Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Karibuni theater of Dreams next week labda mnaweza pata bahati ya mtende ................
 
Hahahahahaha!! Nimeipenda sana hii, naweza kuitumia kwenye signature yangu?

Hahaha! nimekumbuka....embu na mm nitengenezee ka avatar clip ka nywele ana chana nywele kwa vidole mda ule afu na mm nakupa aka ka signature....inaitwa quid pro quo....nyeeeeeee sambi isi sa watu jaman!
 
Kweli emirates ni uwanja wa kufugia owls,yaani hatuwezi sema tuna mikosi,we deserve these humiliations,aaarrggh*§¥!?
 
Nalazimika kuendelea kuwa na imani na filosofi za wenga kwasasa, but time will tell.
Anaelekea kushindwa vibaya
 
Yule kware wa hili jamvi (wacha yupo wapi leo??

kwekwekwekweweweweekkwekwekwekwekeweweweeeeeeeeee
 
Wenger atachokwambia ni kwamba injury nyingi na red card zimeua, zaidi ya hapo atasema kikosi chake kiko fine haitaji kusajili mpaka aone quality player.
Na hao quality player anaowaongelea ni watoto wa miaka 19? Kazii kweli-kweli
 
Sijui kama mtaweza kucope haraka na matatizo haya Departures....Red cards....Suspensions....Injuries....
 
Duhh poleni youngstars...............mnaonekana mtakuwa kama Liverpool ya mwaka jana.............lakini bado sana ligi ni mbichi sana hii.................
 
Ngoja aje toka huko atokako.......GAME OVER......najua upo happy sana......May be this will make AW add some sugar in his SALTY Squad!!!!! SHIT!!!!!!!


"Yule" jamaa huwa atokei hapa mpaka aone ameshinda, mwoga kweli....khe khe kheeeeeeeeeeee!!!!
 
Sijui kama mtaweza kucope haraka na matatizo haya Departures....Red cards....Suspensions....Injuries....

Yani mkuu kila siku zinavyozidi kwenda bora jana.

Hakuna kitu kibaya kama mikosi iachanganyike na uzembe. Mikadi nyekundu, injury jumlisha kutofanya maamuzi mapema ya issue za fabregas na Nasri haya ndio mavuno tunayopata.

Lakini siwezi kulalamika sana kwa leo kwani timu ni mahututi kwa sasa kutokana na hizo kadi,injury na Wenger kuendelea kutafuta quality. Mda hupo wa kufanya usajili na hata kama itachukua matokeo mabaya kumshawishi zaidi Wenger kufanya usajili basi hiwe hivyo.

Wala hatutaki wachezaji wengi wa tatu tu wanatosha.
 
"Yule" jamaa huwa atokei hapa mpaka aone ameshinda, mwoga kweli....khe khe kheeeeeeeeeeee!!!!

Lazima atakuja tu....Wacha moko ni Arsenal for real.... hawezi akakata mkono wake kwa kuwa umeguswa na kinyesi.....Atakuja tu kuwashikisha adabu.... kama vp ngoja nisepe kwenye jukwaa la Chelsea....Huenda nikapatia furaha kule...ila probability = 0.000000000000005........u can imagine how the number of sample spaces zilivyo nyingi kulikoa zile za event....... BORING WEEKEND "inshort"... Vijiwe vyote havikaliki..... hata hiki nipo koz hatuonani tu..... Thanx alot JF.... at least tunapata pa kujificha kipindi cha misiba kama hiki....
 
Poleni sana mashabiki wote wa Arsenal football club ...............na karibuni sana OLDTRAFFORD shukurani kwa Questt,AW,Kweli and Co kwa kutukaribisha jamvini.
 
OptaJoe on Twitter: "0 - The last time that Arsenal failed to score in their first two league games of the season was 42 years ago, back in 1969/70. Blunt." Source BBC...

My take the fall down of AW??????
 
Wadau isije onekana nimekimbia.... kazi nayo ni ya msingi.... I gat some fish to fry down somewhere..... thanx for ur being...... i appreciate.....GOONER 4 LYF!!!!!
 
Back
Top Bottom