," Edu told ESPN Brasil. "Maybe next season we can go to one or two players.

"Today we find a much more balanced squad. Our planning has already been done, it has already reached the owners.
Sasa kama unakubaliana na mimi kwamba sajili 1 au 2 hazitoshi mbona tena unashangaa ninaposema tunahitaji zaidi? Na unadai nimuamini kocha kwa huo usajili mmoja atakaofanya?
 
Osimhen kasajiliwa na Napoli kwa 80M nafikiri na hajawa na msimu mzuri sana amekua anapata red za hapa na pale na hajawa alivyotarajiwa.

Osimhen ni Laca kijana. So with time atakua mzuri kama napoli itamuachia.

Jesus amequotiwa akisema anachukia kuchezeshwa pembeni na Arsenal pembeni kuna watu tayari hivyo akija ni kuvaa viatu vya ST.

Hawa ma CF unaowataja nani atakuja kukaa benchi?
Huyu jamaa binafs simkubali ,japo yupo naona kwenye list ya wanaotajwa

Kuhusu red card sio kweli, huyu jamaa ana Red card moja tu nadhan ndan ya misimu miwili
 
Kwahiyo partey ni usajiri wa ovyo?au hajafit kwenye mfumo wa mwalimu ? Au hoja ni ipi
Hoja ipi vipi?

Tulihitaji AM akaja DM.

Nikaita usajili wa DM ni panic buy na utatusumbua kupata magoli ila atatusaidia ulinzi.

Na ikawa hivyo.

Hapo unataka hoja gani?
 
Back
Top Bottom