Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee kuhusu ozil kunatatizo gan kweny mazoez anaudhuria ila haonekan kwenye game nin shida
 
Usajili wa Partey tumekurupuka.

Maoni yangu;

Tukicheza na timu yenye compact defense hua tunastruggle kupeleka mipira mbele hence tunashindwa kuunda chansi za kupata magoli. Zamani wakati Ozil yupo ilikua haitusumbui sana kwakua alikua anaifanya hii kazi.

Kukosa ubunifu ndiyo sababu akatafutwa Aouar. Partey alitakiwa aje kua CMF mwenye role ya kusupport defense. So kwa struggle yetu ndiyo sababu Houssem akawa ni media buzz kuliko Partey as kazi ya Partey ingeweza kufanywa na Xhaka au Elneny, si kwa 100% ila hata 70%.

So tumeburuzana na Lyon, tukigoma kutoa 50M kwaajili ya mtu mwenye miaka 22 na hakuna wa kuifanya kazi yake kisha tumekuja kutoa 50M kwa mtu wa miaka 27/8 na huku wapo wa kuifanya kazi yake.

Huu ujinga wa chelsea na man u tumeuanza lini?

Huu ni usajili wa kijinga, ingekua na maana kama wangekuja wote wawili ila siyo hivi. Hivi ni zima moto.

Ufala.
 
Usajili wa Partey tumekurupuka.

Maoni yangu;

Tukicheza na timu yenye compact defense hua tunastruggle kupeleka mipira mbele hence tunashindwa kuunda chansi za kupata magoli. Zamani wakati Ozil yupo ilikua haitusumbui sana kwakua alikua anaifanya hii kazi.

Kukosa ubunifu ndiyo sababu akatafutwa Aouar. Partey alitakiwa aje kua CMF mwenye role ya kusupport defense. So kwa struggle yetu ndiyo sababu Houssem akawa ni media buzz kuliko Partey as kazi ya Partey ingeweza kufanywa na Xhaka au Elneny, si kwa 100% ila hata 70%.

So tumeburuzana na Lyon, tukigoma kutoa 50M kwaajili ya mtu mwenye miaka 22 na hakuna wa kuifanya kazi yake kisha tumekuja kutoa 50M kwa mtu wa miaka 27/8 na huku wapo wa kuifanya kazi yake.

Huu ujinga wa chelsea na man u tumeuanza lini?

Huu ni usajili wa kijinga, ingekua na maana kama wangekuja wote wawili ila siyo hivi. Hivi ni zima moto.

Ufala.
Kaka hapa umemkosea heshima partey omba radhi Arsenal miaka zaidi ya 10 haijawah kuwa na kiungo Mkabaji shupavu mpambanaji jasiri mpiga pasi leo unasema ni usajli wa Kijinga?Partey atamfanya Xhaka and ceballos warelax wasiwe na presha kabisa kwa hili hapana nakukatalia
 
Usajili wa Partey tumekurupuka.

Maoni yangu;

Tukicheza na timu yenye compact defense hua tunastruggle kupeleka mipira mbele hence tunashindwa kuunda chansi za kupata magoli. Zamani wakati Ozil yupo ilikua haitusumbui sana kwakua alikua anaifanya hii kazi.

Kukosa ubunifu ndiyo sababu akatafutwa Aouar. Partey alitakiwa aje kua CMF mwenye role ya kusupport defense. So kwa struggle yetu ndiyo sababu Houssem akawa ni media buzz kuliko Partey as kazi ya Partey ingeweza kufanywa na Xhaka au Elneny, si kwa 100% ila hata 70%.

So tumeburuzana na Lyon, tukigoma kutoa 50M kwaajili ya mtu mwenye miaka 22 na hakuna wa kuifanya kazi yake kisha tumekuja kutoa 50M kwa mtu wa miaka 27/8 na huku wapo wa kuifanya kazi yake.

Huu ujinga wa chelsea na man u tumeuanza lini?

Huu ni usajili wa kijinga, ingekua na maana kama wangekuja wote wawili ila siyo hivi. Hivi ni zima moto.

Ufala.
Mwanangu umelewa nini Leo ?

OK mm sina la kusema
 
Redundancy ilipopita , Huyu Katuni wetu aliachwa ,maana kulikuwa na Uwezekano wa mashabiki Kurudi mech na Sheffield

, Walimuachia wakijua Mashabiki watarud kuanzia game na Sheffield ilitangazwa hivo, sasa FA wamebana bado,

Sasa Huyu katuni hakuna mashabiki na mshahara anakula ,na haijulikan mashabiki watarud lini

Wameona wakipige redundancy kwanza


Ila mashabiki wakirud watamrudisha



Arsenal mascot Gunnersaurus a feature of #AFC since 1993. But the man inside the outfit since day 1, Jerry Quy, has left as part of the club’s streamlining process. They insist will return when fans back. Jurassic scoop by @gunnerblog for

@TheAthleticUK Ornstein: Partey and Sancho deals look unlikely, Spurs trial 30-second COVID test
IMG_20201005_103212.jpg
IMG_20201005_103223.jpg
 
Ndio maana hukauki huku jukwaa la Arsenal ,ndio umehamia manake wewe umesema timu sio kabila wala ukoo karibu.

nimekuja kuwatafuta wenye mapenzi na darajani nimewakuta wengi ila wanajificha atleast wewe unaonyesha ujasiri.

Twende mkuu
 
computerarsenal kuna shabiki wa Chelsea nilimpa maoni hayo niliyoandika akajibu ulichojibu wewe hiko cha kuwarahisishia Ceballos na Xhaka maisha, stori kadhaa mbele nikagundua anachoniambia kakisoma insta kwa mchambuzi mmoja hivi wa Tanzania.

So nachelea kuamini hata wewe umemsoma huyo mchambuzi.

Xhaka ni DMF, Elneny ni DMF na Partey ni DMF. Da fuq are we doing?

Now mimi nilikua wa kwanza kusema Elneny ni mchezaji mzuri watu wakanipinga humu ila tulipofikia tumejionea. Na hili nalisema juu ya Partey, hatooffer ambacho Arsenal tulikikosa, creativity.

Kuwarahisishia Xhaka na Ceballos be damned this is absurd.

Aaron Arsenal sijalewa. Prove me wrong.
 
computerarsenal kuna shabiki wa Chelsea nilimpa maoni hayo niliyoandika akajibu ulichojibu wewe hiko cha kuwarahisishia Ceballos na Xhaka maisha, stori kadhaa mbele nikagundua anachoniambia kakisoma insta kwa mchambuzi mmoja hivi wa Tanzania.

So nachelea kuamini hata wewe umemsoma huyo mchambuzi.

Xhaka ni DMF, Elneny ni DMF na Partey ni DMF. Da fuq are we doing?

Now mimi nilikua wa kwanza kusema Elneny ni mchezaji mzuri watu wakanipinga humu ila tulipofikia tumejionea. Na hili nalisema juu ya Partey, hatooffer ambacho Arsenal tulikikosa, creativity.

Kuwarahisishia Xhaka na Ceballos be damned this is absurd.

Aaron Arsenal sijalewa. Prove me wrong.
Sina la kusema ,nitaongea kesho, am tired
 
computerarsenal kuna shabiki wa Chelsea nilimpa maoni hayo niliyoandika akajibu ulichojibu wewe hiko cha kuwarahisishia Ceballos na Xhaka maisha, stori kadhaa mbele nikagundua anachoniambia kakisoma insta kwa mchambuzi mmoja hivi wa Tanzania.

So nachelea kuamini hata wewe umemsoma huyo mchambuzi.

Xhaka ni DMF, Elneny ni DMF na Partey ni DMF. Da fuq are we doing?

Now mimi nilikua wa kwanza kusema Elneny ni mchezaji mzuri watu wakanipinga humu ila tulipofikia tumejionea. Na hili nalisema juu ya Partey, hatooffer ambacho Arsenal tulikikosa, creativity.

Kuwarahisishia Xhaka na Ceballos be damned this is absurd.

Aaron Arsenal sijalewa. Prove me wrong.
Xhaka sio DM hata siku moja hayo majukumu yamemkuta Arsenal baada ya injury crisis ya Coquelin na Cazorla but mainly Coquelin! Wenger akaanza mtumia kama mkabaji.

Xhaka ni natural CMF na 90 Altena AMF utaweza kuona akiwa Borussia Mönchengladbach akicheza nusu nusu as CM na AM, kutoka maktaba yangu inaonekana aliwahi wasumbua sana Chelsea akishirikiana na Thorgan Hazard yeye akiwa AM.

Back to Suisse Team utaweza kuona Xhaka akicheza as CM na different occasions as AM nyuma yake akiwepo jini mnyonya damu Behrami anayesimama kama DM, kutoka maktaba Xhaka amewahi wasumbua sana France hasa Pogba kupelekea kuchaniwa jezi mbili na jezi ya tatu kutatuka sehemu ndogo. Same amewasumbua Germany na Brasil waliosheheni wachezaji hakika.

Ujio wa Partey if it's real! Xhaka tutazidi kumuelewa maana atakuwa free kuonesha majaliwa na hapa Arteta aki-compile Partey lower na Xhaka x Paella frontier basi ni msimu mzuri wa Lacazatte na muendelezo wa Aubameyang!.

Xhaka huwa simlaumu maana namfahamu deep katika uchezaji anatumikia jukumu lisilo lake even bit about his family, sio Nketiah striker naturally unapokea open chances 5 hutumii hata moja.
 
Usajili wa Partey tumekurupuka.

Maoni yangu;

Tukicheza na timu yenye compact defense hua tunastruggle kupeleka mipira mbele hence tunashindwa kuunda chansi za kupata magoli. Zamani wakati Ozil yupo ilikua haitusumbui sana kwakua alikua anaifanya hii kazi.

Kukosa ubunifu ndiyo sababu akatafutwa Aouar. Partey alitakiwa aje kua CMF mwenye role ya kusupport defense. So kwa struggle yetu ndiyo sababu Houssem akawa ni media buzz kuliko Partey as kazi ya Partey ingeweza kufanywa na Xhaka au Elneny, si kwa 100% ila hata 70%.

So tumeburuzana na Lyon, tukigoma kutoa 50M kwaajili ya mtu mwenye miaka 22 na hakuna wa kuifanya kazi yake kisha tumekuja kutoa 50M kwa mtu wa miaka 27/8 na huku wapo wa kuifanya kazi yake.

Huu ujinga wa chelsea na man u tumeuanza lini?

Huu ni usajili wa kijinga, ingekua na maana kama wangekuja wote wawili ila siyo hivi. Hivi ni zima moto.

Ufala.
Katika siku zote ulizojaribu kuchangia humu, inawezekana uliwahi kukosea ila leo ndio umekosea zaidi!
 
Nafikiri mkuu castr, anamaanisha kiungo mbunifu kati ya hao tulionao bado hajafikia kiwango cha Ozil.....
 
Usajili wa Partey tumekurupuka.

Maoni yangu;

Tukicheza na timu yenye compact defense hua tunastruggle kupeleka mipira mbele hence tunashindwa kuunda chansi za kupata magoli. Zamani wakati Ozil yupo ilikua haitusumbui sana kwakua alikua anaifanya hii kazi.

Kukosa ubunifu ndiyo sababu akatafutwa Aouar. Partey alitakiwa aje kua CMF mwenye role ya kusupport defense. So kwa struggle yetu ndiyo sababu Houssem akawa ni media buzz kuliko Partey as kazi ya Partey ingeweza kufanywa na Xhaka au Elneny, si kwa 100% ila hata 70%.

So tumeburuzana na Lyon, tukigoma kutoa 50M kwaajili ya mtu mwenye miaka 22 na hakuna wa kuifanya kazi yake kisha tumekuja kutoa 50M kwa mtu wa miaka 27/8 na huku wapo wa kuifanya kazi yake.

Huu ujinga wa chelsea na man u tumeuanza lini?

Huu ni usajili wa kijinga, ingekua na maana kama wangekuja wote wawili ila siyo hivi. Hivi ni zima moto.

Ufala.
Mkuu Leo umezngua.
 
it's a time to switch from 3 4 3 to 4 3 3 hapa naona ni muda wa ceballos kuonesha alichonacho zaidi maana hatokuja chini zaidi kuchukua mipira hii itakuwa kazi ya partey na xhaka (good passers) dani atakuwa na jukumu la kuangalia mashimo ili apige pass kwenye final third.Let's wait n' see
 
Back
Top Bottom